Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,273
- 47,496
- Thread starter
- #21
Kenya wanaNimeishi kenya miaka mitano. Hakuna tofauti kubwa sana ya kimaisha kati ya kenya na Tanzania.
Tanzania uchumi wake haujulikani vzr kwa sababu mambo mengi ya kimaendeleo na kiuchumi yapo nje ya Mfumo unaoeleweka.
Lakin mambo mengine ya hali ya kimaisha, poverty, rushwa, ufisadi nk...mambo ni yale yale nchi zote mbili
Hio ni mtizamo wangu lakini.
Shule nzuri sana za serikali,
Hospitali bora na nyingi hadi vijijini,
Airports na bandari zenye ufanisi mkubwa.
Urasimu mdogo kulinganisha na Tanzania.
Ubunifu mkubwa wa teknolojia na utoaji huduma.
Urahisi wa kufanya biashara mkubwa
Mzunguko wa pesa mkubwa.