Sakata la Bandari: Je, ni serikali ilimtafuta mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,912
36,754
Habari,

Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ameonekana akiongea bungeni na kumbi zingine nje ya Bunge akiwataka Watanzania wafungue moyo kupokea neema kutoka kwa Mwekezaji sijui anaitwa D World.

Swali la wananchi kwa serikali liko hivi:

Je, ni serikali ilimtafuta Mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Tukijibiwa hili swali ndipo tutapata mpenyo wa kuuliza maswali mengine au tutaanza kufurahia hizo neema.
 
Hawa CCM hadi wanaondoka madarakani watauza kilakitu cha nchii, pamoja bandari zetu kutoa huduma kwa bei gharama kubwa charges nyingi ukilinganisha na bandari nyingine Duniani bado tunaambia zimeishindwa kujiendesha wale wanaiba ndio hawa wauzaji Kisha wanatuambia tumeshindwa kuziendasha na mimi wananiweka kwenye mamuzi yao.
 
Hawa ccm hadi wanaondoka madarakani watauza kilakitu cha nchii, pamoja bandari zetu kutoa huduma kwa bei gharama kubwa charges nyingi ukilinganisha na bandari nyingine Duniani bado tunaambia zimeishindwa kujiendesha wale wanaiba ndio hawa wauzaji Kisha wanatuambia tumeshindwa kuziendasha na mimi wananiweka kwenye mamuzi yao
Who bewitched this country?
 
Habari,

Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ameonekana akiongea bungeni na kumbi zingine nje ya Bunge akiwataka Watanzania wafungue moyo kupokea neema kutoka kwa Mwekezaji sijui anaitwa D World.

Swali la wananchi kwa serikali liko hivi:

Je, ni serikali ilimtafuta Mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Tukijibiwa hili swali ndipo tutapata mpenyo wa kuuliza maswali mengine au tutaanza kufurahia hizo neema.
Mwacheni Mama afurahie maisha na Wajomba zake!
 
Habari,

Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ameonekana akiongea bungeni na kumbi zingine nje ya Bunge akiwataka Watanzania wafungue moyo kupokea neema kutoka kwa Mwekezaji sijui anaitwa D World.

Swali la wananchi kwa serikali liko hivi:

Je, ni serikali ilimtafuta Mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Tukijibiwa hili swali ndipo tutapata mpenyo wa kuuliza maswali mengine au tutaanza kufurahia hizo neema.
Za chini ya kapeti zinasema walioleta hii kampuni ni Mtoto wa Mama Samia,Mkwe wa Kikwete na Mr Patel.Huyu Patel ndiye yule anayejenga Hotel kule mbugani Serengeti kwenye mazalia ya Wanyama.
 
Habari,

Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ameonekana akiongea bungeni na kumbi zingine nje ya Bunge akiwataka Watanzania wafungue moyo kupokea neema kutoka kwa Mwekezaji sijui anaitwa D World.

Swali la wananchi kwa serikali liko hivi:

Je, ni serikali ilimtafuta Mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Tukijibiwa hili swali ndipo tutapata mpenyo wa kuuliza maswali mengine au tutaanza kufurahia hizo neema.
Wee vipi! Mbona tumelimaliza tayari na wabunge wenu mliowachagua wameridhia.
 
Kwenye ule mkataba wameeleza kua mkulu alipoenda kuwatembelea wajomba zake ndio kwenye mazungumzo yao swala la Bandari likaibuka.
 
.
Screenshot_20230616-104104.jpeg
 
Habari,

Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ameonekana akiongea bungeni na kumbi zingine nje ya Bunge akiwataka Watanzania wafungue moyo kupokea neema kutoka kwa Mwekezaji sijui anaitwa D World.

Swali la wananchi kwa serikali liko hivi:

Je, ni serikali ilimtafuta Mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Tukijibiwa hili swali ndipo tutapata mpenyo wa kuuliza maswali mengine au tutaanza kufurahia hizo neema.
Ni kwamba huko uarabuni kulikuwa na mnada au tuite maonesho badala ya gulio, hapo katika pitapita tukagongana mabega ukawa mwanzo wa kujuana na kuelezeana kilichotupeleka gulioni.
 
Back
Top Bottom