Serikali imeingia ubia na wauza bidhaa feki na kumweka rehani Mwananchi?

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Uchunguzi wa kina unaonyesha ya kwamba asilimia 70% ya bidhaa zinazoingia Tanzania ni ‘feki’ na zinazotokana na unyang’anyi [piracy] hasa kutokea China. Na hiihipo kuanzia kwenye Maziwa unayokunywa na familia yako, video unavyoangalia na kufurahia na familia yako, madawa
unayokunywa na familia yako, vyakula unavyokula na familia yako na simu unayotumia kuwasiliana na familia yako, vipuri vya magari unayoendesha kutaja machache. Gazeti moja la nje ya TZ toleo la mwezi wa nne linasema kwamba Kariakoo ndiyo kitovu cha wauzaji wa hizo bidhaa feki.

Tumekuwa tukishuhudia nyumba kuungua moto na tunalaumu kikosi cha zimamoto na gizo ‘fire engines’ lakini kitovu kipo katika uuzaji wa nyaya feki . Mwananchi wa kawada kwa sasa hana amani anapoenda kununua manunuzi yake hapo Tanzania na tena isha kuwa utamaduni wa kuambiwa na wauzaji kwamba ukitaka ‘feki’ bei yake ni kiasi kadhaa na ukitaka ‘mlupo’ bei yake ni chini mara nne.

Swali langu kwa serkali imeshindwaje kuwakomboa raia wake kutokana na kuingia na kuuzwa tena waziwazi kwa hizi bidhaa feki? Je, serkali imebinafsisha kazi za kusimamia bidhaa zinazoingia Tanzania? Kama jibu ni hasi , basi kwa nini zimejaa madukani kariakoo na kwingineko? Vyombo vya dola na adhabu inayotolewa ni ndogo sana kulinganisha na faida hawa ‘wanyang’anyi wanayopata’.

Pendekezo: Serikali IBADILISHE NA KUWEKA sheria zenye adhabu kali tena si faini peke yake bali na kifungo kabisa kwa wasambazaji, wauzaji, na wanaopitisha hizi bidhaa feki hili kupunguza na kuzuia lindi hili la bidhaa feki. Pili, mwananchi inabidi nasi tubadilike na kuzikwepa kama ukoma hizi bidhaa feki kwani ni upotezaji wa fedha zako ulizozitolea jasho na pia ni kuatarisha usalama wako na wa familia yako.
 
TRADE-TANZANIA: Cheap Imitation Goods Are Flooding Markets
By Sarah McGregor
20080820_BootlegTanzania_Edited.jpg

Dar es Salaam's bustling Kariakoo market, where counterfeit goods are big business.

Credit:Sarah McGregor/IPS

DAR ES SALAAM, Aug 20 (IPS) - The mishmash of shops in Tanzania's central Kariakoo market in Dar es Salaam stock an infinite array of brand name fakes. Throngs of customers snap up mobile phones, designer gear, high-tech electronics and gadgets - all imitations being sold at unbelievably low prices.

The fakes business is booming in one of the world's poorest nations, where pricey authentic items are beyond the reach of most consumers. The east African nation ranks 159th out of 177 countries on the United Nations' Human Development Index, which measures a range of poverty and economic indicators. Per capita spending is 340 dollars a year.

'‘I don't think we're doing a bad business because we're helping people to survive on the little money they have,'' said salesperson Yahaya Khalini, who declined to give his real name in fear of police retribution. More than half the mobile phones and computer parts dangling from hooks in his tiny store in Kariakoo are knock-offs, which are illegal to sell.

But some Tanzanians are vehemently opposed to the sale of counterfeit goods. One such person is Hussein Kamote, director of policy at the Confederation of Tanzania Industries (CTI). He told IPS in an interview in Dar es Salaam that the illicit trade has a negative effect on the economy.

Tanzania loses up to 780 million dollars a year in government revenues and 140,000 jobs because of counterfeiting, according to a recent report by CTI.

