Yoweri Museveni awapa makavu wadau wa maendeleo katika mkutano wa IDA mjini Nairobi

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,510
24,435
29 April 2024
Nairobi, Kenya

Mkutano huo ulioanza tarehe 29 April 2024 na kuhutubiwa na viongozi wa kiafrika wakiwemo rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda , William S. Ruto wa Kenya. Mkutano huo ulihudhuriwa na wakuu wa nchi 17 na pia maafisa wandamizi wa World Bank kama rais wa benki ya Dunia Mr. Banga.


View: https://m.youtube.com/watch?v=585IMBb14Kg

Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda asema Afrika haihitaji misaada bali kuweza kupunguza gharama za uzalishaji katika viwanda, kilimo, uvuvi na ufugaji ili iweze kuuza bidhaa kimataifa badala ya misaada na mikopo ya World Bank ambayo haiwezi kuwezesha kuuza kimataifa tofauti na sasa kuitana ktk mikutano inayodaiwa kuwezesha maafisa wa serikali za kiAfrika ... hicho ni kichekesho Afrika inahitaji kuwa na reli na nishati kama umeme na siyo misaada na mikopo isiyotaka kuelekezwa ktk reli, nishati ya umeme, kilimo cha Umwagiliaji na uzalishaji mkubwa lakini Benki ya Dunia WB, Taasisi zake kama IDA hawataki kutoa mikopo nafuu itakayoelekezwa katika maendeleo endelevu ya kweli ktk reli, nishati ya umeme, kilimo cha kisasa na uzalishaji mkubwa wa viwanda badala ya kiinimacho cha sasa rais Yoweri Museveni akiwapa makavu wanaoitwa wadau wa maendeleo mabenki ya kimataifa na nchi za mabeberu..

Rais Yoweri Museveni akiongea kwa uchungu zao la kahawa nchi za Afrika tunaibiwa sana, wanaofaidika wapo Germany na nchi zingine za Ulaya, Asia na Mashariki ya kati huku wakulima wetu wakipakia masikini.

Rais Museveni anasema ni hivyo hivyo kwa mazao ya pamba, chai, kakao ajira zote za kusindika kuongeza thamani zinafanyika ktk nchi zinazodai ni wadau wa maendeleo wa Afrika lakini mazao hayo ya pamba n.k hayazalishi ajira za viwandani kwa vijana wetu wa Afrika ...

Rais Museveni anasema katika hotuba yake bila kupepesa macho kuwa jinsi wadau wa maendeleo wanavyoshirikiana na nchi zetu za kiafrika, ni uhusiano wa ukoloni mamboleo wa utumwa wa karne hii na haukubaliki.

Kuhusu madini Rais Yoweri Museveni anasema wadau hawa wa maendeleo hawataki kuchimba madini ya chuma, dhahabu n.k na hawataki kufua na kuyeyesha ktk viwanda vyetu wanachukua malighafi makinikia kupeleka kwao kuongeza thamani, kuongeza ajira za watoto wao China, Ulaya, Asia na Marekani ya Kaskazini

Rais Museveni anahitimisha kuwa uhusiano huu wa nyonya damu lazima ukomeshwe haiwezekani Uganda, Tanzania, Kenya, Burkina Faso, Nigeria zikubaliwa kuendelea na mfumo huu wa kinyonyaji wa wadau wa maendeleo...

HAKUNA UJAUZITO ENDELEVU
Rais Museveni akitoa msemo wa wahenga wa Baganda kuwa hakuna ujauzito endelevu maana kiumbe kinakaa tumboni miezi 9 kikitegemea msaada wa mama kinasha kinajitutumua kinatoka na kuanza kulelewa hadi miaka 18 kisha kinajitegemeea. Lakini wadau wa maendeleo wa Afrika hawataki nchi za bara la afrika kujitegemea, wafadhili hawa hawataki kabisa kuona nchi za kiafrika zikiongezeka umri na kukua zikajitegemea anapigia mstari maneno hayo Rais Museveni. Ifike muda sasa nchi za kiafrika zikatae misaada na ufadhili endelevu sawia na jinsi kitoto cha miezi tisa kinajitutumua kuja duniani, kikatambaa na kukua kikajitegemea kama kijana...

