antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,876
- 120,992
Mlinzi ana weledi wa kuthibitisha kifo? Siyo daktari?!Mlinzi, daktari hawezi ongea
Mlinzi ana weledi wa kuthibitisha kifo? Siyo daktari?!Mlinzi, daktari hawezi ongea
Lakini mbona hajasema alikufa kwa Covid, amesema contracted...kwa sasa hivi Serikali inatakiwa IKANUSHE hiki tulichosikia ktk Filamu.
..Dr.Abbas, Gerson Msigwa, Zuhura Yunus, hawakutimiza wajibu wao ktk hili.
..haijalishi kama Jpm alikufa kwa covid au la, video ya namna hii haikutakiwa ionekane na hilo ni jukumu la hao watatu hapo juu.
Unaonekana unajua sana kuhusu mauaji ya Rais Magufuli!Na hiyo ilikuwa mbinu ya deep state jengo jeupe mithiri ya meli ambalo ukijichanganya ukaenda ijumaa unaweza toka Jumatatu,,, pale wanaitana chief hawatajani majina … unapoenda pale aga Kabisa nyumbani maana na simu wanakabidhi mapokezi
Cc Pascal Mayalla
Covid waliipata watu wengi tu kwa hiyo siyo ajabu kuwa naye aliipata.
Ila kuhusu kile kilichomuua, sisi tunakwenda na kile ambacho madaktari walisema kimemuua
Hahhaah! JPM alikosea sana kumuamini msaidizi mengine tukae kimya..Vile alisema ni umeme wa kwenye moyo
Videos hufanyiwa editing na hao wapiga picha kabla ya kurushwa. Hapo ukiangalia vizuri utagundua kuna kitu kimerukwa.
Ndio maana nilisema akili zenu zipo level ya chini sana. Mlinzi wa Rais sio sawa na mlinzi wa geti, tambua hili. Ni watu wa usalama wenye mafunzo, ndio wanaoweza kumlinda Rais popote. Kwa kifupi ndio wanajua maisha yote ya Rais. Hata akipatwa na tatizo ndio wenye kusimamia mpaka aweze kurejea katika hali ya kawaida. Daktari ni mtu wa pili. Ila Daktari anaweza kuwa feki pia. Daktari anayemtibu Rais anasimamiwa na mlinzi.Mlinzi ana weledi wa kuthibitisha kifo? Siyo daktari?!
Lakini mbona hajasema alikufa kwa Covid, amesema contracted.
Hicho ulichokisikia kimerekodiwa, kikahakikiwa ndipo ikatoka public. Kukanusha hilo ni kupingana na Amiri jeshi aliyezungumza...kwa sasa hivi Serikali inatakiwa IKANUSHE hiki tulichosikia ktk Filamu.
..Dr.Abbas, Gerson Msigwa, Zuhura Yunus, hawakutimiza wajibu wao ktk hili.
..haijalishi kama Jpm alikufa kwa covid au la, video ya namna hii haikutakiwa ionekane na hilo ni jukumu la hao watatu hapo juu.
Umemuelewa vibaya, hakuwa anakubali alichoulizwa dogoHiki hapa ni kipande kifupi cha video kutoka kwenye filamu ya Royal tour ambapo Samia anaulizwa kama Magufuli alikufa kwa Corona na yeye kujibu ndiyo.Anakiri hilo kwenye sekunde ya 18.
View attachment 2203911
Hicho ulichokisikia kimerekodiwa, kikahakikiwa ndipo ikatoka public. Kukanusha hilo ni kupingana na Amiri jeshi aliyezungumza.