Private school ni kwaajili ya watoto wa mama laini laini, mayai mayai

Shule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.

Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.
1713272145877.png
 
Shule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.

Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.
Maisha kwa sasa hayataki kutumia manguvu tech imébadilisha mambo. Kuendelea kulima kwa jembe badala ya trekta kisa uonekane baunsa sio sifa mkuu
 
Shule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.

Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.
Maneno ya wasio na hela katika kuhalalisha kukosa kwao hela
 
Shule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.

Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.
Madhara ya umaskini
 
Back
Top Bottom