Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,697
- 12,437
Huu msemo wenu wa "tafuteni hela wanaume ili mmiliki pisi kali" hua nauona ni msemo wa kijinga tu, binafsi naipambania pesa kwaajili ya maisha yangu mimi na si ya malaya, mnasujudu ngono sana ndiomaana mnatumia pesa kupata penzi, acheni ufala vijana wenzangu tafuteni hela kwaajili ya maisha yenu na sio kwaajili ya Wanawake wanaopenda pesa (Malaya).
UZI TAYARI.
UZI TAYARI.