Rais Samia unajiandalia majuto ambayo hutayasahahau kwenye maisha yako ya kisiasa

kilambalambila

JF-Expert Member
Nov 16, 2013
9,295
8,627
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Naona mmezimisi damu za Watanzania wasiokuwa na hatia, maiti kwenye viroba na kila aina ya ukatili.

Wazanzibar wana hofu na Mungu, na lililo muhimu kwao ni kuiona firdaus ile pepo ya juu kabisa na mama ataiona bila shaka inshallah.
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Umeongea ukweli..
Huyu mama anajichimbia kaburi..
Mwalimu ni muda..siku zinahesabika.
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Hawafurahishi wapinzani, anawalaghai watu wa Ulaya na wengine wanaotoa misaada kwa Tanzania kwamba nchi ina demokrasia. Kama tusingehitaji misaada, wapinzani wote wangefia jela au wangehama nchi.
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Tatizo lenu TEAM MWENDAZAKE, mnahisi zile siasa za kishamba ndio zenye manufaa!!kitu gani cha maana sana ambacho jiwe alikifanya kwa kupitia njia yake hiyo, ukilinganisha na jk ktk awamu yake?eti shukrani ya punda, kwani kuruhusu demokrasia na uhuru ni takwa la rais?!!Angalia siasa za KENYA, na jinsi Kenyata alivyo fair, tunawazidi nini?!kutokana na siasa zao za kuruhusu matakwa ya katiba ndio yawaongoze?!
Mkuu siasa zile muasisi wenu ndio hivyo tena, Muacheni mama aliponye taifa, na huko zanzibar mwinyi anapata upinzani mkubwa sana kutoka kwa maa consevatives, kwani bado wanataka siasa zile za mguu wa shingo, mguu wa roho!!na yeye siasa hizo hazitaki!!kwani muasisi wake jiwe hayupo.
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Huna la maana??
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Lisu alipaswa asirudi, Mbowe afungwe maisha afie gerezani.
 
Yaani kwa ufupi wapinzani hawana akili za uzalendo. Wanachowaza wao ni madaraka na siyo mbinu mbadala wa maendeleo ya nchi yetu, kila kitu wanapinga. Mama karuhusu mpaka kitabu kinachomtukana Dkt Magufuli kichapishwe kile cha mdude, maana yake ana seek sympathy kwenye kundi ambalo watanzani hawataki kulisikia maana hawana jipya.
 
Mie nilisema mapema, Mh. Rais wangu SSH achana na wapinzani, piga kazi, hao watukuzodoa, watakudharau, watakutukana, watakuona huna maana hata uwafanyie nini, Mh. Rais akianza kutaka kuwadhirisha wapinzani ni sawa na kujaza maji gunia.

Umeona Lissu alivyogeuka, umeenda kumuona, umempatia passport, umeahidi uso kwa uso kushughulikia maslahi yake aliyokuwa analilia kutwa, bado anasema ww sio alivyokufikuria, kasema vibaya sana juzi kati ulivyokutana na ile tume ya kutoa maoni ya vyama vya siasa.

Lissu au Mbowe hata ufanye nini, ni bure kabisa, huwezi kuwaridhisha. Achana nao. Umeona juzi Mbowe kwenye jukwaa akikunanga.
 
Back
Top Bottom