Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,442
- 22,005
Uko sahihi "each to his own"Sio ajabu, ni sawa na wale wanaoshangaa watu kutumia facebook.
Mimi huwa nawaona washangaaji ni wa ajabu kuliko watumiaji.
Asante sana kaka ππohoo! haya nakupa na hii as a bonus
View attachment 2989817 busta rhymes akiwa na Maria Carey I know what you want.. hiyo ni remix ya beat niliifuma kuna mwanadada fulani aliipiga nikaipenda!..
Yani hiyo setting ya ringtone niliwah kugusa maramoja tangu nitumie hii simuπππππ
unaposema aunt unauhakika ni mwembamba mweupe,au unakurupuka tu!?ππ mshangaz n mnene mweusiππππππππ..
Tatizo kuna muda unapiga mi nipo na aunt...
Wee unataka uniharibie sio πππ
Au utaki tufaidi mapesa ya mshangazi huku πππππ
Wee unachojua ni mapishi tu hayo mengine watajua watengeneza simuYani hiyo setting ya ringtone niliwah kugusa maramoja tangu nitumie hii simu
ππππ Kwa sasa sichagui wala sibagui ...unaposema aunt unauhakika ni mwembamba mweupe,au unakurupuka tu!?ππ mshangaz n mnene mweusi
Me niko nawew asa nyimbo kweny ringtone ya nin πππHv bado kuna watu wanaweka wimbo kama ringtone mpaka leo hii? ππ
Duh asee!!!
Mxiuuu ebu tokaaaa ππππππππππππππ Kwa sasa sichagui wala sibagui ...
Nisije nikakupoteza bure..
Mwembamba mweupe sawa
Mwembamba mweusi mashallah
Mwembamba maji ya kunde ooooh
Mwembamba maji ya chai ewaah
πππππππππ Nini sasa..Mxiuuu ebu tokaaaa ππππππππππ
Kwanini?Wangu ni Ne-Yo miss independent