Gavana wa Benki Kuu wa Uganda anasema Mzee tuna akiba ya miezi 4 mbele anajigamba eti ni indicator (kiashiria) ya uchumi mzuri kwa mtazamo wa vikaragosi vya ubeberu (neocolonial government officers) na IDA / World Bank ! Akiba inazoweza kutumika kuagiza bidhaa na huduma kwa fedha za kigeni, badala ya kunipa mikakati ya kuongeza mauzo ya bidhaa zetu nje anasikitika rais Yoweri Kaguta Museveni ...


For decades, IDA has served as a powerful engine for economic growth across Africa. It empowers progress through grants and highly concessional loans, fueling strategic investments in building a skilled and healthy workforce, and nurturing job-generating industries like agriculture. Recent efforts to streamline access have further enhanced its effectiveness.

Currently, IDA supports 75 nations, 39 of them in Africa. Over 70 percent of its resources are directed toward the continent, playing a vital role in achieving the World Bank Group's goal of bringing electricity to 250 million Africans by 2030.

The call for replenishment comes amid a multitude of interconnected hardships: pandemics, climate change, food insecurity, fragility, and conflict. Yet, Africa is also brimming with potential: vast natural resources, abundant sunshine, and the world's fastest-growing youth population.

Amplifying united support for Africa's bold vision and leveraging the strength of the newly formed coalition can help ensure an undeniably bright future for the continent.

Leaders representing a coalition of global youth, the private sector, and civil society stressed the need for a robust IDA21 replenishment and committed to work in partnership.
 
29 April 2024
Nairobi, Kenya

Mkutano huo ulioanza tarehe 29 April 2024 na kuhutubiwa na viongozi wa kiafrika wakiwemo rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda , William S. Ruto wa Kenya. Mkutano huo ulihudhuriwa na wakuu wa nchi 17 na pia maafisa wandamizi wa World Bank kama rais wa benki ya Dunia Mr. Banga.


View: https://m.youtube.com/watch?v=585IMBb14Kg
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda asema Afrika haihitaji misaada bali kuweza kupunguza gharama za uzalishaji katika viwanda, kilimo, uvuvi na ufugaji ili iweze kuuza bidhaa kimataifa badala ya misaada na mikopo ya World Bank ambayo haiwezi kuwezesha kuuza kimataifa tofauti na sasa kuitana ktk mikutano inayodaiwa kuwezesha maafisa wa serikali za kiAfrika ... hicho ni kichekesho Afrika inahitaji kuwa na reli na nishati kama umeme na siyo misaada na mikopo isiyotaka kuelekezwa ktk reli, nishati ya umeme, kilimo cha Umwagiliaji na uzalishaji mkubwa lakini Benki ya Dunia WB, Taasisi zake kama IDA hawataki kutoa mikopo nafuu itakayoelekezwa katika maendeleo endelevu ya kweli ktk reli, nishati ya umeme, kilimo cha kisasa na uzalishaji mkubwa wa viwanda badala ya kiinimacho cha sasa rais Yoweri Museveni akiwapa makavu wanaoitwa wadau wa maendeleo mabenki ya kimataifa na nchi za mabeberu..


For decades, IDA has served as a powerful engine for economic growth across Africa. It empowers progress through grants and highly concessional loans, fueling strategic investments in building a skilled and healthy workforce, and nurturing job-generating industries like agriculture. Recent efforts to streamline access have further enhanced its effectiveness.

Currently, IDA supports 75 nations, 39 of them in Africa. Over 70 percent of its resources are directed toward the continent, playing a vital role in achieving the World Bank Group's goal of bringing electricity to 250 million Africans by 2030.

The call for replenishment comes amid a multitude of interconnected hardships: pandemics, climate change, food insecurity, fragility, and conflict. Yet, Africa is also brimming with potential: vast natural resources, abundant sunshine, and the world's fastest-growing youth population.

Amplifying united support for Africa's bold vision and leveraging the strength of the newly formed coalition can help ensure an undeniably bright future for the continent.

Leaders representing a coalition of global youth, the private sector, and civil society stressed the need for a robust IDA21 replenishment and committed to work in partnership.

Kuhusu suala la uongozi hakuongelea?
 
Toka maktaba:
21 November 2020

Prof Kabudi - Tanzania sio nchi ndogo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba J.A Kabudi (mbunge) amesema Tanzania haijawahi kupigishwa magoti kisa misaada ya nchi za Ulaya. Prof.Kabudi amesema hayo akiongea na Wafanyakazi wa Wizara hiyo ....

