Safaricom yaweka rekodi Africa Mashariki kufikisha mapato ya dollar billion 1 kwa mwaka

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
38,084
47,042
Wiki hii kampuni ya simu ya Safaricom ya Kenya imefikisha mapato ya dollar bilioni 1.07 kwa mwaka na kuifanya kampuni ya kwanza katika ukanda wa Africa Mashariki kufikisha na kupita kiwango cha mapato ya dollar bilioni kwa mwaka.
 
Inatakiwa waione ili waboreshe huduma zao hasa M-pesa kama Kenya amapo hadi bodaboda, watembeza mboga na mama ntilie wanatumia M-pesa zaidi kama mfumo wa malipo kuliko makaratasi.
Hawa wa kwetu ni vice-versa hawatetei masilahi ya wateja wao Bali ya serikali kiujumla. Tutegemee wajifunze pale ambapo uongozi wa kina Nape utabadilika.
 
Ficha hii thread Vodacom Tanzania na makampuni mengine yasione tutaisha
Vodacom waanzishe pochi la biashara kama ilivyo Safaricom. Kila mtu atumie hiyo Kulipa kwa Mpesa kama ilivyo kenya. Unaweza ishi Nairobi mwezi mzima bila kushika hela ni Kulipa kwa Mpesa tu. Kuanzia Daladala, mama ntilie, bodaboda nk.
Wakianzisha hiyo lazima voda impige chini Safaricom na kurahisisha maisha ya watz kwenye kutafuta chenji na kupunguza magonjwa ya kuambukiza
 
Inatakiwa waione ili waboreshe huduma zao hasa M-pesa kama Kenya amapo hadi bodaboda, watembeza mboga na mama ntilie wanatumia M-pesa zaidi kama mfumo wa malipo kuliko makaratasi.
Sijui kwa nini hawaanzishi pochi la biashara kama ilivyo kenya. Ni fursa kubwa sana na itasaidia kuleta cashless economy
 
Inatakiwa waione ili waboreshe huduma zao hasa M-pesa kama Kenya amapo hadi bodaboda, watembeza mboga na mama ntilie wanatumia M-pesa zaidi kama mfumo wa malipo kuliko makaratasi.
Kenya kuna makampuni mangapi ya simu za mkononi? Huyu safaricom ni giant kwelikweli
 
Vodacom waanzishe pochi la biashara kama ilivyo Safaricom. Kila mtu atumie hiyo Kulipa kwa Mpesa kama ilivyo kenya. Unaweza ishi Nairobi mwezi mzima bila kushika hela ni Kulipa kwa Mpesa tu. Kuanzia Daladala, mama ntilie, bodaboda nk.
Wakianzisha hiyo lazima voda impige chini Safaricom na kurahisisha maisha ya watz kwenye kutafuta chenji na kupunguza magonjwa ya kuambukiza
Hii huduma mbona ipo nimenukuu baadhi ya swali ambalo mtumiaji wa Vodacom aliwahi uliza kwenye mtandao wa Facebook.

"...Habari Nicholaus. Tunaomba kukufahamisha kuwa tuna huduma ya pochi la biashara. Ni huduma inayokuwezesha kufungua akaunti ya Biashara ndani ya M-Pesa inayoweza kukupa uwezo wa kupokea malipo kutoka mitandao yote na kupata taarifa za kifedha kuhusu akaunti hiyo kwa urahisi. Wateja wote waliosajiliwa na M-PESA wataweza kufungua akaunti ya Biashara na kutumia huduma ya POCHI LA BIASHARA kupitia M-Pesa Isipokuwa Wafanyabiashara wote ambao tayari wamejisajili na huduma ya Lipa kwa simu hawataweza kufungua akaunti ya POCHI LA BIASHARA. Piga *150*00#>Lipa kwa M-Pesa>Lipa kwa SIMU>POCHI LA BIASHARA kujiunga
^ML..."
 
Tatizo la tz ni makato.
Lipa na Mpesa ilianza vizuri ila imevamiwa na TRA
Wakajifunze vzr kule kenya wanafanyaje. Kodi iwe ndogo sana. Hata wakikata Sh 5 kwa Kila muamala watapata hela nyingi tu. Ukiwa lipa kwa simu itasambaa kama ilivyo kenya.

Akili ndogo ni Tatizo la viongozi wengi Tz
 
Tatizo la tz ni makato.
Lipa na Mpesa ilianza vizuri ila imevamiwa na TRA
Hao nao hawajielewi, wangepata mapato mengi zaidi kwa wafanyabiashara bila kugusa hata hiyo miamala ya simu ya ulipaji kama wangetoa nafasi ya mitandao ya simu kurahisisha ulipaji na kuchochea biashara.
 
Hii huduma mbona ipo nimenukuu baadhi ya swali ambalo mtoa mtumiaji wa Vodacom aliwahi uliza kwenye mtandao wa Facebook.