More than 20 percent of the merchandise offered in Tanzania's major trading centres - including the cities of Arusha, Mwanza and Moshi, and the semi-autonomous island of Zanzibar - is pirated, the study showed. That rises to 70 percent if you include below-standard goods.

'‘Most of the counterfeits in Tanzania use brand names. They are also sub-standard in quality,'' Kamote argued, saying that such goods can have '‘serious safety consequences for consumers, hurt the economy and prevent the local manufacturing industry from growing''.

Still, counterfeiting thrives because of demand from Tanzania's cash-strapped shoppers for low-price fakes, he said. Some customers are also duped into buying counterfeits. Many of the fakes are virtually carbon copies of the original, Kamote indicated.

'‘The worst part is you buy it cheap but actually it's expensive because you pay for it several times over after it breaks,'' he added.

Shoddy products can also have lethal results. Fake medicines - from anti-retrovirals for AIDS patients to the anti-impotence pill Viagra - make it to the shelves of some pharmacies in Tanzania.

The World Intellectual Property Organisation estimates the global value of counterfeit goods rose to 750 billion dollars in 2007 from 5.5 billion dollars in 1982.

Between five and seven percent of world trade is in illegitimate goods, with the profits apparently being used in organised crime, drug smuggling and other illegal activities, according to the website of the U.S.-based International Anti-Counterfeiting Coalition, a group of companies.

Factories in China pump out a large quantity of the counterfeits in distribution, the IACC said. '‘China remains the single largest source of fake products found in global markets,'' it claimed. India, the United Arab Emirates, Indonesia, Taiwan, Thailand and the African nations of Kenya, South Africa, Mozambique and Malawi also export counterfeits to Tanzania, the CTI study revealed.

Manufacturers in Tanzania - so-called '‘backyard industries'' - are also moving into the lucrative business. Food and drug authorities have stumbled across inferior-quality tea and toxic toothpaste in brand name packages, which were produced by local factories, Kamote pointed out.

But the government is starting to fight back. Tanzania's Fair Competition Commission, formed in 2007, has confiscated one billion Tanzanian shillings (862 million dollars) in counterfeit electronics, car parts and medicines at the country's land, sea and air ports. A new law passed this year strengthens FCC's power to search shops, seize and destroy fakes, and slap fines of up to five million shillings on offenders, according to Michael Shilla, director of consumer affairs at the commission.

Inspectors will target small shops in September to find clues that will take them to wholesalers and importers of counterfeits. '‘We want to send a message that Tanzania is no longer a dumping ground for counterfeits," Shilla told IPS.

'‘We are encouraging consumers to use their power, like voting. If they vote not to buy the goods, then businesses will stop selling them.''

Some consumers have already launched their own boycott. Hamisi Juma, a bus agent, saved 125,000 shillings to buy a mini hi-fi stereo at a big name chain store in Dar es Salaam's largest indoor mall.

'‘I could get a unit like this for 80,000 (shillings) in the Kariakoo market but I know I'll get what I paid for,'' he said. '‘If there's a problem I can't go back for a refund or exchange.'' (END/2008)

Source: TRADE-TANZANIA: Cheap Imitation Goods Are Flooding Markets
 
Kariakoo Wizi Mtupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, na Hata posta kote fake goods zimetapakaa. Ingia pale Sapna uliza simu utasikia Original 200,000/- Tshs, ya kawaida 80,000/= Tshs. Ukiuliza what is original and what is ya kawaida, no one tells you!!

Tatizo hapa lipo pande mbili, Wafanya biashara wetu hawana uchungu na Nchi,i na Serikali yetu imejaa Rushwa. Kwani kuna kitengo kabisa cha kukagua bidhaa hizo, za upande wa chakula Food security agency, upande wa bidhaa zingine ipo commissioner for fair competetions. Lakini zimejaa rushwa wakimkamata mhindi wanachukua pesa wanamwambia aendelee kuuza!! .

