Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 912
- 4,249
Ni sahihi kwa serikali kuanzisha shule zake za English medium?Kigezo gani kitatumika kupata wanafunzi wanaotakiwa kwenda kwenye hizo shule?
Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?
Kuanzisha shule hizi kunaendana na wazazi kugharimia au wanakwenda bure kama shule nyingine? Ni nchi gani ina mfumo wa shule za serikali kuwa na mfumo tofauti ya utoaji elimu kama inayokusudiwa na Tanzania?