muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Ikulu sasa ni kama choo... Kila mtu anaingia
Rais Kikwete amefanya mazungumzo na vijana wabwia unga (Mateja) Ikulu jijini Dar es salaam na kuwataka waachane na tabia ya kubwia unga badala yake wawe raia wema kwa faida ya Taifa.
Mkutano huo wa JK na wabwia unga umefanyika jumanne Ikulu jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mfadhili wa kituo kimoja cha kurekebisha wabwia Unga aitwaye Zacharia Hans Poppe.
Kweli Rais tunaye watanzania.
Rais Kikwete amefanya mazungumzo na vijana wabwia unga (Mateja) Ikulu jijini Dar es salaam na kuwataka waachane na tabia ya kubwia unga badala yake wawe raia wema kwa faida ya Taifa.
Mkutano huo wa JK na wabwia unga umefanyika jumanne Ikulu jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mfadhili wa kituo kimoja cha kurekebisha wabwia Unga aitwaye Zacharia Hans Poppe.
Kweli Rais tunaye watanzania.
humu wamejaa wazee wa minong'ono! ndio great thinking hii.
Exactly how are they to become good citizens? ukitoa labda vijana wachache waliotoka familia zenye angalau kwenye jamii na kuweza kupewa msaada wa kifamilia kukimbia mazingira.Rais Kikwete amefanya mazungumzo na vijana wabwia unga (Mateja) Ikulu jijini Dar es salaam na kuwataka waachane na tabia ya kubwia unga badala yake wawe raia wema kwa faida ya Taifa.
Rais Kikwete amefanya mazungumzo na vijana wabwia unga (Mateja) Ikulu jijini Dar es salaam na kuwataka waachane na tabia ya kubwia unga badala yake wawe raia wema kwa faida ya Taifa.
Mkutano huo wa JK na wabwia unga umefanyika jumanne Ikulu jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mfadhili wa kituo kimoja cha kurekebisha wabwia Unga aitwaye Zacharia Hans Poppe.
Kweli Rais tunaye watanzania.
halafu mnashangaa kwanini Kagame anamkejeli kila siku !
Hana kazi jk wiki hii hakuna tetesi ana enda kula bata nchi gani?.