Hapa namimi napendekeza ziwepo sheria kali kama za China , chakula fake hukumu kunyongwa labda watu watabadilika. Lakini pia Rais ana kazi pia ya kufanya maana hao wakurugenzi wa hizo commissions anaweza kuwatoa na kuweka wengine kwa misingi ya kwamba wameshindwa kazi.
 
Wafanya biashara ni wa kulaumiwa kuuzia wananchi bidhaa za bandia kwa haja ya kutajirika haraka. Bidhaa nyingi zinazotumika pande nyingi za duniani zimetengenezwa China, na hizo zina viwango vya ubora. Hata hivyo ni huko huko China ndio kuna mabingwa wa kutengeneza bidhaa bandia. Makampuni mengi ya Kichina nayo yanachukua hatua kutahadharisha wanunuzi kuhusu bidhaa hizo bandia. Kuendela kutumia bidhaa bandia, kunaleta hasara kubwa kwa mnunuzi na hata mfanyabiashara, baada ya muda. Kuna haja ya watengenezaji wa bidhaa na vyombo vya udhibiti kuelimisha wanunuzi kuhusu bidhaa bandia.

Hapa ni tangazo la kampuni ya kutengeneza simu za mkono dhidi ya bidhaa bandia.
 
Natofautiana na Kitia kwa kuwalaumu wafanyabiashara moja kwa moja. Wafanyabiashara walio wengi wao ni pesa mbele hayo mengine yanafuata baadaye, infact hii ni hulka ya wafanyabiashara wote bila kujali rangi zao wasipodhibitiwa na serikali. Lawama zangu mimi ni moja kwa moja kwa serikali, juzi wameanzisha fair competition mimi sielewi wanachokifanya. Utawaona wamechoma video 100 bandarini then huwasikii tena wakati video zote na madishi yote ya kariakoo ni fake kwa kwenda mbele hizo bidhaa zingine ndio usiseme ni aibu tupu. Wenzetu wamefanikiwa kwa kiwango kikubwa kudhibiti bidhaa fake kwa kuwa wako serious. Kujaa kwa bidhaa fake ni alama nyingine kwamba hatuna serikali makini kama ambavyo tumeshindwa vibaya kwenye mengine. Sio nia yangu kuleta siasa kwenye hili lakini hilo liko so obvious.
 
Hapa kila upande inabidi ulaumiwe. Kwani wafanyabiashara wanataka faida chapchap, serikali wao wanakula mlungula na wananchi wanataka cheap kwani vya bei halali hawaviwezi. Hapa inabidi watu waelimishwe hasara ya bidhaa feki. Kwani unakuta msomi kabisa anakwambia haa tumia hii bwana unasave sana lakini hajui kuwa siku ya siku nyumba ya mfano inaweza kuteketea kwa ajili ya vitu hivyo.

Watu wengi wanapenda rahisi which is expensive. WATU WAELIMISHWE VIZURI ILI WASINUNUE HIZO BIDHAA HAPA TUTAKUWA TUMEPUNGUZA TATIZO PLUS NA SERIKALI IKIFANYA ROLE YAKE THEN LITAKWISHA.
 
Uchunguzi wa kina unaonyesha ya kwamba asilimia 70% ya bidhaa zinazoingia Tanzania ni ‘feki’ na zinazotokana na unyang’anyi [piracy] hasa kutokea China. Na hiihipo kuanzia kwenye Maziwa unayokunywa na familia yako, video unavyoangalia na kufurahia na familia yako, madawa
unayokunywa na familia yako, vyakula unavyokula na familia yako na simu unayotumia kuwasiliana na familia yako, vipuri vya magari unayoendesha kutaja machache. Gazeti moja la nje ya TZ toleo la mwezi wa nne linasema kwamba Kariakoo ndiyo kitovu cha wauzaji wa hizo bidhaa feki.

