Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,919
- 221,297
Mapambano ya kudai haki bado yanaendelea , Ambapo leo Maandamano ya Amani ya kupinga dhiki , ugumu wa Maisha , Kikokotoo na Sheria Mbovu za Uchaguzi , Yamefika Mkoani Singida , Yakianzia Singida Mjini
Usiondoke JF kwa vile nitakuletea kila kitakachojiri
==========
Usiondoke JF kwa vile nitakuletea kila kitakachojiri
==========