Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,977
- 95,327
Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila