Sikujua kama KILUVYA ni Wilaya ya Kisarawe Pwani sio Dar

kevin strootman

JF-Expert Member
Nov 26, 2017
1,109
1,841
Leo kwenye harakati zangu za maisha nilipita maeneo ya KILUVYA, Kwa nilivyokua nadhani KILUVYA ipo wilaya ya ubungo, baada ya kubishana na jamaa yangu kua KILUVYA sio dar nikaenda kwenye ramani ndio nikalijua hilo.

Ama Kwa hakika Dar imezingukwa na Pwani pande zote.

Screenshot_20240427-175316.jpg
 
Leo kwenye harakati zangu za maisha nilipita maeneo ya KILUVYA, Kwa nilivyokua nadhani KILUVYA ipo wilaya ya ubungo, baada ya kubishana na jamaa yangu kua KILUVYA sio dar nikaenda kwenye ramani ndio nikalijua hilo.

Ama Kwa hakika Dar imezingukwa na Pwani pande zote
Hahahaaa
 
Leo kwenye harakati zangu za maisha nilipita maeneo ya KILUVYA, Kwa nilivyokua nadhani KILUVYA ipo wilaya ya ubungo, baada ya kubishana na jamaa yangu kua KILUVYA sio dar nikaenda kwenye ramani ndio nikalijua hilo.

Ama Kwa hakika Dar imezingukwa na Pwani pande zote
Mdogo wangu aliwahi kuuziwa kowanja akijua ni Kinondoni.

Hadi alipofatilia Hati Miliki Wilaya ya Kinondoni akaambiwa nenda Bagamoyo.

😆😆😆
 
Dar es Salaam yote ni Pwani lakini wafanya maamuzi wa wakati huo waliamua kuutengeneza mkoa ndani ya mkoa wa Pwani kimkakati ili waididimize Pwani kwa makusudi na wamefanikiwa, leo hii zinatengenezwa barabara za mbali huko lakini barabara fupi tu toka Pugu kajiungeni hadi Mloka barabara isiyozidi kilometa 200 huu karibu mwaka wa 25 haijakamilika inajengwa kwa kusuasua.
Ukiangalia wilaya nyingine zimefanya kupitiwa na barabara kwa sababu ndiyo njia ya kupita wakiwa wanaelekea makwao huko lakini vinginevyo kungekuwa vumbi hadi leo halafu tukisema nchi ina ubaguzi wa kidini na kikanda wengine wanabisha!
 
Dar es Salaam yote ni Pwani lakini wafanya maamuzi wa wakati huo waliamua kuutengeneza mkoa ndani ya mkoa wa Pwani kimkakati ili waididimize Pwani kwa makusudi na wamefanikiwa, leo hii zinatengenezwa barabara za mbali huko lakini barabara fupi tu toka Pugu kajiungeni hadi Mloka barabara isiyozidi kilometa 200 huu karibu mwaka wa 25 haijakamilika inajengwa kwa kusuasua.
Ukiangalia wilaya nyingine zimefanya kupitiwa na barabara kwa sababu ndiyo njia ya kupita wakiwa wanaelekea makwao huko lakini vinginevyo kungekuwa vumbi hadi leo halafu tukisema nchi ina ubaguzi wa kidini na kikanda wengine wanabisha!
Naunga mkono hoja
 
Dar es Salaam yote ni Pwani lakini wafanya maamuzi wa wakati huo waliamua kuutengeneza mkoa ndani ya mkoa wa Pwani kimkakati ili waididimize Pwani kwa makusudi na wamefanikiwa, leo hii zinatengenezwa barabara za mbali huko lakini barabara fupi tu toka Pugu kajiungeni hadi Mloka barabara isiyozidi kilometa 200 huu karibu mwaka wa 25 haijakamilika inajengwa kwa kusuasua.
Ukiangalia wilaya nyingine zimefanya kupitiwa na barabara kwa sababu ndiyo njia ya kupita wakiwa wanaelekea makwao huko lakini vinginevyo kungekuwa vumbi hadi leo halafu tukisema nchi ina ubaguzi wa kidini na kikanda wengine wanabisha!
Mloka ipo wapi?
 
1. Kiluvya ni mto unaoanzia Wilaya ya Kisarawe na kupitia mpakani mwa Kibaha DC/TC, Kisarawe DC , na Ubungo MC.

2. Ubungo MC kuna Mtaa unaitwa Kiluvya ambao upo Kata ya Kibamba na unapakana na Mto Kiluvya.

3. Ukitoka Luguruni kwenda Kibamba, ukivuka lile daraja la kwanza, upande wa Kushoto (ilipo Mloganzila) ni eneo la Kata ya Kikuvya, Kisarawe DC na kulia ni eneo la Kata ya Kibamba Ubungo MC; ambapo ukienda hadi daraja la Mto Kiluvya, pale ndipo mwisho na mpakani mwa Kisarawe DC, Kibaha Town Council na Ubungo MC, yaani pale kwenye Daraja la Kiluvya, Kisarawe ipo kushoto kabla hujavuka, na Ubungo ipo kulia kabla hujavuka, ila ukishavuka tu, kulia na kushoto ni Kibaha TC.
 
Back
Top Bottom