View: https://m.youtube.com/watch?v=jK-VfqMjpo4
 

Afrika inahitaji wajasiriamali Teknolojia


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZL04RbiL6r0

Engineer Noel K. Ngowi anasisitiza sana kuwa teknolojia ni sanaa, na yaani watu afrika waweze kutafsiri vitu nadharia katika uhasilia kutapowezesha wawepo wajasiriamali teknolojia watakaopelekea uzalishaji

Wajasiriamali ni watu wathubutu wanaoweza kutengeneza vitu halisi kupitia ubunifu katika teknolojia. Watu wanasoma sana nadharia huku wakikusanya vyeti lakini ukiwaambia wawe wajasiriamali teknolojia kama Bill Gates na rafiki yake Allen ni mfano wa wajasiriamali teknolojia na Afrika inahitaji aina ya watu kama kina Bill Gates wavumbuzi wa sanaa ya kuunda vitu halisi na kupelekea uanzishwaji kampuni, viwanda vidogo na vikubwa kuunda vitu halisi na kutoa ajira kwa wengi kupitia uthubutu wa aina ya wajasiriamali teknilojia .

Mtu mwingine ni Bw. Honda fundi makenika mchonga vyuma huko Japan hiyo nayo ni sanaa na iliyompelekea kuibuka kuwa mmoja wa wajasiriamali teknolojia tajwa duniani akabuni piston ring za Toyota na hakuishia hapo akaunda kiwanda cha pikipiki ambacho kilikuwa kikubwa na kufikia kutengeneza magari ya aina Honda na Robot, huyu bwana Honda ni mfano wa wajasiriamali teknolojia ambao siyo wasomi sana lakini wameleta mapinduzi ya viwandani na kutoa ajira nyingi viwandani ....
 
Hayo ndio yalikuwa maono ya mwalimu, alisomesha watu, akajenga viwanda, hakuchimba madini mwisho wake wakaja kuuza Kila kitu.
Hotuba haikuwalenga imf na benki ya dunia tu Bali pia na viongozi wa nchi za kiafrika wanaoamini katika misaada na kuombaomba kwa kisingizio cha kufungua nchi.
Tunauza Kila rasilimali tulizonazo ikiwemo bandari, mbuga, airport mpaka mwendokasi halafu tunajifanya tunatengeneza sinema za kuvutia watalii.
 
Engineer Noel K. Ngowi - Teknolojia ni Sanaa, Utayari wa Jamii Kuzalisha Teknolojia


View: https://m.youtube.com/watch?v=bOvAj23-YQs
Mambo matatu ya kuwezesha teknolojia iibuke katika jamii ya kiAfrika yatafikiwa ikiwa tu maswali haya matatu hapa chini yakipatiwa majibu, nayo ni :
  1. Hitaji ndani ya Jamii lipo
  2. Utayari wa Jamii
  3. Sapoti ya ubunifu kutoka sehemu kubwa ya jamii
wananangania kubeba karai kichwani, kubeba mizigo kama wapagazi badala la kutumia teknolojia kurahisisha mambo .....
 

29 April 2024​

CHEKECHE Yaliyojiri mkutano wa viongozi wa Tarehe 29 April 2024 Nairobi


View: https://m.youtube.com/watch?v=s-59QS98Xt4
Ni mkutano uliofanyika kwa siku mbili jijini Nairobi nchini Kenya uliofanyika kuanzia tarehe 29 April 2024 ambapo Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa walioshiriki na kutoa hotuba yake juu ya vipaumbele hivyo...

Waziri Dr. Saada Mkuya Salum kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ na Dr. Anthony Mveyange mtaalamu mbobezi wa uchumi-maendeleo, mtafiti na mjuvi wa zaidi ya miaka 15 ktk masuala hayo ya maendeleo endelevu wafafanua yaliyojiri juu ya umuhimu wa misaada na ufadhili wa kifedha toka Taasisi ya IDA ya World Bank kuondoa umasikini na kuleta maendeleo endelevu kwa nchi masikini za Afrika wakati wakihojiwa exclusive na kituo cha televisheni cha Azam cha Tanzania chenye makao yake jijijini Dar es Salaam

Wakuu wa nchi za Afrika kadhaa kwenye mkutano uliolenga walitoa hotuba kuainisha vipaumbele vyao ili vizingatiwe kwenye mkutano wa 21 wa taasisi ya misaada ya kifedha ya Benki ya Dunia (IDA).

