Sababu za kiroho kwanini Mike Tyson alipigwa na Evander mwaka 1996

Hivi na Mohammed' Ally alikuwa anamtumikia Mungu gani alivyokuwa akiwachapa wapinzani wake?
Nauliza swali hivi Tyson bado ni Muslim na zile bangi anazokula?


Naungana mawewe hakuna Mungu kama Mungu ninaye Mtumikia,naye ni huyohuyo MUNGU wa Yakobo(Israel)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi na Mohammed' Ally alikuwa anamtumikia Mungu gani alivyokuwa akiwachapa wapinzani wake?
Nauliza swali hivi Tyson bado ni Muslim na zile bangi anazokula?


Naungana mawewe hakuna Mungu kama Mungu ninaye Mtumikia,naye ni huyohuyo MUNGU wa Yakobo(Israel)

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekuambia waislam hawali jani ni nani? Angalia majina ya wauza ngada maarufu hapa nchini utagundua kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi na Mohammed' Ally alikuwa anamtumikia Mungu gani alivyokuwa akiwachapa wapinzani wake?
Nauliza swali hivi Tyson bado ni Muslim na zile bangi anazokula?


Naungana mawewe hakuna Mungu kama Mungu ninaye Mtumikia,naye ni huyohuyo MUNGU wa Yakobo(Israel)

Sent using Jamii Forums mobile app
Muhammad Ali was a Muslim but he was not putting his God in his fight. So the fights were between him and his opponents and not between his God and the God of his opponents
 
Huu uchambuzi uchwara.. Holifield Vs Tyson ilipaswa kufanyika.miaka mitano kabla ..
Alipoenda jela hakuweza kurudi Kwenye form..
Kibaya zaidi alipotoka jela hakupigana na mabondia wakali ..Don King alikuwa anapanga mabondia vibonde ili kumpandisha na kupiga hela..
Tyson alikuwa tayari anatumia madawa ya kulevya..
Tyson kamkwepa Sana Holyfield na Lenox Kwa sababu promoters wake walikuwa wanajua Tyson hakuwa bondia mkali wa kihivyo. He was so overrated.

By the way if u give urself a name such a name must be put into test.

He called himself a Champion and that's why his name had to be challenged in the ring
 
Tafuta kipindi YouTube kinaitwa 'chasing Tyson'
After Tyson Vs Evander 2, Tyson became so confused. Mpaka leo nahisi Jamaa kama hayupo vizuri kisaikolojia. Kichapo alicho Kula hakikuwa cha Sayari hii
 
First of all I declare my interest, I am a devoted Muslim.

Tyson aliingia katika pambano lake dhidi ya Evander Holyfield akiwa Ndio ametoka kusilimu and I think alisilimu wakati yupo jela.

Kusilimu Kwa Mike Tyson halikuwa tatizo as long as angefanya suala lake la kusilimu kuwa his personal business.

Tatizo lilikuwa ni pale alipo peleka suala la kusilimu kwake ndani ya Ulingo.

Kama utakuwa unakumbuka, wakati Tyson na msafara wake wanaingia ndani ya ulingo, yeye na msafara wake walikuwa waki-chant ' Takbeer!!! Allahu Akbar!!! Kama ishara ya kumtukuza Mungu wao katika pambano hilo.

Kwa lugha nyingine, Tyson alikuwa anajaribu kupeleka ujumbe kwamba Mungu wake ni mkubwa na atamsaidia kushinda pambano lake dhidi ya Evander Holyfield.

Hapo ndipo Tyson alifanya kosa kubwa Sana katika ulimwengu wa kiroho ambalo ninakushauri wewe unaesoma Uzi huu, usiwahi kujaribu kufanya kosa kama Hilo katika maisha yako yote.

Tyson alifanya kosa kama alilo lifanya Goliath kwenye battle field wakati ana jiandaa kumvaa kijana Daudi.

Kwa kitendo cha kumtaja Allah katika pambano kati yake dhidi ya Evander, kijana aliye muamini na kumtumikia Mungu wa Israel, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo na Mungu wa Abraham, Mike Tyson was shifting the battle from Mike Tyson Vs Evander Holyfield to ' Allah (God of the Arabs) Vs the God of Israel.

