Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,518
- 34,322
Siyo mkenya wala sizisijui sana Siasa za Kenya.
Lakini Leo wakati namsikiliza Rais William Ruto akizungumzia mfuko wa Jimbo (CDF) nimepata hisia kwamba yeye ni bora zaidi kuliko labda Raila Odinga kama angekuwa Rais.
Uwezo wake wa kusema ukweli mbele ya wabunge nimeupenda sana.
Anajieleza vizuri na anaweka mkazo panapostahili.
Lakini Leo wakati namsikiliza Rais William Ruto akizungumzia mfuko wa Jimbo (CDF) nimepata hisia kwamba yeye ni bora zaidi kuliko labda Raila Odinga kama angekuwa Rais.
Uwezo wake wa kusema ukweli mbele ya wabunge nimeupenda sana.
Anajieleza vizuri na anaweka mkazo panapostahili.