edwin george
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 1,218
- 977
Dereva mvuta bangi na mlevi anatuendesha kipombepombe na kibangibangi hatuwezi kunyamaza atatuingiza mtoni!
Tutamuondoa hapo natutaweka dereva mwingine ili tufike salama kwenye safari yetu
Hatuwezi kunyamaza kamwe tutakuwa wajinga
Tutamuondoa hapo natutaweka dereva mwingine ili tufike salama kwenye safari yetu
Hatuwezi kunyamaza kamwe tutakuwa wajinga