Rais Samia mpaka sasa hujaanzisha mradi wowote wa kimkakati. Je, tuendelee kusubiri?

Lancashire

JF-Expert Member
Sep 20, 2014
14,062
10,354
Nawatakia heri wafanyakazi wote.

Mh. Rais nachukua fursa hii kukumbusha tu tangu uingie madarakani baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli haujaanzisha mradi wowote mkubwa wa kimkakati. Kazi inaendelea kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na marehemu Magufuli ambayo ni ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme SGR , Bwawa la umeme la mwalimu Nyerere, Ujenzi wa vivuko, madaraja pamoja na miradi mingine midogo midogo.

Nakukumbusha tu kuwa mpaka sasa unatembelea nyota ya marehemu John Pombe Joseph Magufuli. Unahitaji kuweka alama yako. Aidha nikupongeze kwa kuwaongezea watumishi mishahara, kujenga madarasa, kuongeza vifaa tiba na ujenzi wa vituo vya afya. Watanzania bado tunakusubiri.

Nakutakia utekelezaji mwema.
 
Uko serious kweli
Nawatakia heri wafanyakazi wote.

Mh. Rais nachukua fursa hii kukumbusha tu tangu uingie madarakani baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli haujaanzisha mradi wowote mkubwa wa kimkakati. Kazi inaendelea kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na marehemu Magufuli ambayo ni ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme SGR , Bwawa la umeme la mwalimu Nyerere, Ujenzi wa vivuko, madaraja pamoja na miradi mingine midogo midogo.

Nakukumbusha tu kuwa mpaka sasa unatembelea nyota ya marehemu John Pombe Joseph Magufuli. Unahitaji kuweka alama yako. Aidha nikupongeze kwa kuwaongezea watumishi mishahara, kujenga madarasa, kuongeza vifaa tiba na ujenzi wa vituo vya afya. Watanzania bado tunakusubiri.

Nakutakia utekelezaji mwema.
Fikra za kiwango cha chini sana hizi! Uongozi wa nchi ni mfumo endelevu. Hivi ulitaka Mhe. Rais Samia asiendeleze mradi wa JNHHP Rufiji? Ulitaka asiendeleze SGR? Ulitaka aitupe JP Magufuli Kigongo Busi? Ulitaka azitupe barabara za mwendokasi na miradi mingine?

Fikra kama zako ni za Waafrika wengi wakiwemo baadhi ya viongozi. Kwamba mradi huu ni wa Rais aliyepita nikiutekeleza atapata sifa yeye. Uongozi wa nchi hautaki ubinafsi. # Samia Magufuli mia mia. Hakuna mradi utakaokwama. 🙏🙏🙏
 
Nashauri mojawapo miradi wa kimkakati uwe ni ujenzi wa nyumba za Watanzania wote,awamu ya kwanza Kwa maeneo ya Mijini na awamu ya pili iwe maeneo ya Vijijini.
Miradi ya kimkakati kama hii itawapunguzia wananchi upotevu wa fedha nyingi wanazotumia kujenga makazi yasiyodumu lakini pia kuondokana na ujenzi holela,migogoro ya ardhi.
 
Nawatakia heri wafanyakazi wote.

Mh. Rais nachukua fursa hii kukumbusha tu tangu uingie madarakani baada ya kifo cha Rais John Pombe Magufuli haujaanzisha mradi wowote mkubwa wa kimkakati. Kazi inaendelea kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa na marehemu Magufuli ambayo ni ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme SGR , Bwawa la umeme la mwalimu Nyerere, Ujenzi wa vivuko, madaraja pamoja na miradi mingine midogo midogo.

Nakukumbusha tu kuwa mpaka sasa unatembelea nyota ya marehemu John Pombe Joseph Magufuli. Unahitaji kuweka alama yako. Aidha nikupongeze kwa kuwaongezea watumishi mishahara, kujenga madarasa, kuongeza vifaa tiba na ujenzi wa vituo vya afya. Watanzania bado tunakusubiri.

Nakutakia utekelezaji mwema.
Tanzania ya viwonder🤣 alifikia wapi?
 
Uko serious kweli

Fikra za kiwango cha chini sana hizi! Uongozi wa nchi ni mfumo endelevu. Hivi ulitaka Mhe. Rais Samia asiendeleze mradi wa JNHHP Rufiji? Ulitaka asiendeleze SGR? Ulitaka aitupe JP Magufuli Kigongo Busi? Ulitaka azitupe barabara za mwendokasi na miradi mingine?

Fikra kama zako ni za Waafrika wengi wakiwemo baadhi ya viongozi. Kwamba mradi huu ni wa Rais aliyepita nikiutekeleza atapata sifa yeye. Uongozi wa nchi hautaki ubinafsi. # Samia Magufuli mia mia. Hakuna mradi utakaokwama. 🙏🙏🙏
Unanishambulia bure tuu. Nimeuliza kuwa tuendelee kusubiri? Ninajua kuwa anaendeleza miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake je yeye hatakua na miradi miwili au mitatu mikubwa ya kimkakati kama kwa aliyemtangulia ambayo sasa tunayaona manufaa yake?
 
Nashauri mojawapo miradi wa kimkakati uwe ni ujenzi wa nyumba za Watanzania wote,awamu ya kwanza Kwa maeneo ya Mijini na awamu ya pili iwe maeneo ya Vijijini.
Miradi ya kimkakati kama hii itawapunguzia wananchi upotevu wa fedha nyingi wanazotumia kujenga makazi yasiyodumu lakini pia kuondokana na ujenzi holela,migogoro ya ardhi.
Hili ni wazo zuri naamini Mh. anapitia JF atachukua ushauri wako.
 
Kuna mradi mkubwa wa kuwahamisha Wamasai ngorongoro na loliondo.
Mkoa wa Arusha unaonewa sana na marais wanaotokea Zanzibar. Na sasa kamweka mtu wake Makonda huko Arusha ni hatari sana
 
Uko serious kweli

Fikra za kiwango cha chini sana hizi! Uongozi wa nchi ni mfumo endelevu. Hivi ulitaka Mhe. Rais Samia asiendeleze mradi wa JNHHP Rufiji? Ulitaka asiendeleze SGR? Ulitaka aitupe JP Magufuli Kigongo Busi? Ulitaka azitupe barabara za mwendokasi na miradi mingine?

Fikra kama zako ni za Waafrika wengi wakiwemo baadhi ya viongozi. Kwamba mradi huu ni wa Rais aliyepita nikiutekeleza atapata sifa yeye. Uongozi wa nchi hautaki ubinafsi. # Samia Magufuli mia mia. Hakuna mradi utakaokwama. 🙏🙏🙏
👌
 
Back
Top Bottom