Mbona uko kulikuwa na "ka..ka..kigoda" ila munatabasamu bado?kwa hiyo sisi ndio mashetani?baniani mbaya kiatu chake kizuri eeh?nitatoa tangazo kila raia mwenye mwanae na bintiye huko aje kumchukua tuone hizo amphibious ataendesha nani!Mbona hata huko mnachekewa tatizo dharau.wewe unapewa usimamizi mfuko wa maafa,unaufanya wa maafari.
Embu niambie unaanzaje kuchekewa muda wote.harafu huyu alishapitia jkt miaka ya nyuma hivyo sio mgeni sana mambo hayo.
Na huyo tuliyemchagua kwa kura zetu halafu anatununia na kufokafoka tuu,nyumba haikaliki,aje atueleze kama na sie tunune au tusinune 2020?!
Munatuzarau mno sisi raia.