Source : utv tanzania
 
DR. ANTHONY F. MVEYANGE Ph.D Executive Director, PASGR Nairobi, Kenya : msomi mbobevu mtanzania katika uchumi-maendeleo, uchambuzi wa umasikini pia masuala ya fedha na uhasibu. Elimu yake ya juu ameipata toka vyuo vikuu tajwa ulimwenguni vilivyopo United States, Sweden, the Netherlands, Denmark, the United Kingdom, na South Africa.

1714870925431.png

Photo : Dr. Anthony Francis Mveyange holds a Ph.D. in Economics, two master's degrees in economics, a Post-Graduate Diploma in Poverty Analysis, and a bachelor's degree in accounting and finance.


Dr. Anthony Francis Mveyange has gained work and living experience in countries such as the United States, Denmark, Finland, Kenya, and Tanzania.

Currently, serving as the Director and Technical Advisor at Perigee Consulting Limited, Anthony is also a co-founder of the Network for Impact Evaluation Researchers in Africa (NIERA) based in Kenya. He has held various positions throughout his career, including recent role as an Engagement Lead for Socializing GPI in Africa at the Development Initiative, Executive Director at PASGR, and Regional Research and Learning Director at Trademark Africa in Kenya. He has also worked as a research economist at the World Bank Research Development Group in Washington, D.C., USA, and as an Assistant Lecturer at Tumaini University in Tanzania.

Anthony has consulted for organizations such as the World Bank Group, the United Nations University World Institute for Development Economics Research (UNU-WIDER), the African Economic Research Consortium (AERC), Porticus Africa, AMREF Health Africa, and Trademark Africa. He has overseen projects in Burundi, Rwanda, South Sudan, Uganda, Kenya, Tanzania, Zimbabwe, Somaliland, Malawi, Zambia, Mozambique, South Africa, Namibia, Ghana, Ethiopia, Senegal, Nigeria, Cote d'Ivoire, and Canada. He was also an advisor for Tanzania and Kenya governments.

Anthony sits in various boards, including Econews Africa and the Kimisitu Sacco Foundation in Kenya. He also serves on the Foundation for Civil Society and the Editorial Board of the Journal of Public Service Management at the Public Service College in Tanzania. Additionally, he is a member of the Board of Directors for Evidence for Governance and Politics (EGAP) and the Advisory Council at Harvard Business Review in the US. Previously, he served on the Strategic Advisory Group (SAG) of the African Cities Research Consortium (ACRC) at the University of Manchester in the UK.

Anthony is an East Africa Social Science Translation Collaborative (EASST) fellow and a member of the Tanzania Economic Association (TEA), the American Economic Association (AEA), the INCLUDE Knowledge Platform, the European Economic Association (EEA), Poverty Reduction, Equity, and Growth (PEGNet), and the African Program on Rethinking Development Economics (APORDE). He also contributes to Africa in Focus at the Africa Growth Initiative of the Brookings Institution. In 2019, he received the CEO Merit Award from Trademark Africa for his contributions in knowledge, impact, and innovation. In 2020, he was selected as one of the 12 global experts by the World Manufacturing Forum (WMF) and made significant contributions to a White Paper on the future of global value chains. He frequently contributes his expertise to media outlets such as the BBC, CGTN, Voice of America, and local broadcasting networks in Africa.

Recipient of several scholarships from prestigious institutions in the United States, Sweden, the Netherlands, Denmark, the United Kingdom, and South Africa, Anthony holds a Ph.D. in Economics, two master's degrees in economics, a Post-Graduate Diploma in Poverty Analysis, and a bachelor's degree in accounting and finance.
Source : ANTHONY MVEYANGE - Network of Impact Evaluation Researchers in Africa
 
Mtoto wake wa kiume Mkuu wa majeshi, wa kike Gavana, mke Waziri. Yeye madatakani mwaka wa 31 halafu hapo anashupaza shingo
Kama anaona hakuna mwenye maono aliyokuwa nayo, mwenye uwezo wa kuyaendeleza mazuri kwaajili wa wanauganda kwanini asiweke watu anawaamini watakaoendeleza legacy yake?
 