Tumekuwa tukishuhudia nyumba kuungua moto na tunalaumu kikosi cha zimamoto na gizo ‘fire engines’ lakini kitovu kipo katika uuzaji wa nyaya feki . Mwananchi wa kawada kwa sasa hana amani anapoenda kununua manunuzi yake hapo Tanzania na tena isha kuwa utamaduni wa kuambiwa na wauzaji kwamba ukitaka ‘feki’ bei yake ni kiasi kadhaa na ukitaka ‘mlupo’ bei yake ni chini mara nne.

Swali langu kwa serkali imeshindwaje kuwakomboa raia wake kutokana na kuingia na kuuzwa tena waziwazi kwa hizi bidhaa feki? Je, serkali imebinafsisha kazi za kusimamia bidhaa zinazoingia Tanzania? Kama jibu ni hasi , basi kwa nini zimejaa madukani kariakoo na kwingineko? Vyombo vya dola na adhabu inayotolewa ni ndogo sana kulinganisha na faida hawa ‘wanyang’anyi wanayopata’.

Pendekezo: Serikali IBADILISHE NA KUWEKA sheria zenye adhabu kali tena si faini peke yake bali na kifungo kabisa kwa wasambazaji, wauzaji, na wanaopitisha hizi bidhaa feki hili kupunguza na kuzuia lindi hili la bidhaa feki. Pili, mwananchi inabidi nasi tubadilike na kuzikwepa kama ukoma hizi bidhaa feki kwani ni upotezaji wa fedha zako ulizozitolea jasho na pia ni kuatarisha usalama wako na wa familia yako.



Hapo ukifikilia sana ninani wakulaumiwa? Au ninani awajibishwe?
Nadhani hili suala ukiliangalia kwa mapana yake utakuta ni mafisadi ndio wanao fanya yote haya yatokee.

HAKUNA UTATUZI WA TATIZO HILO, LABDA TU NINGEWAOMBA NDUGUZETU MLIOPO BONGO MVUMILIE TU!
 
Ndugu

Mimi sijui kama katika hii mikataba ya ushirikiano kati ya nchi na nchi wana kubaliana nini katika suala la bidhaa feki tumekuwa na ushirikiano wa muda mrefu sana na nchi kama uchina linapokuj akwenye suala hili la bidhaa feki sijaona balozi wao wakifanya jitihada zozote zile za kuhakikisha bidhaa hizo haziingii au kupungua nchini .

Pia kuna suala la uzalendo hapa wewe kama ni mzalendo kweli unaipenda nchi yako na wananchi wake kwa nini unaamua kununua bidhaa feki tena kwa makusudi kabisa kuja kuuza nchini wakati unatambua ubovu wa bidhaa yenyewe ?

Ukipita kariakooo kule maduka karibu yote ya simu yanauza simu ambazo ni bandia na tena unaulizwa kabisa unataka simu ya kichina feki au original ? hii feki ni laki 1 tu original ni laki 3 mtu anakimbilia feki hupewi warranty ya bidhaa yako na tena wanakwambia kama ikipata tatizo linalosababishwa na umeme ni juu yako hiyo hatukulipi ( nenda kalete defenda zote za polisi tanzania ) niliwahi kusikia mtu akiambiwa maneno hayo

Wauzaji hawaogopi tena vyombo vya sheria hata kutamka maneno hayo vitu vinauzwa kiholela tu , juzi hapa nilisoma katika mtandao mmoja jamaa mmoja akilalamika ameenda duka mmoja mjini linaitwa City Multi Tech kununua computer alipoomba operating system wakamwekea yakwao na kumpa cd baada ya siku kadhaa komputer yake ikaanza kumsumbua inataka licence

Nami nikatembelea duka hilo Leo asubuhi tu kuulizia computer wakasema zipo lakini hazina operating system ukitaka tunaweza kukuwekea lakini nakamwambia nina laptop yangu hapa nahitaji operating system nikaambiwa niiweke pale wakaniwekea na nikawalipa alfu 10 tu ki ukweli cd moja ya windows xp kwa mfano ni zaidi ya dola 140 pale kwa mchaga nawekewa kwa alfu 10 bidhaa bandia

Mwaka uliopita tu kampuni ya microsoft ilifanya msako fulani hivi jijini dar es salaam kuwakamata wale wanauza bidhaa zao au kuinstall kwenye computer za watu bila lesani au kwa leseni ambazo zimeshauzwa kwa watu wengine maduka mengi yalifungwa siku hiyo kwa kuogopa msako huu ila mengine yalikamatwa kama POWER COMPUTERS NA IDEAL ( hii ni kampuni moja ) hawa waliuza programu hizi kwenye vyuo vyetu kwa dhamani kubwa wakatengeneza mamilioni kesi yao sijui imeishia wapi muhimbili waliuziwa programu na kampuni hizi sijui kama walidai FIDIA suala hili lipo tu juu kwa juu .

Miaka ya nyuma kampuni ya Micronix iliwahi kutuhumiwa kuuza bidhaa feki kwa TRA hii kampuni mpaka leo ipo inaendea kudunda inapewa kazi zaidi na zaidi tutafika kweli wazalendo wako wapi kuzipiga stop kampuni hizi na kunyanganya leseni zao for life

Hata Tanesco wameuziwa Printer Bandia kwenye baadhi ya mawawi yao nao sijui wako wapi na wauzaji ni hawa hawa

Kuna umuhimu wa kuunda vikosi maalumu vya kupambana na bidhaa feki popote pale wenye vifaa na mbinu za kutosha kutambua vitu hivi na sheria ichukuwe mkondo wake
 
Natumaini wawakilishi wa wananchi wanayasoma haya maoni yenu wadau, na nategemea watayapa kipaumblele katika kutimiza wajibu wao!
 
Unajua tulipofikia ni pabaya ebu soma hii habari na haya maziwa ya sumu yaliyopaikana bongo. Ni kiasi gan bado kipo kwenye mzunguko wa wauzaji na walaji?

Seized toxic milk tested in Europe
By Deogratias Kishombo

Two European laboratories have reportedly confirmed that the 34 tonnes of Chinese milk seized last September in Tanzania are contaminated with toxic melamine.

The Citizen has established that the seized consignment was taken to Europe for re-examination after the importer appealed against the initial results.

An international laboratory in South Africa condemned the milk last October after similar milk killed several children in China, sparking a widespread global crackdown to rid shops of Chinese milk imports.

Tanzania was among the first countries to react urgently to impound Chinese milk from local shops and stop further imports after an alert issued by the World Health Organisation (WHO).

Thousands of babies fell ill after consuming the melamine contaminated milk and milk products in China early last year.

The Tanzania Food and Drugs Authority (TFDA) did not destroy the seized consignment after the importer disputed initial results and demanded verification in Europe, The Citizen has established.

A source within the authority revealed that two European laboratories that tested the milk had confirmed it was contaminated with poisonous melamine.

TFDA deputy director of laboratory services, Ms Charisy Ugullum, said yesterday the importer was not satisfied with the results from South Africa but did not give details of the results from European laboratories.

However, TFDA public relations officer Gaudensia Simwanza said European laboratories had confirmed earlier results after the importer sought verification from Europe.

"He was not satisfied with South African results but even the European laboratories have shown the same thing, the milk tested melamine positive,"she said.

She said the importer had already been notified through a letter that he would bear the cost of destroying the contaminated milk, which should be done in a month, according to TFDA regulations.

Following the incident in China, Tanzania suspended issuing of import licences for milk products until investigations into the scandal are concluded.

Benin, Burkina Faso, Burundi, Cote d'Ivoire, Democratic Republic of Congo, Liberia, Senegal and Sierra Leone have also imposed bans on milk imports from China.

The scandal surfaced on July 16 after dozens of babies that had been fed on milk powder produced by the Shijiazhuang-based Sanlu Group were diagnosed with kidney stones.
TheCitizen Newspaper
 
Back
Top Bottom