Sababu ya Putin kulazimisha vijana kwenda vitani kupigana ni kuwaziba midomo wasimpinge mitaani

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,906
51,934
Kumekuwa na mwamko mkubwa wa vijana mitaani kupinga Putin na vita yake Ukraine ambako kumesababisha ugumu wa maisha kwa warusi.Vijana wamekuwa waandamana maeneo mbalimbali kupinga

Putin kaona dawa yao ni kuwaondoa uraiani na kuwapeleka jeshini ambako midomo yao itazibwa .Kule ni kusema Yes Putin hakuna cha No.


Na pia kutaenda kuwapunguza idadi yao kwa risasi na makombora ya Ukraine

Kifupi anawapeleka machinjoni sababu hawana uzoefu wa vita wakachinjwe huko
 
Kumekuwa na mwamko mkubwa wa vijana mitaani kupinga Putin na vita yake Ukraine ambako kumesababisha ugumu wa maisha kwa warusi.Vijana wamekuwa waandamana maeneo mbalimbali kupinga

Putin kaona dawa yao ni kuwaondoa uraiani na kuwapeleka jeshini ambako midomo yao itazibwa .Kule ni kusema Yes Putin hakuna cha No.


Na pia kutaenda kuwapunguza idadi yao kwa risasi na makombora ya Ukraine

Kifupi anawapeleka machinjoni sababu hawana uzoefu wa vita wakachinjwe huko
Poor reasoning........................................................
 
Kumekuwa na mwamko mkubwa wa vijana mitaani kupinga Putin na vita yake Ukraine ambako kumesababisha ugumu wa maisha kwa warusi.Vijana wamekuwa waandamana maeneo mbalimbali kupinga

Putin kaona dawa yao ni kuwaondoa uraiani na kuwapeleka jeshini ambako midomo yao itazibwa .Kule ni kusema Yes Putin hakuna cha No.


Na pia kutaenda kuwapunguza idadi yao kwa risasi na makombora ya Ukraine

Kifupi anawapeleka machinjoni sababu hawana uzoefu wa vita wakachinjwe huko
Nonsense
 
Acha wakupinge ila umewaambia ukweli, putin anajua wazee wenzake wa zaman wa USSR na familia zao ndo wanampenda hawa wengine hawampendi. Kwahiyo lazima awapoteze.
 
Acha wakupinge ila umewaambia ukweli, putin anajua wazee wenzake wa zaman wa USSR na familia zao ndo wanampenda hawa wengine hawampendi. Kwahiyo lazima awapoteze.
Kabisa umepigilia msumari penyewe kwenye fuvu la kichwa cha Putin.Uko sahihi
 
Kumekuwa na mwamko mkubwa wa vijana mitaani kupinga Putin na vita yake Ukraine ambako kumesababisha ugumu wa maisha kwa warusi.Vijana wamekuwa waandamana maeneo mbalimbali kupinga

Putin kaona dawa yao ni kuwaondoa uraiani na kuwapeleka jeshini ambako midomo yao itazibwa .Kule ni kusema Yes Putin hakuna cha No.


Na pia kutaenda kuwapunguza idadi yao kwa risasi na makombora ya Ukraine

Kifupi anawapeleka machinjoni sababu hawana uzoefu wa vita wakachinjwe huko
Kisu kishingoni maamae

Jamaa aliwajibu polisi mimi sijui kupigana na sijawahi pigana na mtu yoyote, jamaa kamkwida
CEF3EB81-33B4-4863-88BA-B5AF95F0F561.jpeg
 
Kisu kishingoni maamae

Jamaa aliwajibu polisi mimi sijui kupigana na sijawahi pigana na mtu yoyote, jamaa kamkwida
View attachment 2369044
Watoto wake Putin na ma Oligarchs wake na mawaziri na wabunge na majaji wamewaficha wanakamata watoto wa maskini na wa wafanyakazi na wakulima kwa nguvu kupeleka vitani.Mbona mitoto yao hawaipeleki.?

Lakini sawa tu hii vita italeta awareness kwa warusi wa kawaida walio wengi kumchukia Putin .Sababu mwanzoni vita ilikuwa haiwagusi waliona ni kazi ya Jeshi tu yalihusu Jeshi tu la Urusi wao wakiwa wanaangalia tu kwenye TV !! Na kushabikia tu wa Ukraine wakivurumishiwa makombora na mirisasi na Askari wa kirusi

Sasa mitoto yao kukamatwa kwa nguvu kupelekwa jeshini akili zitawaongia wamtoe Putin au popote wakimwona Putin watampiga Rungu kichwani hata mawe!!

Resistance mitaani itaongezeka dhidi yake Putin
 
Back
Top Bottom