And by doing so, Mike Tyson determined the outcome of the battle, because God of Israel is the God who cannot be defeated by anything.

Mike Tyson alirudia kosa la kiroho lililo kwisha kufanywa na Goliath maelfu ya miaka iliyopita.

Goliath kabla haja anza kupambana na kijana Daudi, alianza kwa kumlaani kijana Daudi kwa kutaja majina ya miungu wa kifilisti, huku Daudi akikabidhiwa pambano lake kwa Mungu wa Israel na mwisho wa siku wote mnajua kitu gani kilitokea.

By cursing David with his gods, Goliath was transfering the battle from Goliath Vs David to " god's of Goliath Vs the God of Israel"

And by doing so Goliath already determined the outcome of the battle.


Lesson to learn:

1. In any manner what so ever, thou shall never fight the God of Israel, for nothing can defeat him. God of Israel is very powerful. Hakuna chochote Chini ya ardhi hii ambacho kinaweza kuishinda nguvu ya Mungu wa Israel. Hakuna uganga wala Uchawi unaoweza kufanyika Juu ya nyumba ya Israel.

2. When fighting with a person who lives under the grace of the God of Israel, never to try to shift the battle into a spiritual one cause the battle will be between your god and God of Israel .

# Out of topic: Is it only me? Every time I preach about the mightness of the God of Israel, something special and favourable must happen in my life.

I know today I am going to be blessed by virtue of this thread.

Ndugu yangu nachelea kusema kuwa unaweza ukawa hauko sahihi kwa hoja yako hii kutokana na ukweli kwamba, kwa uelewa wangu mimi, Allah Akhbar ni neno la kiarabu linalomaanisha Mungu Mkubwa. Kwa hiyo alichokuwa ana-chant Tyson na wafuasi wake, angeweza kuki-chant hata kwa kutumia maneno hayo ya Kiswahili, au angeweza pia kutumia kiingereza "God is Greatest". Hii lugha haina uhusiano na Uislam, kwa sababu tuseme kama Tyson angekuwa ni mwarabu halafu kwa dini akawa ni mkristo, bado angetumia maneno hayo kwa lugha ya kiarabu, yakiwa na maana ile ile ya Mungu ni mkubwa. Naomba nitoe tahadhari kwa baadhi yetu wakristo huwa tuna ufahamu mdogo ambao wakati mwingine huwa unatupelekea kuhusisha baadhi ya maneno ya kiarabu na Uislamu. Neno kwa mfano Salaam Aleikhum, si salamu ya waislamu, ni salamu ya kila mtu inayomaanisha Amani iwe nawe.

Still, mimi napendelea zaidi kushauri kuwa kama wewe ni muislamu, u-concentrate zaidi na mambo ya Kiislamu, na kama wewe ni Mkrsito vivyo hivyo. Hata hivyo tushirikishane zaidi mambo mema yaliyopo kwenye dini zetu hizi mbili, badala ya kuangalia tofauti zetu zaidi. Kwenye mgogoro wa uchinjaji nyama kwa mfano, aliwahi kuibuka Mzee wa Upako kwenye media akakemea sana hali hii, na kikubwa zaidi alichosema ni kwamba DINI HIZI MBILI DUNIANI, UISLAMU NA UKRISTO ZINASHAHIBIANA KWA KARIBU SANA KWENYE MAUDHUI YAKE NDANI YA MAANDIKO MATAKATIFU YA KILA MOJAWAPO YA DINI HIZI.
Zaidi kwa upande wangu mimi huwa ninaona UISLAMU ni Dini ambayo, inazidi ku-cement zaidi juu ya uwepo wa Yesu, kwa sababu Qurani pia inakiri uwepo wake. Tungekuwa peke yetu wakristo tu na pakawa hapana dini nyingine yenye kutambua uwepo wa Yesu, possibly wangekuwa wanajitokeza watu na kuhoji kuwa pengine Yesu hakuwepo na ingekuwa ni ngumu kidogo, kuliko ilivyo sasa, kuwapa majibu ya kuwaridhisha juu ya uwepo wake. Lakini kwa sasa hivi mtu akibisha kuhusu uwepo wa Yesu, unachotakiwa kufanya ni kumtuma tu aende msikitini akawaulize waumini wa Kiislamu au Mashehe halafu watampatia majibu. Unaona sasa Uislamu ulivyo msaada kwa Ukristo? Tena msaada mkubwa mno kwa sababu kitu kikubwa kabisa ambacho mwanadamu anatakiwa akifahamu ili aweze kuwa Mkristo, ni uwepo wa Kristo, yaani Yesu!
 
