Sakata la Walimu kufukuzwa kule Tunduma kisa wimbo wa Zuchu "Honey" ni Kipimo cha Mawaziri Vilaza wa Nyakati za Sasa

Tuache kuhalalisha ujinga mkuu wewe hiyo nyimbo mutaruhusu mtoto wako aimbe nyumbani?

Ni wimbo wenye maadili?

Maneno ya "namkatia uno hani wangu".

Mnataka watoto wayaimbe hayo halafu baadaye mje mseme kizazi hiki kimeharibika?

Wengi mnasema et kama wimbo ulikuwa mbaya kwanini Basata wasifungie yaani kwahiyo Basata wakiruhusu mbaya wewe utaruhusu wanao wasikilize kwa sababu Basata wameruhusu?

Tukubaliane kuwa wimbo hauna maadili kwa watoto, na walimu tumewapa dhamana ya kusimamia maadili ya watoto wawapo shuleni wakiwa nje ya shule ni jukumu la wazazi.
Wewe ni poor brain na waziri wako pia ni poor brain
Nyimbo inapotred inapigwa kila mahali mda wote hao watoto walikiwa wanauimba kama wimbo wa taifa vile yani wanaujua sana

Eti wewe huoni kosa la waziri,serikali wala basata bali waalimu ndiyo wenye makosa
Na ukiangalia hapo shule ni kama kulikuwa na tukio maalumu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Waziri has demonstrated the possession of stereotype and fragile mindset, very primitive, if he had multidisciplinary transferable skills asingelifanya huo mkurupuko.
Kwa hiyo ni Sawa Watoto waimbe Shuleni Hani Wangu akinuna Namkatia Kiuno na Kubinua Makalio🙆🙆🤦🤦. Hata home kwako huwezi kuruhusu Mtoto wako aimbe hayo Mashairi Masikioni kwako. Well-done Waziri Linda Maadili Baba.
 
Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana.

Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo una kiswahili cha kificho ama tafsida.

Ni aibu sana kuwa na Waziri mkurupuko na mshamba kama Mkenda, he fell short of the recent world.

Watanzania endapo mtashindwa kuelewa kuwa huyu Waziri ni kilaza na kakurupuka na ana mihemko ya kishamba ipo siku mtaumbuka.

Ni akili finyu isiyojua nchi hii kwa mapana na mambo yanayojiri kila sehemu kila siku.

Huyu Waziri anaingia kwenye orodha ya mawaziri wenye mkurupuko na washamba kuwahi kutokea katika nchi hii.

Wazira kilaza hajui kitu katika tasnia ya mziki na sanaa.

Nimekwazika na ufala, ushamba unaongezeka kila kukicha. Hatuwezi kusimama wakati Dunia inakimbia things are changing, zama hazigandi zinabadirika daily.

Tuna viongozi baadhi washamba hadi kero.

Soma:
- Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Wadiz
Haya wengine hao!!!🤣🤣😂
 

Attachments

  • IMG_3521.MP4
    3.7 MB
Tuache kuhalalisha ujinga mkuu wewe hiyo nyimbo mutaruhusu mtoto wako aimbe nyumbani?

Ni wimbo wenye maadili?

Maneno ya "namkatia uno hani wangu".

Mnataka watoto wayaimbe hayo halafu baadaye mje mseme kizazi hiki kimeharibika?

Wengi mnasema et kama wimbo ulikuwa mbaya kwanini Basata wasifungie yaani kwahiyo Basata wakiruhusu mbaya wewe utaruhusu wanao wasikilize kwa sababu Basata wameruhusu?

