johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,958
- 143,581
Ni kuwapa tu taarifa kwamba Rais Samia alihudhuria kikao muhimu Cha IDA taasisi ya World Bank nchini Kenya
Kikao hicho muhimu kilihudhuriwa na Wakuu wa Nchi 17 za barani Africa
Credit: Mkuu Bagamoyo wa JF akiwa International Forum
Kikao hicho muhimu kilihudhuriwa na Wakuu wa Nchi 17 za barani Africa
Credit: Mkuu Bagamoyo wa JF akiwa International Forum