GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,050
- 110,067
System ya Tanzania ilishausoma mapema Mchezo na kujua kuwa Ruto ataenda (na mpaka sasa GENTAMYCINE nasema ameshashinda) na Kumshauri Mama kutoonyesha Upande wake Wowote kati ya Ruto na Odinga.
Nazilaumu mno Systems za Uganda na Rwanda kwa Kukurupuka kwao na kudanganywa na Rafiki yao Rais anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta kuwa Mtu anayemtaka Raila Odinga ndiyo atashinda na wao Marais Museveni na Kagame Kuingia 'Kichwakichwa' na waziwazi huku Wakijiamini wakisema wanamuunga mkono Raila Odinga.
Mpaka muda naandika huu Uzi ni kwamba asiyetakiwa na System ya Kenya na Adui Mkuu wa Rais anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta Mgombea na aliyekuwa Makamu Rais William Ruto ameshashinda huu Uchaguzi.
Kinachofanywa sasa na System ya Kenya kwa Kushirikiana na Watu wa IEBC (Tume ya Uchaguzi Kenya ) ni Kumuibia Kura Mshindo William Ruto na kumpa Raila Odinga Ili atangazwe Mshindi.
Na endapo Mbinu hii itaonekana ni Hatari (Haifai) na Watu wa System ya Kenya kwa labda Kuhofia italeta Machafuko makubwa kinachoenda Kufanyika (Kufanywa) ni Kulazimisha 'Kubalansi' Matokeo ili kuwe na Marudio ya Uchaguzi na waweze Kumpiga (Kumuibia) vizuri Hustler William Ruto anayeonekana Kukubalika zaidi na Vijana hasa Wasio na Ajira na Wenye Maisha Magumu ya Kiuchumi.
Na karma kutakuwa na Marudio ya Uchaguzi huu basi bado Rais Uhuru Kenyatta atatakiwa kuwa Madarakani kwa Siku 90 (takriban Miezi Mitatu) na MImi GENTAMYCINE namshauri Hustler William Ruto kuwa kama anajipenda basi afanye kila awezalo ndani ya Siku hizi 90 asiwe Kenya na kama akiwa Kenya basi ajitahidi awe na Ulinzi mkubwa na mkali kwani najua nini Kitajaribiwa kufanywa Kwake ili kumdhoofisha au kumuua Nguvu kwani tayari System ya Kenya haimtaki kwakuwa imeshajua kuwa Ruto akiwa Rais wa Kenya ataanza Kulipiza Kisasi kwa Adui yake Mkuu Rais anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta na pia atataifisha Mali zake nyingi na 'Kumpurula' kila Kitu Uhuru Kenyatta ambaye siyo Siri kuanzia Marehemu Baba yake na hata Yeye wameiibia mno Kenya ( hasa Ardhi ) na Wamejitajirisha sana kwa kuwa na Mali nyingi Ndani na Nje ya Kenya.
Pongezi nyingi tu Kwako Rais Samia.
Nazilaumu mno Systems za Uganda na Rwanda kwa Kukurupuka kwao na kudanganywa na Rafiki yao Rais anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta kuwa Mtu anayemtaka Raila Odinga ndiyo atashinda na wao Marais Museveni na Kagame Kuingia 'Kichwakichwa' na waziwazi huku Wakijiamini wakisema wanamuunga mkono Raila Odinga.
Mpaka muda naandika huu Uzi ni kwamba asiyetakiwa na System ya Kenya na Adui Mkuu wa Rais anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta Mgombea na aliyekuwa Makamu Rais William Ruto ameshashinda huu Uchaguzi.
Kinachofanywa sasa na System ya Kenya kwa Kushirikiana na Watu wa IEBC (Tume ya Uchaguzi Kenya ) ni Kumuibia Kura Mshindo William Ruto na kumpa Raila Odinga Ili atangazwe Mshindi.
Na endapo Mbinu hii itaonekana ni Hatari (Haifai) na Watu wa System ya Kenya kwa labda Kuhofia italeta Machafuko makubwa kinachoenda Kufanyika (Kufanywa) ni Kulazimisha 'Kubalansi' Matokeo ili kuwe na Marudio ya Uchaguzi na waweze Kumpiga (Kumuibia) vizuri Hustler William Ruto anayeonekana Kukubalika zaidi na Vijana hasa Wasio na Ajira na Wenye Maisha Magumu ya Kiuchumi.
Na karma kutakuwa na Marudio ya Uchaguzi huu basi bado Rais Uhuru Kenyatta atatakiwa kuwa Madarakani kwa Siku 90 (takriban Miezi Mitatu) na MImi GENTAMYCINE namshauri Hustler William Ruto kuwa kama anajipenda basi afanye kila awezalo ndani ya Siku hizi 90 asiwe Kenya na kama akiwa Kenya basi ajitahidi awe na Ulinzi mkubwa na mkali kwani najua nini Kitajaribiwa kufanywa Kwake ili kumdhoofisha au kumuua Nguvu kwani tayari System ya Kenya haimtaki kwakuwa imeshajua kuwa Ruto akiwa Rais wa Kenya ataanza Kulipiza Kisasi kwa Adui yake Mkuu Rais anayemaliza muda wake Uhuru Kenyatta na pia atataifisha Mali zake nyingi na 'Kumpurula' kila Kitu Uhuru Kenyatta ambaye siyo Siri kuanzia Marehemu Baba yake na hata Yeye wameiibia mno Kenya ( hasa Ardhi ) na Wamejitajirisha sana kwa kuwa na Mali nyingi Ndani na Nje ya Kenya.
Pongezi nyingi tu Kwako Rais Samia.