Yalisemwa na Prof Shivji (9 Apr 2024, SUA, Morogoro) kuhusiana na athari kwa taifa kutokana na kukosekana kwa vijana wenye kukosa hoja na hata uthubutu wa kuhoji:
Kuepuka andiko hili kuwa refu mno na bila kuathiri ufasaha wake, ninalikata andiko hili kuwa katika sehemu mbili; zikiwa ni nyuzi mbili tofauti. Yaani Part 1 (utangulizi), na Main body (Part 2).
Part 1: Tuwajue vijana wasio na Hoja au uthubutu wa kuhoji
1. Hawa ni wale wakijulikana almaarufu kama "chawa;" bila shaka na labda bila kutambua, akiwaita "nabii jiwe" kuwa ni vijana wa hovyo.
2. Vijana wa namna hii, wako kwa wingi zaidi CCM na CHADEMA kwa sasa, ambako mada hii itajikita ili kuweza kuwaangazia vilivyo.
3. Ajabu na kweli fungu hili ni la vijana wasomi kwa mbumbumbu; limesheheni zaidi wanaume wa Dar kuliko wanawake au wanaume wa mikoani kwa ujumla wao.
4. Wasomi kwa mbumbumbu; "chawa wasomi ni wa hovyo zaidi, wakijiongezea kale kakipaji kengine kao, "ka ujuaji:"
"Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote,' haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana, ila yale ya kwao tu. Kwamba 'elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;' havina maana yoyote kwao."
5. Kwamba, kwao uchawa ni ajira kama udaktari, uhandisi, ualimu nk; alimradi bora mkono uende kinywani.
6. Kwa mukthadha wa CCM, humo wamo:
i) Chawa wa mama: Hawa huwaambii kitu kumhusu bi mkubwa. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote.
ii) Chawa wa CCM: Hawa huwaambii kitu kuhusu CCM. Hakuna cha kukosoa. Yote ya CCM ni mema.
Hapo ni makundi yao mawili, yaliyo kamili kazini!
7 (a) kwamba kwao Mama ni kama Mungu, malaika, mtakatifu, na vya namna hiyo; CCM kama chama: ilishushwa kutokea mbinguni!
(b) Kwamba Mama, lau CCM ni wakamilifu; wenye kustahiki sifa tu, siyo kukosolewa!
(c) Kulamba teuzi, shuruti mtu kuonyesha umahiri wake zaidi kwenye kuisifia CCM; na zaidi sana kumsifia vilivyo mzaliwa huyu kutokea Kizimkazi, pale!
(d) jaribio la mtu kuikosoa CCM na hasa kumkosoa mama, linatosha kukosa teuzi au kukupa tenguzi kama ni mteuliwa!
8. Kwa mukthadha wa Chadema; wanawakilisha:
a) Chawa wa Mwamba: Hawa nao huwaambii kitu kumhusu mwamba. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote. Mwamba hakosolewi. Kumkosoa mwamba, ni uhaini.
b) Chawa wa CHADEMA: Hawa huwaambii kitu kuhusu CHADEMA. Hiki chama hakikosolewi. Ukiwa na mawazo tofauti, ondoka!
8. (a) Kwamba mwamba ni Mungu, Ayatollah, Abuu Bakar, Messiah, malaika na vya namna hiyo; na kuwa Chadema imeshushwa kutoka mbinguni:
(b) Chadema au mwamba ni wakamilifu, hawakoselewi na mwamba ndiye mwenye neno la mwisho; "mnataka au hamtaki!"
(c) "Jaribio la kumkosoa mwamba ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi" -- Frederick Sumaye.
9. Kwa hakika, vijana hawa ni mzigo kwa taifa:
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
Part 2: Main Body, inafuata:
Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 2)
Kuepuka andiko hili kuwa refu mno na bila kuathiri ufasaha wake, ninalikata andiko hili kuwa katika sehemu mbili; zikiwa ni nyuzi mbili tofauti. Yaani Part 1 (utangulizi), na Main body (Part 2).
Part 1: Tuwajue vijana wasio na Hoja au uthubutu wa kuhoji
1. Hawa ni wale wakijulikana almaarufu kama "chawa;" bila shaka na labda bila kutambua, akiwaita "nabii jiwe" kuwa ni vijana wa hovyo.
2. Vijana wa namna hii, wako kwa wingi zaidi CCM na CHADEMA kwa sasa, ambako mada hii itajikita ili kuweza kuwaangazia vilivyo.
3. Ajabu na kweli fungu hili ni la vijana wasomi kwa mbumbumbu; limesheheni zaidi wanaume wa Dar kuliko wanawake au wanaume wa mikoani kwa ujumla wao.
4. Wasomi kwa mbumbumbu; "chawa wasomi ni wa hovyo zaidi, wakijiongezea kale kakipaji kengine kao, "ka ujuaji:"
"Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote,' haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana, ila yale ya kwao tu. Kwamba 'elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;' havina maana yoyote kwao."
5. Kwamba, kwao uchawa ni ajira kama udaktari, uhandisi, ualimu nk; alimradi bora mkono uende kinywani.
6. Kwa mukthadha wa CCM, humo wamo:
i) Chawa wa mama: Hawa huwaambii kitu kumhusu bi mkubwa. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote.
ii) Chawa wa CCM: Hawa huwaambii kitu kuhusu CCM. Hakuna cha kukosoa. Yote ya CCM ni mema.
Hapo ni makundi yao mawili, yaliyo kamili kazini!
7 (a) kwamba kwao Mama ni kama Mungu, malaika, mtakatifu, na vya namna hiyo; CCM kama chama: ilishushwa kutokea mbinguni!
(b) Kwamba Mama, lau CCM ni wakamilifu; wenye kustahiki sifa tu, siyo kukosolewa!
(c) Kulamba teuzi, shuruti mtu kuonyesha umahiri wake zaidi kwenye kuisifia CCM; na zaidi sana kumsifia vilivyo mzaliwa huyu kutokea Kizimkazi, pale!
(d) jaribio la mtu kuikosoa CCM na hasa kumkosoa mama, linatosha kukosa teuzi au kukupa tenguzi kama ni mteuliwa!
8. Kwa mukthadha wa Chadema; wanawakilisha:
a) Chawa wa Mwamba: Hawa nao huwaambii kitu kumhusu mwamba. Wao ni kusifu, kumshukuru na mapambio ya sifa kwa lolote. Mwamba hakosolewi. Kumkosoa mwamba, ni uhaini.
b) Chawa wa CHADEMA: Hawa huwaambii kitu kuhusu CHADEMA. Hiki chama hakikosolewi. Ukiwa na mawazo tofauti, ondoka!
8. (a) Kwamba mwamba ni Mungu, Ayatollah, Abuu Bakar, Messiah, malaika na vya namna hiyo; na kuwa Chadema imeshushwa kutoka mbinguni:
(b) Chadema au mwamba ni wakamilifu, hawakoselewi na mwamba ndiye mwenye neno la mwisho; "mnataka au hamtaki!"
(c) "Jaribio la kumkosoa mwamba ni sawa na kuonja sumu kwa ulimi" -- Frederick Sumaye.
9. Kwa hakika, vijana hawa ni mzigo kwa taifa:
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
Part 2: Main Body, inafuata:
Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 2)