Ndugu yangu nachelea kusema kuwa unaweza ukawa hauko sahihi kwa hoja yako hii kutokana na ukweli kwamba, kwa uelewa wangu mimi, Allah Akhbar ni neno la kiarabu linalomaanisha Mungu Mkubwa. Kwa hiyo alichokuwa ana-chant Tyson na wafuasi wake, angeweza kuki-chant hata kwa kutumia maneno hayo ya Kiswahili, au angeweza pia kutumia kiingereza "God is Greatest". Hii lugha haina uhusiano na Uislam, kwa sababu tuseme kama Tyson angekuwa ni mwarabu halafu kwa dini akawa ni mkristo, bado angetumia maneno hayo kwa lugha ya kiarabu, yakiwa na maana ile ile ya Mungu ni mkubwa. Naomba nitoe tahadhari kwa baadhi yetu wakristo huwa tuna ufahamu mdogo ambao wakati mwingine huwa unatupelekea kuhusisha baadhi ya maneno ya kiarabu na Uislamu. Neno kwa mfano Salaam Aleikhum, si salamu ya waislamu, ni salamu ya kila mtu inayomaanisha Amani iwe nawe.

Still, mimi napendelea zaidi kushauri kuwa kama wewe ni muislamu, u-concentrate zaidi na mambo ya Kiislamu, na kama wewe ni Mkrsito vivyo hivyo. Hata hivyo tushirikishane zaidi mambo mema yaliyopo kwenye dini zetu hizi mbili, badala ya kuangalia tofauti zetu zaidi. Kwenye mgogoro wa uchinjaji nyama kwa mfano, aliwahi kuibuka Mzee wa Upako kwenye media akakemea sana hali hii, na kikubwa zaidi alichosema ni kwamba DINI HIZI MBILI DUNIANI, UISLAMU NA UKRISTO ZINASHAHIBIANA KWA KARIBU SANA KWENYE MAUDHUI YAKE NDANI YA MAANDIKO MATAKATIFU YA KILA MOJAWAPO YA DINI HIZI.
Zaidi kwa upande wangu mimi huwa ninaona UISLAMU ni Dini ambayo, inazidi ku-cement zaidi juu ya uwepo wa Yesu, kwa sababu Qurani pia inakiri uwepo wake. Tungekuwa peke yetu wakristo tu na pakawa hapana dini nyingine yenye kutambua uwepo wa Yesu, possibly wangekuwa wanajitokeza watu na kuhoji kuwa pengine Yesu hakuwepo na ingekuwa ni ngumu kidogo, kuliko ilivyo sasa, kuwapa majibu ya kuwaridhisha juu ya uwepo wake. Lakini kwa sasa hivi mtu akibisha kuhusu uwepo wa Yesu, unachotakiwa kufanya ni kumtuma tu aende msikitini akawaulize waumini wa Kiislamu au Mashehe halafu watampatia majibu. Unaona sasa Uislamu ulivyo msaada kwa Ukristo? Tena msaada mkubwa mno kwa sababu kitu kikubwa kabisa ambacho mwanadamu anatakiwa akifahamu ili aweze kuwa Mkristo, ni uwepo wa Kristo, yaani Yesu!

Ur simply still a learner.

And let me tell you this, I am a Muslim and will tell it to you ten million times times that Allah the God of Arabs and Muslims is not Yahweh/YHVH the God of ISACK,Jacob and Abraham, the God of Israel.

Stop exposing ur ignorance cause u got a very little and limited understanding about the concept of deities.
 
Ur simply still a learner.

And let me tell you this, I am a Muslim and will tell it to you ten million times times that Allah the God of Arabs and Muslims is not Yahweh/YHVH the God of ISACK,Jacob and Abraham, the God of Israel.

Stop exposing ur ignorance cause u got a very little and limited understanding about the concept of deities.
I'm sorry to let you know the fact that The living God I worship is not among the deities because He is the ONLY God. Thanks for your advice anyway!
 
Teh teh teh Tyson was 30 yrs old and Evander was 34 yes old. Nani anafaaa kuwa amechana at that age ?
Hivi unajua lilikuwa pambano la ngapi baada ya kutoka jela? Na hayo aliyoshinda alitumia Mungu yupi?
 
Nadhani ungeongezea pia,hata Malcom X alifanya kosa kubwa la kiroho ndio maana akachezea mvua za risasi.
 
Ndugu yangu nachelea kusema kuwa unaweza ukawa hauko sahihi kwa hoja yako hii kutokana na ukweli kwamba, kwa uelewa wangu mimi, Allah Akhbar ni neno la kiarabu linalomaanisha Mungu Mkubwa. Kwa hiyo alichokuwa ana-chant Tyson na wafuasi wake, angeweza kuki-chant hata kwa kutumia maneno hayo ya Kiswahili, au angeweza pia kutumia kiingereza "God is Greatest". Hii lugha haina uhusiano na Uislam, kwa sababu tuseme kama Tyson angekuwa ni mwarabu halafu kwa dini akawa ni mkristo, bado angetumia maneno hayo kwa lugha ya kiarabu, yakiwa na maana ile ile ya Mungu ni mkubwa. Naomba nitoe tahadhari kwa baadhi yetu wakristo huwa tuna ufahamu mdogo ambao wakati mwingine huwa unatupelekea kuhusisha baadhi ya maneno ya kiarabu na Uislamu. Neno kwa mfano Salaam Aleikhum, si salamu ya waislamu, ni salamu ya kila mtu inayomaanisha Amani iwe nawe.

Still, mimi napendelea zaidi kushauri kuwa kama wewe ni muislamu, u-concentrate zaidi na mambo ya Kiislamu, na kama wewe ni Mkrsito vivyo hivyo. Hata hivyo tushirikishane zaidi mambo mema yaliyopo kwenye dini zetu hizi mbili, badala ya kuangalia tofauti zetu zaidi. Kwenye mgogoro wa uchinjaji nyama kwa mfano, aliwahi kuibuka Mzee wa Upako kwenye media akakemea sana hali hii, na kikubwa zaidi alichosema ni kwamba DINI HIZI MBILI DUNIANI, UISLAMU NA UKRISTO ZINASHAHIBIANA KWA KARIBU SANA KWENYE MAUDHUI YAKE NDANI YA MAANDIKO MATAKATIFU YA KILA MOJAWAPO YA DINI HIZI.
Zaidi kwa upande wangu mimi huwa ninaona UISLAMU ni Dini ambayo, inazidi ku-cement zaidi juu ya uwepo wa Yesu, kwa sababu Qurani pia inakiri uwepo wake. Tungekuwa peke yetu wakristo tu na pakawa hapana dini nyingine yenye kutambua uwepo wa Yesu, possibly wangekuwa wanajitokeza watu na kuhoji kuwa pengine Yesu hakuwepo na ingekuwa ni ngumu kidogo, kuliko ilivyo sasa, kuwapa majibu ya kuwaridhisha juu ya uwepo wake. Lakini kwa sasa hivi mtu akibisha kuhusu uwepo wa Yesu, unachotakiwa kufanya ni kumtuma tu aende msikitini akawaulize waumini wa Kiislamu au Mashehe halafu watampatia majibu. Unaona sasa Uislamu ulivyo msaada kwa Ukristo? Tena msaada mkubwa mno kwa sababu kitu kikubwa kabisa ambacho mwanadamu anatakiwa akifahamu ili aweze kuwa Mkristo, ni uwepo wa Kristo, yaani Yesu!
Uko sahihi mkuu,ila kwenye lugha ya kiarabu na uislam huwezi tenganisha mkuu.

Muislamu yeyote ili uive ni lazima ujue kiarabu,huwezi kuwa muislam na hujui kiarabu hata kidogo,

Uislamu na kiarabu ni havitengani,quran imeandikwa kiarabu ,hivyo hata ibada lazima kiarabu kipigwe kidogo na ufafanuzi ndio kiswahili,maandiko mengi ya kislam lazima kiarabu kiwepo

Nilikuta mzee namtumbo ndan ndan huko anapiga kiarabu balaa kisa dini,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom