RASMI: Diploma waanza kupokea mikopo kutoka HESLB, soma muongozo hapa

Soma vizuri mkuu
wewe ndie usome vizuri nioneshe wapi nimekosea???

Wamesema umri usizid miaka 27 then hapo hapo wanasema ten wanataka uwe umemaliza CSEE au ACSEE 2019 na kuendelea ....vipi aliyemaliza 2018,2017 na umri wake ajazid 27?

Au nani unadhani mwanafunzi gani awe kamaliza 2019 tufanye hawa wakubwa wa ACSEE amevuka 27??
 
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza kutoa mikopo ngazi ya Diploma kupitia bodi ya HELSB


MWONGOZO WA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI WA STASHAHADA KWA MWAKA
WA MASOMO 2023/2024

MAELEKEZO MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WANAOOMBA MIKOPO.
Duuh ngoja tuone mwisho wake
 
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeanza kutoa mikopo ngazi ya Diploma kupitia bodi ya HELSB


MWONGOZO WA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI WA STASHAHADA KWA MWAKA
WA MASOMO 2023/2024
Vigezo ni vigumu sana kutoboa
 
wewe ndie usome vizuri nioneshe wapi nimekosea???

Wamesema umri usizid miaka 27 then hapo hapo wanasema ten wanataka uwe umemaliza CSEE au ACSEE 2019 na kuendelea ....vipi aliyemaliza 2018,2017 na umri wake ajazid 27?

Au nani unadhani mwanafunzi gani awe kamaliza 2019 tufanye hawa wakubwa wa ACSEE amevuka 27??
Narudia tena soma vizuri.
 
Hata watoe mikopo kwa secondary, bado hamna tija yoyote, katika kuokoa elimu yetu.

Wanapaswa kuangalia Nchi kama nchi ina kwama wapi kwenye mfumo mzima wa elimu.
 
Hata watoe mikopo kwa secondary, bado hamna tija yoyote, katika kuokoa elimu yetu.

Wanapaswa kuangalia Nchi kama nchi ina kwama wapi kwenye mfumo mzima wa elimu.
Toa ushauri wako wa nini kifanyike, by point sio general,
SSH huwa anapita huku ataona,
Usiseme elimu imuwezeshe kujiajiri, sema ni kivipi itamuwezesha kujiajiri na nin kifanyike
 
Kuna probability za kupata huu mkopo Kwa mtu aliyewahi kusoma degree na akapewa mkopo?
 
Iamavniana sawali hivi iwapo mtu Anataka kuomba mkopo wa elimu ya juu alaf mzazi wake mmoja amefariki je Kuna ulazima wa chetcha Kifo ikiwa cheti chat kuzaliwa kimebainisha kama mzazi amefarik
 
Back
Top Bottom