"...Habari Nicholaus. Tunaomba kukufahamisha kuwa tuna huduma ya pochi la biashara. Ni huduma inayokuwezesha kufungua akaunti ya Biashara ndani ya M-Pesa inayoweza kukupa uwezo wa kupokea malipo kutoka mitandao yote na kupata taarifa za kifedha kuhusu akaunti hiyo kwa urahisi. Wateja wote waliosajiliwa na M-PESA wataweza kufungua akaunti ya Biashara na kutumia huduma ya POCHI LA BIASHARA kupitia M-Pesa Isipokuwa Wafanyabiashara wote ambao tayari wamejisajili na huduma ya Lipa kwa simu hawataweza kufungua akaunti ya POCHI LA BIASHARA. Piga *150*00#>Lipa kwa M-Pesa>Lipa kwa SIMU>POCHI LA BIASHARA kujiunga
^ML..."
Basi hawajaitangaza vzr. Waingie mtaani wawaelimishe watu fáida za pochi la biashara.
Waanze na Daladala na bodaboda maana watu wanazipanda Kila siku. Baadae itasambaa tu.
Kule kenya Kila Daladala zina number za Kulipa na jina zimebandikwa. Konda kází yake kuangalia message tu.
Kwanza Mabosi wa Daladala wataondoa wizi na utapeli wa mapato. Lakin makonda hawataangaika na chenji.

Karibu Kila mtu ana simu Tz. Inawezekana.

Unaweza ishi Nairobi mwaka mzima bila kushika hela.
Ni rahisi pia kujua money circulations na kuondoa upotevu wa hela.


Kwa maisha ya yalivyo kenya. Sidhani kama wanatuzi uchumi. Tofauti ni kwamba wap money circulations zinajulikana. Tz mambo mengi hayajulikani ndo maana ni ngumu kujua uchumi wa Tz. ( NBS wanabashiri data) Na kiuhalisia unakuta uchumi wa Tz ni mkubwa kuliko unavyoonekana sasa
 
Basi hawajaitangaza vzr. Waingie mtaani wawaelimishe watu fáida za pochi la biashara.
Waanze na Daladala na bodaboda maana watu wanazipanda Kila siku. Baadae itasambaa tu.
Kule kenya Kila Daladala zina number za Kulipa na jina zimebandikwa. Konda kází yake kuangalia message tu.
Kwanza Mabosi wa Daladala wataondoa wizi na utapeli wa mapato. Lakin makonda hawataangaika na chenji.

Karibu Kila mtu ana simu Tz. Inawezekana.

Unaweza ishi Nairobi mwaka mzima bila kushika hela.
Ni rahisi pia kujua money circulations na kuondoa upotevu wa hela.


Kwa maisha ya yalivyo kenya. Sidhani kama wanatuzi uchumi. Tofauti ni kwamba wap money circulations zinajulikana. Tz mambo mengi hayajulikani ndo maana ni ngumu kujua uchumi wa Tz. ( NBS wanabashiri data) Na kiuhalisia unakuta uchumi wa Tz ni mkubwa kuliko unavyoonekana sasa
Kenya wanatuzidi uchumi kwa mbali sana, mengine yote uliyosema ni sahihi.
 
Basi hawajaitangaza vzr. Waingie mtaani wawaelimishe watu fáida za pochi la biashara.
Waanze na Daladala na bodaboda maana watu wanazipanda Kila siku. Baadae itasambaa tu.
Kule kenya Kila Daladala zina number za Kulipa na jina zimebandikwa. Konda kází yake kuangalia message tu.
Kwanza Mabosi wa Daladala wataondoa wizi na utapeli wa mapato. Lakin makonda hawataangaika na chenji.

Karibu Kila mtu ana simu Tz. Inawezekana.

Unaweza ishi Nairobi mwaka mzima bila kushika hela.
Ni rahisi pia kujua money circulations na kuondoa upotevu wa hela.


Kwa maisha ya yalivyo kenya. Sidhani kama wanatuzi uchumi. Tofauti ni kwamba wap money circulations zinajulikana. Tz mambo mengi hayajulikani ndo maana ni ngumu kujua uchumi wa Tz. ( NBS wanabashiri data) Na kiuhalisia unakuta uchumi wa Tz ni mkubwa kuliko unavyoonekana sasa
Uko sahihi haijatangazwa vizuri
 
Moja ya Sababu ya Safaricom kufanya vizuri katika huduma yao ya M-PESA ni sera nzuri ya Benki kuu ya Kenya, mfano halisi ni rahisi kuintergrate malipo na online wallet kuliko ilivyo kwa M-pesa Tanzania.
Nina mwaka wa tatu huu nipo Bongo ila natumia M-pesa Kenya kwenye international money transfers.
BOT wana restrictions kibao ambazo ki uhalisia zinafanya huduma ya pesa kimataifa ya mitandao ya simu kutoweza kuwa flexible.
 
Moja ya Sababu ya Safaricom kufanya vizuri katika huduma yao ya M-PESA ni sera nzuri ya Benki kuu ya Kenya, mfano halisi ni rahisi kuintergrate malipo na online wallet kuliko ilivyo kwa M-pesa Tanzania.
Nina mwaka wa tatu huu nipo Bongo ila natumia M-pesa Kenya kwenye international money transfers
Inasikitisha sana kuendekeza sera za ujamaa ule wa Mao wa kujifungiafungia mambo.
Hivi PayPal ilisharuhusiwa Tanzania?
 
Kenya wanatuzidi uchumi kwa mbali sana, mengine yote uliyosema ni sahihi.
Nimeishi kenya miaka mitano. Hakuna tofauti kubwa sana ya kimaisha kati ya kenya na Tanzania.

Tanzania uchumi wake haujulikani vzr kwa sababu mambo mengi ya kimaendeleo na kiuchumi yapo nje ya Mfumo unaoeleweka.
Lakin mambo mengine ya hali ya kimaisha, poverty, rushwa, ufisadi nk...mambo ni yale yale nchi zote mbili

Hio ni mtizamo wangu lakini.
 
Back
Top Bottom