29 April 2024
Nairobi, Kenya

Mkutano huo ulioanza tarehe 29 April 2024 na kuhutubiwa na viongozi wa kiafrika wakiwemo rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda , William S. Ruto wa Kenya. Mkutano huo ulihudhuriwa na wakuu wa nchi 17 na pia maafisa wandamizi wa World Bank kama rais wa benki ya Dunia Mr. Banga.


View: https://m.youtube.com/watch?v=585IMBb14Kg

Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda asema Afrika haihitaji misaada bali kuweza kupunguza gharama za uzalishaji katika viwanda, kilimo, uvuvi na ufugaji ili iweze kuuza bidhaa kimataifa badala ya misaada na mikopo ya World Bank ambayo haiwezi kuwezesha kuuza kimataifa tofauti na sasa kuitana ktk mikutano inayodaiwa kuwezesha maafisa wa serikali za kiAfrika ... hicho ni kichekesho Afrika inahitaji kuwa na reli na nishati kama umeme na siyo misaada na mikopo isiyotaka kuelekezwa ktk reli, nishati ya umeme, kilimo cha Umwagiliaji na uzalishaji mkubwa lakini Benki ya Dunia WB, Taasisi zake kama IDA hawataki kutoa mikopo nafuu itakayoelekezwa katika maendeleo endelevu ya kweli ktk reli, nishati ya umeme, kilimo cha kisasa na uzalishaji mkubwa wa viwanda badala ya kiinimacho cha sasa rais Yoweri Museveni akiwapa makavu wanaoitwa wadau wa maendeleo mabenki ya kimataifa na nchi za mabeberu..

Rais Yoweri Museveni akiongea kwa uchungu zao la kahawa nchi za Afrika tunaibiwa sana, wanaofaidika wapo Germany na nchi zingine za Ulaya, Asia na Mashariki ya kati huku wakulima wetu wakipakia masikini.

Rais Museveni anasema ni hivyo hivyo kwa mazao ya pamba, chai, kakao ajira zote za kusindika kuongeza thamani zinafanyika ktk nchi zinazodai ni wadau wa maendeleo wa Afrika lakini mazao hayo ya pamba n.k hayazalishi ajira za viwandani kwa vijana wetu wa Afrika ...

Rais Museveni anasema katika hotuba yake bila kupepesa macho kuwa jinsi wadau wa maendeleo wanavyoshirikiana na nchi zetu za kiafrika, ni uhusiano wa ukoloni mamboleo wa utumwa wa karne hii na haukubaliki.

Kuhusu madini Rais Yoweri Museveni anasema wadau hawa wa maendeleo hawataki kuchimba madini ya chuma, dhahabu n.k na hawataki kufua na kuyeyesha ktk viwanda vyetu wanachukua malighafi makinikia kupeleka kwao kuongeza thamani, kuongeza ajira za watoto wao China, Ulaya, Asia na Marekani ya Kaskazini

Rais Museveni anahitimisha kuwa uhusiano huu wa nyonya damu lazima ukomeshwe haiwezekani Uganda, Tanzania, Kenya, Burkina Faso, Nigeria zikubaliwa kuendelea na mfumo huu wa kinyonyaji wa wadau wa maendeleo...

HAKUNA UJAUZITO ENDELEVU
Rais Museveni akitoa msemo wa wahenga wa Baganda kuwa hakuna ujauzito endelevu maana kiumbe kinakaa tumboni miezi 9 kikitegemea msaada wa mama kinasha kinajitutumua kinatoka na kuanza kulelewa hadi miaka 18 kisha kinajitegemeea. Lakini wadau wa maendeleo wa Afrika hawataki nchi za bara la afrika kujitegemea, wafadhili hawa hawataki kabisa kuona nchi za kiafrika zikiongezeka umri na kukua zikajitegemea anapigia mstari maneno hayo Rais Museveni. Ifike muda sasa nchi za kiafrika zikatae misaada na ufadhili endelevu sawia na jinsi kitoto cha miezi tisa kinajitutumua kuja duniani, kikatambaa na kukua kikajitegemea kama kijana


For decades, IDA has served as a powerful engine for economic growth across Africa. It empowers progress through grants and highly concessional loans, fueling strategic investments in building a skilled and healthy workforce, and nurturing job-generating industries like agriculture. Recent efforts to streamline access have further enhanced its effectiveness.

