Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,912
- 36,754
Habari,
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ameonekana akiongea bungeni na kumbi zingine nje ya Bunge akiwataka Watanzania wafungue moyo kupokea neema kutoka kwa Mwekezaji sijui anaitwa D World.
Swali la wananchi kwa serikali liko hivi:
Je, ni serikali ilimtafuta Mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?
Tukijibiwa hili swali ndipo tutapata mpenyo wa kuuliza maswali mengine au tutaanza kufurahia hizo neema.
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ameonekana akiongea bungeni na kumbi zingine nje ya Bunge akiwataka Watanzania wafungue moyo kupokea neema kutoka kwa Mwekezaji sijui anaitwa D World.
Swali la wananchi kwa serikali liko hivi:
Je, ni serikali ilimtafuta Mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?
Tukijibiwa hili swali ndipo tutapata mpenyo wa kuuliza maswali mengine au tutaanza kufurahia hizo neema.