Nimekuta na si mara moja, mwanamume anamchapa mtoto wake kuwa hataki kwenda "chuo"! /Madarasa. Nikamsihi asimchape mtoto (about4-6 yrs) hivyo. Akasema chuo ni lazima, kwingine wala sitamchapa, akitaka aende shule za kawaida , asipotaka basi, lakini "chuo" atakwenda! Nikaacha fimbo zinatembea! Ni kawaida sana , formal schooling is not their priority! Badilikeni!
My take: Wapelekeni shule watoto. pamoja na "chuo" na formal schooling ni muhimu.
My take: Wapelekeni shule watoto. pamoja na "chuo" na formal schooling ni muhimu.