Currently, IDA supports 75 nations, 39 of them in Africa. Over 70 percent of its resources are directed toward the continent, playing a vital role in achieving the World Bank Group's goal of bringing electricity to 250 million Africans by 2030.

The call for replenishment comes amid a multitude of interconnected hardships: pandemics, climate change, food insecurity, fragility, and conflict. Yet, Africa is also brimming with potential: vast natural resources, abundant sunshine, and the world's fastest-growing youth population.

Amplifying united support for Africa's bold vision and leveraging the strength of the newly formed coalition can help ensure an undeniably bright future for the continent.

Leaders representing a coalition of global youth, the private sector, and civil society stressed the need for a robust IDA21 replenishment and committed to work in partnership.

Hicho kibabu ni kijinga sana.Unatukanaje wanaokulisha?Anataka awaambukize ujinga wanamajumui wenzie?The old-mzee is a rubbish!
 
ILI TANZANIA IENDELEE INAHITAJI MAWAZO AU MATENDO NA VITU ?

12 March 2024

MJADALA WA WA LA SABA NA WASOMI SI MJADALA WA KIJINGA


View: https://m.youtube.com/watch?v=TnwaMwk4MRg

MAELEZO PEMBUZI Kumekuwepo na mjadala baina ya wasomi na wale wa darasa la saba kila upande ukiupuuza mchango wa upande mwingine.


Fatana nasi katika wasilishi hili ili kubaini kuwa mjadala huu ni muendelezo wa mjadala wa mda mrefu baina wa wanazuoni wanaoamini jamii inaendelea kutokana na mawazo, maarifa, na fikra (idealism)au kwa kupambana na vitu katika hali halisi ya mazingira yake (materialism) ...

Upande mmoja kuna kina Joseph Musukuma na Jumanne Kishimba ma Karl Max wa leo wanaofanya vitu vinaonekana huku upande mwingine kuna wasomi wenye vyeti vingi vya vyuo vikuu walio na Ph.D, Maprofesa upande wa Max Weber wa leo wanaoamini mawazo yao ya kisomi ndiyo muhimu kwa jamii kuendelea

Sasa wanasociolojia akiwemo wa chaneli ya sociology Tanzania mchambuzi na mtafiti wa masuala mbalimbali ya kijamii Bw. Bituro Paschal Kazeri wanaangalia pande hizi mbili kwa jicho la tatu kuhusu miradi, ugunduzi, kutengeneza ajira, nadharia, mawazo, maarifa ....... yote ni ......

Source : sociology tanzania

N.B
Karl Max mzaliwa wa Trier Germany mwaka 1818 anayeamini ktk vitu mshiko (materialism) kama kina Musukuma na Kishimba wa leo Tanzania
1714903584986.png




Max Weber mzaliwa wa Erfurt Germany mwaka 1864 mwanasosolijia anayeamiki katika mawazo (idealism) kama wasomi wabobevu kwa mfano tu tuchukulie wakina Prof. Palamagamba Kabudi, Prof. Sospeter Muhongo, Dr. Mwigulu Nchemba, Prof. Kitila Mkumbo na wasomi wengine wenye mavyeti na nadharia nyingi ..

1714903746065.png
 
Mh.

3 April 2024
MH. JUMANNE KISHIMBA (MBUNGE NA MFANYABIASHARA MKUBWA) KATIKA MAONGEZI : UCHUMI NI MATUMIZI PART 1

Jumanne Kishimba katika mazungumzo ya kubadilishana mawazo na wasomi wa chuo kikuu cha SAUT kupitia mtandao wa chaneli Sociology Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=L6NtC_hf9FY
Mchambuzi na mtafiti wa masuala mbalimbali ya kijamii Bituro Paschal Kazeri pamoja na jopo la wahadhiri wa chuo kikuu cha SAUT kilichopo Mwanza Tanzania wanatuomba kwa pamoja tufuatilie uzoefu wa Mheshimiwa mbunge Jumanne Kishimba akieleza umuhimu wa matumizi ambayo yanaweza kuufanya Uchumi uwepo, usimame au usiwepo na ufe. Kazungumza nini? Kasema nini? Ambatana nasi kuelewa na kufaidi elimu ya uchumi ni matumizi sehemu ya kwanza...

Source : sociology tanzania
 
Back
Top Bottom