Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,882
- 59,728
Hayo majukumu ya kifamilia niMuda mwingi mtoto anakuwa shule muda wa malezi nyumbani ni mchache sana, lkn pia wazazi wanamajukumu ya kifamilia hukumbuki hilo
-malezi???🙄
Hayo majukumu ya kifamilia niMuda mwingi mtoto anakuwa shule muda wa malezi nyumbani ni mchache sana, lkn pia wazazi wanamajukumu ya kifamilia hukumbuki hilo
Shule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.
Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.
Maisha kwa sasa hayataki kutumia manguvu tech imébadilisha mambo. Kuendelea kulima kwa jembe badala ya trekta kisa uonekane baunsa sio sifa mkuuShule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.
Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.
Maneno ya wasio na hela katika kuhalalisha kukosa kwao helaShule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.
Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.
Nakubali mwenyejiiii!!Malezi ya nyumbani yana nafasi kubwa zaidi ya kum-shape mtoto, especially linapokuja swala lakujifunza kazi kuliko shule anayosoma.
Madhara ya umaskiniShule private zinamfanya mtoto kuwa zombie mlegevu mlegevu hata kazi za nyumbani hawezi kufanya kutwa kulala tu.
Kwenye mitihani makaratasi et mara 100 ya masomo ya ajabuajabu tu afu kichwani sifuri kabisa. Nimeona wengi ambao tumesoma nao advance ni hakuna kitu aliefaulu sana akipata div 3 ya 16, kwaio unapompeleka mwana shule private jua kbs ni mumbumbu huyo.