Rasmi sasa Yanga waianza safari ya Mwakarobo waliyokuwa wanaibeza

Mamaaaaae zao, dhambi ya Usaliti itawatafuna maisha yao yote. Wameisaliti sana Simba hadi hao Orlando Pirate wameweka wazi kwamba wakiwa Tanzania Utopolo waliwapa sapoti zote.
Hii ni Karma kwa kumuuza ndugu yake kwa Adui.

Waendelee kutumia pesa za kodi yetu kipuuuzi tu na kura 2025 hatuwapi.
 
Kwakweli pamoja na kua Yanga na Simba zote zinatoka ila walau this time timu za Tz ziko serious na sio wasindikizaji kama enzi zile Uto tunajiita wa kimataifa hata makundi tu huingii.

Ukienda uarabuni unakula za kutosha ukirudi bongo unadanganya kua uliwekewa sumu kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
 
Dhuluma Africa haitoisha
IMG-20240406-WA0021.jpg
 
Usitukane Mamba wakati bado hujavuka mto.

Yanga na kuibeza simba kwa kuiita Mwakarobo, sasa wao nao waianza safari ya Mwakarobo baada ya kuishia Robo Fainali.
Hivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
 

Hivi mbumbumbu mlikuwa na mechi Jana au amkuwa na mechi? Mbona inaonekana yanga ndio alikuwa na mechi maana akili na nguvu zenu zote mnaiongelea yanga? Nyie si ndiyo mmepigwa nje ndani? Goli 3 Safi bila majibu? Mnaisema yanga wakati wenzenu wanamove on na progress unaiona vipi kwa upande wenu mna jipya lipi na timu yenu iyo ya kuungaunga? Yanga kacheza na giant akiwa kamili na kikosi chake chote but kapewa mechi ngumu na kina mkude mpaka kukimbilia polisi kudhulumu goli halali!!! Vipi angekuwepo pacome, yao yao, aucho? Akili zenu ni ndogo ndio maana mangungu ataendelea kuwaongoza mpaka kiama!
Karibuni mwakalobo aka 'Kufa kiume FC'
 
Mamaaaaae zao, dhambi ya Usaliti itawatafuna maisha yao yote. Wameisaliti sana Simba hadi hao Orlando Pirate wameweka wazi kwamba wakiwa Tanzania Utopolo waliwapa sapoti zote.
Hii ni Karma kwa kumuuza ndugu yake kwa Adui.

Waendelee kutumia pesa za kodi yetu kipuuuzi tu na kura 2025 hatuwapi.
Kura unawapaga wewe kwani?kura si wanachukua ..wanaweka..waaah
 
Mamaaaaae zao, dhambi ya Usaliti itawatafuna maisha yao yote. Wameisaliti sana Simba hadi hao Orlando Pirate wameweka wazi kwamba wakiwa Tanzania Utopolo waliwapa sapoti zote.
Hii ni Karma kwa kumuuza ndugu yake kwa Adui.

Waendelee kutumia pesa za kodi yetu kipuuuzi tu na kura 2025 hatuwapi.
Akuna mpumbavu Kama mbumbumbu, Ni taahira tu anaweza kuweka nguvu kuiunga mkono timu iliyojifia, kwaiyo ulitegemea upewe ndege ukariaibishe Taifa? Mmegongwa nje ndani ni kipi mmefanya Cha maana mpaka muungwe mkono? Mpunguze ujinga wenu vinginevyo mtaendelea kuporomoka Kila msimu!
 
Back
Top Bottom