Tukubaliane kuwa wimbo hauna maadili kwa watoto, na walimu tumewapa dhamana ya kusimamia maadili ya watoto wawapo shuleni wakiwa nje ya shule ni jukumu la wazazi.
Kiongozi umesema ukweli mtupu. Shuleni ni mahali ambapo nidhamu ya watoto inatengenezwa ndiyo maana mtoto kama anakuja na tabia mbaya toka kwao ataathibiwa au fukuzwa. Sasa walitaka eti kisa basata wameacha huo wimbo basi ni halali watoto wacheze. Mbona baa kuna liseni wanapewa ya kufanya biashara hiyo lakini akikutwa mwanafunzi sheria inachukua mkondo wake. Tuache kushabikia ujinga nampongeza Waziri kwa hatua aliyochukua. Kama wazazi wachache hawajitambui basi acha Waziri asaidie.Nimeangalia clip ni kitu cha ajabu sana walimu walichokifanya. Hii iwe fundisho na kwa wengine. Zipo nyimbo ambazo watoto wanaweza wekewa na wakacheza bila tatizo lolote.
 
The fact kuwa mwanao hataiimba nyumbani kwako haimaanishi kuwa haijui , kama maadili atakuwa hana japo wewe hutajua kama mwanao hana maadili.
Kama waziri kawawajibisha walimu iwe wake up call kwa basata na mamlaka zilizoruhusu wimbo huo uwe aired .
Adhabu ya walimu ilitakiwa iende sambamba na mamlaka zinazodhibiti ubora na maadili ya muziki
waziri kacheza part yake nampongeza sana na jambo la kumuunga mkono
 
Imagine nchi inaongozwa na watu illogical kama huyo waziri. Hiyo hatua aliyochukua ni tatizo kubwa kuliko tatizo lenyewe.

Hell kama huyo jamaa ni waziri basi mimi Rais.
 
Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana.

Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo una kiswahili cha kificho ama tafsida.

Ni aibu sana kuwa na Waziri mkurupuko na mshamba kama Mkenda, he fell short of the recent world.

Watanzania endapo mtashindwa kuelewa kuwa huyu Waziri ni kilaza na kakurupuka na ana mihemko ya kishamba ipo siku mtaumbuka.

Ni akili finyu isiyojua nchi hii kwa mapana na mambo yanayojiri kila sehemu kila siku.

Huyu Waziri anaingia kwenye orodha ya mawaziri wenye mkurupuko na washamba kuwahi kutokea katika nchi hii.

Wazira kilaza hajui kitu katika tasnia ya mziki na sanaa.

Nimekwazika na ufala, ushamba unaongezeka kila kukicha. Hatuwezi kusimama wakati Dunia inakimbia things are changing, zama hazigandi zinabadirika daily.

Tuna viongozi baadhi washamba hadi kero.

Soma:
- Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Wadiz
We ndo kilaza mshamba kabisa kawapigie watoto wako nyimbo za kipuuzi kama hizo mpuuzi mmoja ww
 
Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana.

Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo una kiswahili cha kificho ama tafsida.

Ni aibu sana kuwa na Waziri mkurupuko na mshamba kama Mkenda, he fell short of the recent world.

Watanzania endapo mtashindwa kuelewa kuwa huyu Waziri ni kilaza na kakurupuka na ana mihemko ya kishamba ipo siku mtaumbuka.

Ni akili finyu isiyojua nchi hii kwa mapana na mambo yanayojiri kila sehemu kila siku.

Huyu Waziri anaingia kwenye orodha ya mawaziri wenye mkurupuko na washamba kuwahi kutokea katika nchi hii.

Wazira kilaza hajui kitu katika tasnia ya mziki na sanaa.

Nimekwazika na ufala, ushamba unaongezeka kila kukicha. Hatuwezi kusimama wakati Dunia inakimbia things are changing, zama hazigandi zinabadirika daily.

Tuna viongozi baadhi washamba hadi kero.

Soma:
- Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Wadiz
Acha kupotosha jamii,hakuna Mwl aliyefukuzwa kisa wimbo.
 
Kuna wakati na nyakati, msanii wa mziki haishi mbinguni na hawakilishi malaika, Waziri Mkenda ni mshamba sana narudia ni mshamba sana.

Wimbo wa Zuchu content yake ni ya kitanzania na huu wimbo una kiswahili cha kificho ama tafsida.

