miamia100
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 361
- 430
Hicho chuo wababe sanaaa,nimesoma hapo nawaelewa wanajifanyaga wakoloniNashindwa kuelewa wanazunguka Nini. Seneti inanuwezo wa kujua Nani kapasi na Nani hajapass Basi. Mengine haya ni ubabe usio na maana.