Kwa kasi ya Aziz Ki muda si mrefu Mayele anaenda kuwa exposed kama Tyson aliyokuwa exposed na Evander mwaka 96

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,215
27,360
Kabla hajakutana na Evander kila mtu alikuwa anasema Tyson is undisputable. Siku aliyo kutana na Evander akawa ndio ingawa siku yake ya kuwa exposed to the world kwamba , kumbe Tyson ni bondia wa kawaida tu.

Usiku you instead ya Tyson kuwa bully kama alivyo zoea yeye ndio akawa bullied.

Mashabiki wa Tyson tuliumia sana siku hiyo (nilikuwa darasa la tano).

Tulianza kuchukua Evander kwa kututhibitishia kitu ambacho tulikuwa hatujaziandaa akili zetu kuzikubali lakini baadae tukajikuta tunamkubali tena Evander (Stochkholm Syndrome).

BACK TO MAYELE VS AZIZ KI

Yanga tuli "Mfalmesha" Mayele kwa sababu kwa muda mrefu tulikuwa wakiwa. Hatukuwa na striker ambae walau alikuwa na uhakika wa kufunga. Alipokuja Mayele alionekana mfalme chongo kwenye nchi ya vipofu.

Hata hivyo Mayele alikuwa na udhaifu huu hapa chinj👇

Hakuwa kabisa na njaa ya magoli yani akifunga goli moja tu amesha ridhika. Njaa alikuwa nayo akiwa hajapata goli lakini akishapata goli tu njaa inakata hapo hapo. Suala hili lilimuondolea sifa ya kuwa striker wa mpira wa kisasa. Mpira wa kisasa unamuhitaji striker anaefunga magoli mengi kama vile Haaland au Baleke kabla hajasahau kufunga (hajanyunyiziwa).

Striker unashindwa vipi kufikisha magoli walau 20 tu, kila msimu unafunga magoli kumi na 7 tu. Yee ( hiyo yee isome kwa sauti ya kisukuma).

Mtazame Azizi K, yeye sio striker ni kiungo, lakini ana magoli tisa na ligi ndio kwanza hata mzunguko wa kwanza haujamalizika.

Kwa kasi hii, Aziz Ki anaweza kufikisha zaidi ya magoli 20 au zaidi na anaweza hata kuvunja rekodi ya Mohamed Hussein Machinga.

Tusimsahau MAXI Nzengeli na yeye pia ni mchezaji mzuri mwenye njaa ya kufunga ambae anaweza kufikisha magoli 20 msimu huu.

Niliwahi kuandika Uzi kwamba kwenye timu yangu nitaenda na Kibu badala ya Mayele kwa sababu Kibu ana njaa ya kufunga na haridhiki na goli moja. Na huyu ni Kibu wa kipindi hicho ambae alikuwa bado hajaizoea jezi ya Simba. Watu walinipopoa sana but now mnamuona Kibu alivyo wamoto. Kibu angekuwa anacheza Yanga pale angekuwa na magoli 15 plus hadi muda huu.

1702790178174.jpg
 
Kufunga magoli mengi si kipimo cha ushambuliaji bora. Mshambuliaji ana sifa nyingi.
1. Mayele anapiga miguu yote miwili
2. Mayele anafunga kwa vichwa,
3. Mayele ana kasi
4. Mayele anaweza kukokota mpira umbali mrefu na akafunga
5. Mayele anaweza kupiga chenga
6. Mayele anaamua mechi muhimu
7. Mayele hategemei kulishwa, anaweza kujitengenezea nafasi yeye mwenyewe
Hata kama hakufikisha magoli 20, kwangu Mayele ndiye mshambuliaji bora kuwahi kutokea hapa tanzania tangu karne ya 21 ilipoanza mwaka 2000
 
Kufunga magoli mengi si kipimo cha ushambuliaji bora. Mshambuliaji ana sifa nyingi.
1. Mayele anapiga miguu yote miwili
2. Mayele anafunga kwa vichwa,
3. Mayele ana kasi
4. Mayele anaweza kukokota mpira umbali mrefu na akafunga
5. Mayele anaweza kupiga chenga
6. Mayele anaamua mechi muhimu
7. Mayele hategemei kulishwa, anaweza kujitengenezea nafasi yeye mwenyewe
Hata kama hakufikisha magoli 20, kwangu Mayele ndiye mshambuliaji bora kuwahi kutokea hapa tanzania tangu karne ya 21 ilipoanza mwaka 2000
Na MAYELE alikua anafunga akiwa katika impossible angle.
 
Kufunga magoli mengi si kipimo cha ushambuliaji bora. Mshambuliaji ana sifa nyingi.
1. Mayele anapiga miguu yote miwili
2. Mayele anafunga kwa vichwa,
3. Mayele ana kasi
4. Mayele anaweza kukokota mpira umbali mrefu na akafunga
5. Mayele anaweza kupiga chenga
6. Mayele anaamua mechi muhimu
7. Mayele hategemei kulishwa, anaweza kujitengenezea nafasi yeye mwenyewe
Hata kama hakufikisha magoli 20, kwangu Mayele ndiye mshambuliaji bora kuwahi kutokea hapa tanzania tangu karne ya 21 ilipoanza mwaka 2000
Umemaliza kila kitu, Mimi alipoandika Tu pambano la Tyson na Evander alikuwa darasa la tano basi namsamehe bure Tu nimeshapata jibu lililokuwa linanisumbuwa.
 
Kabla hajakutana na Evander kila mtu alikuwa anasema Tyson is undisputable. Siku aliyo kutana na Evander akawa ndio ingawa siku yake ya kuwa exposed to the world kwamba , kumbe Tyson ni bondia wa kawaida tu.

Usiku you instead ya Tyson kuwa bully kama alivyo zoea yeye ndio akawa bullied.

Mashabiki wa Tyson tuliumia sana siku hiyo (nilikuwa darasa la tano).

Tulianza kuchukua Evander kwa kututhibitishia kitu ambacho tulikuwa hatujaziandaa akili zetu kuzikubali lakini baadae tukajikuta tunamkubali tena Evander (Stochkholm Syndrome).

BACK TO MAYELE VS AZIZ KI

Yanga tuli "Mfalmesha" Mayele kwa sababu kwa muda mrefu tulikuwa wakiwa. Hatukuwa na striker ambae walau alikuwa na uhakika wa kufunga. Alipokuja Mayele alionekana mfalme chongo kwenye nchi ya vipofu.

Hata hivyo Mayele alikuwa na udhaifu huu hapa chinj

Hakuwa kabisa na njaa ya magoli yani akifunga goli moja tu amesha ridhika. Njaa alikuwa nayo akiwa hajapata goli lakini akishapata goli tu njaa inakata hapo hapo. Suala hili lilimuondolea sifa ya kuwa striker wa mpira wa kisasa. Mpira wa kisasa unamuhitaji striker anaefunga magoli mengi kama vile Haaland au Baleke kabla hajasahau kufunga (hajanyunyiziwa).

Striker unashindwa vipi kufikisha magoli walau 20 tu, kila msimu unafunga magoli kumi na 7 tu. Yee ( hiyo yee isome kwa sauti ya kisukuma).

Mtazame Azizi K, yeye sio striker ni kiungo, lakini ana magoli tisa na ligi ndio kwanza hata mzunguko wa kwanza haujamalizika.

Kwa kasi hii, Aziz Ki anaweza kufikisha zaidi ya magoli 20 au zaidi na anaweza hata kuvunja rekodi ya Mohamed Hussein Machinga.

Tusimsahau MAXI Nzengeli na yeye pia ni mchezaji mzuri mwenye njaa ya kufunga ambae anaweza kufikisha magoli 20 msimu huu.

Niliwahi kuandika Uzi kwamba kwenye timu yangu nitaenda na Kibu badala ya Mayele kwa sababu Kibu ana njaa ya kufunga na haridhiki na goli moja. Na huyu ni Kibu wa kipindi hicho ambae alikuwa bado hajaizoea jezi ya Simba. Watu walinipopoa sana but now mnamuona Kibu alivyo wamoto. Kibu angekuwa anacheza Yanga pale angekuwa na magoli 15 plus hadi muda huu.

Mwenzio SAYVILLE nimemshauri ahamie kwenye rede atatoboa. Wewe Jaribu bao utatisha.
 
Kabla hajakutana na Evander kila mtu alikuwa anasema Tyson is undisputable. Siku aliyo kutana na Evander akawa ndio ingawa siku yake ya kuwa exposed to the world kwamba , kumbe Tyson ni bondia wa kawaida tu.

Usiku you instead ya Tyson kuwa bully kama alivyo zoea yeye ndio akawa bullied.

Mashabiki wa Tyson tuliumia sana siku hiyo (nilikuwa darasa la tano).

Tulianza kuchukua Evander kwa kututhibitishia kitu ambacho tulikuwa hatujaziandaa akili zetu kuzikubali lakini baadae tukajikuta tunamkubali tena Evander (Stochkholm Syndrome).

BACK TO MAYELE VS AZIZ KI

Yanga tuli "Mfalmesha" Mayele kwa sababu kwa muda mrefu tulikuwa wakiwa. Hatukuwa na striker ambae walau alikuwa na uhakika wa kufunga. Alipokuja Mayele alionekana mfalme chongo kwenye nchi ya vipofu.

Hata hivyo Mayele alikuwa na udhaifu huu hapa chinj👇

Hakuwa kabisa na njaa ya magoli yani akifunga goli moja tu amesha ridhika. Njaa alikuwa nayo akiwa hajapata goli lakini akishapata goli tu njaa inakata hapo hapo. Suala hili lilimuondolea sifa ya kuwa striker wa mpira wa kisasa. Mpira wa kisasa unamuhitaji striker anaefunga magoli mengi kama vile Haaland au Baleke kabla hajasahau kufunga (hajanyunyiziwa).

Striker unashindwa vipi kufikisha magoli walau 20 tu, kila msimu unafunga magoli kumi na 7 tu. Yee ( hiyo yee isome kwa sauti ya kisukuma).

Mtazame Azizi K, yeye sio striker ni kiungo, lakini ana magoli tisa na ligi ndio kwanza hata mzunguko wa kwanza haujamalizika.

Kwa kasi hii, Aziz Ki anaweza kufikisha zaidi ya magoli 20 au zaidi na anaweza hata kuvunja rekodi ya Mohamed Hussein Machinga.

Tusimsahau MAXI Nzengeli na yeye pia ni mchezaji mzuri mwenye njaa ya kufunga ambae anaweza kufikisha magoli 20 msimu huu.

Niliwahi kuandika Uzi kwamba kwenye timu yangu nitaenda na Kibu badala ya Mayele kwa sababu Kibu ana njaa ya kufunga na haridhiki na goli moja. Na huyu ni Kibu wa kipindi hicho ambae alikuwa bado hajaizoea jezi ya Simba. Watu walinipopoa sana but now mnamuona Kibu alivyo wamoto. Kibu angekuwa anacheza Yanga pale angekuwa na magoli 15 plus hadi muda huu.

Ulijitanabahisha kuwa wewe ni mwanaume. Na sifa kuu ya mwanaume ni kusimamia kauli zake.

Uliahidi hutoonekana Tena humu jukwaani. Simamia kauli Yako mkuu.

Au la, omba radhi wanamichezo kisha futa kauli
 
Ulijitanabahisha kuwa wewe ni mwanaume. Na sifa kuu ya mwanaume ni kusimamia kauli zake.

Uliahidi hutoonekana Tena humu jukwaani. Simamia kauli Yako mkuu.

Au la, omba radhi wanamichezo kisha futa kauli
Nimewashauri mods wamfungulie hasimu wake bwana gentamycine Ili kuwepo na balance
 
Kabla hajakutana na Evander kila mtu alikuwa anasema Tyson is undisputable. Siku aliyo kutana na Evander akawa ndio ingawa siku yake ya kuwa exposed to the world kwamba , kumbe Tyson ni bondia wa kawaida tu.

Usiku you instead ya Tyson kuwa bully kama alivyo zoea yeye ndio akawa bullied.

Mashabiki wa Tyson tuliumia sana siku hiyo (nilikuwa darasa la tano).

Tulianza kuchukua Evander kwa kututhibitishia kitu ambacho tulikuwa hatujaziandaa akili zetu kuzikubali lakini baadae tukajikuta tunamkubali tena Evander (Stochkholm Syndrome).

BACK TO MAYELE VS AZIZ KI

Yanga tuli "Mfalmesha" Mayele kwa sababu kwa muda mrefu tulikuwa wakiwa. Hatukuwa na striker ambae walau alikuwa na uhakika wa kufunga. Alipokuja Mayele alionekana mfalme chongo kwenye nchi ya vipofu.

Hata hivyo Mayele alikuwa na udhaifu huu hapa chinj

Hakuwa kabisa na njaa ya magoli yani akifunga goli moja tu amesha ridhika. Njaa alikuwa nayo akiwa hajapata goli lakini akishapata goli tu njaa inakata hapo hapo. Suala hili lilimuondolea sifa ya kuwa striker wa mpira wa kisasa. Mpira wa kisasa unamuhitaji striker anaefunga magoli mengi kama vile Haaland au Baleke kabla hajasahau kufunga (hajanyunyiziwa).

Striker unashindwa vipi kufikisha magoli walau 20 tu, kila msimu unafunga magoli kumi na 7 tu. Yee ( hiyo yee isome kwa sauti ya kisukuma).

Mtazame Azizi K, yeye sio striker ni kiungo, lakini ana magoli tisa na ligi ndio kwanza hata mzunguko wa kwanza haujamalizika.

Kwa kasi hii, Aziz Ki anaweza kufikisha zaidi ya magoli 20 au zaidi na anaweza hata kuvunja rekodi ya Mohamed Hussein Machinga.

Tusimsahau MAXI Nzengeli na yeye pia ni mchezaji mzuri mwenye njaa ya kufunga ambae anaweza kufikisha magoli 20 msimu huu.

Niliwahi kuandika Uzi kwamba kwenye timu yangu nitaenda na Kibu badala ya Mayele kwa sababu Kibu ana njaa ya kufunga na haridhiki na goli moja. Na huyu ni Kibu wa kipindi hicho ambae alikuwa bado hajaizoea jezi ya Simba. Watu walinipopoa sana but now mnamuona Kibu alivyo wamoto. Kibu angekuwa anacheza Yanga pale angekuwa na magoli 15 plus hadi muda huu.

Hapa bongo bado hapajatokea striker hatari kama fiston kalala Mayele....
 
Ulijitanabahisha kuwa wewe ni mwanaume. Na sifa kuu ya mwanaume ni kusimamia kauli zake.

Uliahidi hutoonekana Tena humu jukwaani. Simamia kauli Yako mkuu.

Au la, omba radhi wanamichezo kisha futa kauli
😂
 
Back
Top Bottom