Ni aibu sana kuwa na Waziri mkurupuko na mshamba kama Mkenda, he fell short of the recent world.

Watanzania endapo mtashindwa kuelewa kuwa huyu Waziri ni kilaza na kakurupuka na ana mihemko ya kishamba ipo siku mtaumbuka.

Ni akili finyu isiyojua nchi hii kwa mapana na mambo yanayojiri kila sehemu kila siku.

Huyu Waziri anaingia kwenye orodha ya mawaziri wenye mkurupuko na washamba kuwahi kutokea katika nchi hii.

Wazira kilaza hajui kitu katika tasnia ya mziki na sanaa.

Nimekwazika na ufala, ushamba unaongezeka kila kukicha. Hatuwezi kusimama wakati Dunia inakimbia things are changing, zama hazigandi zinabadirika daily.

Tuna viongozi baadhi washamba hadi kero.

Soma:
- Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

Wadiz
Umeandika wamefukuzwa lkn reference uliyoweka inasema wamevuliwa madaraka halafu unasema Mkenda......, Sasa hapo kosa lake ni lipi?
 
Wewe ni poor brain na waziri wako pia ni poor brain
Nyimbo inapotred inapigwa kila mahali mda wote hao watoto walikiwa wanauimba kama wimbo wa taifa vile yani wanaujua sana

Eti wewe huoni kosa la waziri,serikali wala basata bali waalimu ndiyo wenye makosa
Na ukiangalia hapo shule ni kama kulikuwa na tukio maalumu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
I love this post. I showed this post to my family & they also loved this post.we bought a projector & showed this post to the whole neighborhood & they also loved this post. Our lives have changed because of this post. We are grateful to you for this post,Thank you so much for this post..
 
Kiongozi umesema ukweli mtupu. Shuleni ni mahali ambapo nidhamu ya watoto inatengenezwa ndiyo maana mtoto kama anakuja na tabia mbaya toka kwao ataathibiwa au fukuzwa. Sasa walitaka eti kisa basata wameacha huo wimbo basi ni halali watoto wacheze. Mbona baa kuna liseni wanapewa ya kufanya biashara hiyo lakini akikutwa mwanafunzi sheria inachukua mkondo wake. Tuache kushabikia ujinga nampongeza Waziri kwa hatua aliyochukua. Kama wazazi wachache hawajitambui basi acha Waziri asaidie.Nimeangalia clip ni kitu cha ajabu sana walimu walichokifanya. Hii iwe fundisho na kwa wengine. Zipo nyimbo ambazo watoto wanaweza wekewa na wakacheza bila tatizo lolote.
Nashangaa mijitu ya humu ina shabikia ujinga tu..

Nilichokiona hapa wengi wanafuata mkumbo
 
Wimbo ungekuwa haufai serikali ingeufungia kama inavyofunga za Roma mkatoliki na Ney wa mitego, kila mtaa sasa hivi ni hanii hanii pengine hadi watoto wake huko nyumbani wanaimba,kazi kuonea walimu tu. Naungana na wewe huyu waziri ni kilaza!!
 
Tuache kuhalalisha ujinga mkuu wewe hiyo nyimbo mutaruhusu mtoto wako aimbe nyumbani?

Ni wimbo wenye maadili?

Maneno ya "namkatia uno hani wangu".

Mnataka watoto wayaimbe hayo halafu baadaye mje mseme kizazi hiki kimeharibika?

Wengi mnasema et kama wimbo ulikuwa mbaya kwanini Basata wasifungie yaani kwahiyo Basata wakiruhusu mbaya wewe utaruhusu wanao wasikilize kwa sababu Basata wameruhusu?

Tukubaliane kuwa wimbo hauna maadili kwa watoto, na walimu tumewapa dhamana ya kusimamia maadili ya watoto wawapo shuleni wakiwa nje ya shule ni jukumu la wazazi.
Basata wako busy na kina Roma na sio nyimbo zisizo na maadili !!

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom