Vipi na kwenye application acc zao walikuta huo ujumbe?Mm najua watu walitumiwa sms waliokumbwa na ilo janga
Someni hapa WALIO OMBA KUJIUNGA NA CHA UDSM WANKUMBUSHWA KUANGALIA ACOUNT ZAO - JamiiForumskuna habari nimeiona mitandaoni lakini sijapata chanzo makini cha kudhibitisha hilo. chuo kikuu cha Dar es salaam wametengua usaili wa wanafunzi wake takribani 682 waliokuwa wamedahiliwa chuoni hapo. naomba mwenye kujua lolote kuhusu hili jambo atueleze
Soma hapa WALIO OMBA KUJIUNGA NA CHA UDSM WANKUMBUSHWA KUANGALIA ACOUNT ZAO - JamiiForumsWeka source ya taarifa yako mkuu
Soma hapa WALIO OMBA KUJIUNGA NA CHA UDSM WANKUMBUSHWA KUANGALIA ACOUNT ZAO - JamiiForumsVipi na kwenye application acc zao walikuta huo ujumbe?
Wanatuma ujumbe kama huo. Ni shida tupu.Vipi na kwenye application acc zao walikuta huo ujumbe?
St joseph college of engineering...udomNina ndugu kakuta message kama iyo kwenye account yake Udsm. Kwa anaejua vyuo ambavyo fourth application inaendelea anijuze tafadhal
Udom... st joseph luguruniNina ndugu kakuta message kama iyo kwenye account yake Udsm. Kwa anaejua vyuo ambavyo fourth application inaendelea anijuze tafadhal
SAUT ARUSHANina ndugu kakuta message kama iyo kwenye account yake Udsm. Kwa anaejua vyuo ambavyo fourth application inaendelea anijuze tafadhal
Ndio mbona lipo tawi la SAUT Arushasamahan kuna Saut Arusha??
Acha tyuuu hata mimi nipo kama wewe... nasubiri majinaduh hata sielewi sasa majina yatatoka lini maana mi nili apply second round mpaka leo UD hawajatoa majina, ila kwenye acc yangu huo ujumbe wa kuambiwa ni apply kwengine sijapata naambiwa tu nimechaguliwa.
Mi nimeenda hadi ofisini wakaniambia subiri tu utaona kwenye mtandao. Ila the funniest thing ni kuwa UDSM wanazingua. Vyuo vingine majina yote wametoa kuanzia 1st round, second na third ila wao wametoa 1st Round tu. Hata hii kubugi wamesababisha wenyewe ingekuwa mtu unaambiwa hujachaguliwa ile round ya 3 ningefocus kwenye vyuo vingine lakini wao wanasisitiza umechaguliwa then wanakuja kukubadilishia ghafla kwenye account, japo mi hawajanifanyia hivyo ila naelewa jinsi aliefanyiwa hivyo amejisikiaje waache ukiritimba.Acha tyuuu hata mimi nipo kama wewe... nasubiri majina
Mi nimeenda hadi ofisini wakaniambia subiri tu utaona kwenye mtandao. Ila the funniest thing ni kuwa UDSM wanazingua. Vyuo vingine majina yote wametoa kuanzia 1st round, second na third ila wao wametoa 1st Round tu. Hata hii kubugi wamesababisha wenyewe ingekuwa mtu unaambiwa hujachaguliwa ile round ya 3 ningefocus kwenye vyuo vingine lakini wao wanasisitiza umechaguliwa then wanakuja kukubadilishia ghafla kwenye account, japo mi hawajanifanyia hivyo ila naelewa jinsi aliefanyiwa hivyo amejisikiaje waache ukiritimba.
Upload list Hizo mbiliWameshatoa leo ingia kwenye website mimi jina langu nimeliona
Hizo hapo za JKNView attachment Advert JKN admission letters 24th October 1.pdfView attachment Advert JKN admission letters 24th October 2-1.pdfUpload list Hizo mbili