Video: Rais Rutto akumbana na shida ya umeme wakati anahutubia

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,408
21,314
Ukiuliza wananchi ambao wako bize kusifia nchi jirani, basi ni watanzania, yuko tayari asifie Rwanda, Uganda na kila mahali, lakini yuko tayari kudharau nchi yake.

Haya sasa, hata Kenya matatizo ya umeme yapo, lakini huwezi wasikia wanadharau nchi yao.
---
Katika hali isiyokuwa ya kawaida umeme umekatika mara mbili wakati Rais wa Kenya William Ruto akihutubia katika kikao cha makatibu wakuu, wabunge na maafisa wengine wa Serikali.

Rais Ruto alilazimika kukatisha kwa muda hotuba hiyo umeme ulipokatika mara ya kwanza na kuendelea baada ya taa kuwaka, hata hivyo aliendelea kuzungumza ulipokatika mara ya pili na kuhitimisha hotuba hiyo iliyofanyika katika mji wa Naivasha ambapo chama cha Kenya Kwanza kimewakutanisha watumishi wa ngazi za juu serikalini wakiwa na lengo la kutathmini utendaji wa Serikali ya Rais Ruto mwaka wa pili tangu ashinde uchaguzi mkuu.
 
Ukiuliza wananchi ambao wako bize kusifia nchi jirani, basi ni watanzania, yuko tayari asifie Rwanda, Uganda na kila mahali, lakini yuko tayari kudharau nchi yake.

Haya sasa, hata Kenya matatizo ya umeme yapo, lakini huwezi wasikia wanadharau nchi yao.
View attachment 2911374
Chawa buana..
Kwa hiyo hilo tukio la Kenya linahalalisha mgao sugu wa umeme Tanzania?

Ukiacha maporomoko ya kufua umeme, je Kenya wana hazina kubwa ya gesi kama Tanzania?
 
Ukiuliza wananchi ambao wako bize kusifia nchi jirani, basi ni watanzania, yuko tayari asifie Rwanda, Uganda na kila mahali, lakini yuko tayari kudharau nchi yake.

Haya sasa, hata Kenya matatizo ya umeme yapo, lakini huwezi wasikia wanadharau nchi yao.
View attachment 2911374
Kweli kuna watu na viatu! Jichunguze utagundua uko kundi lipi hapo.
Hivi hii kizazi yenu ya sasa ya machawa wa ccm inaweza kupatikana sehemu nyingine duniani au ni nchi hii kama ilivyo Tanzanite?
 
Wewe ni Chawa!

20240126_160807.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Ukiuliza wananchi ambao wako bize kusifia nchi jirani, basi ni watanzania, yuko tayari asifie Rwanda, Uganda na kila mahali, lakini yuko tayari kudharau nchi yake.

Haya sasa, hata Kenya matatizo ya umeme yapo, lakini huwezi wasikia wanadharau nchi yao.
---
Katika hali isiyokuwa ya kawaida umeme umekatika mara mbili wakati Rais wa Kenya William Ruto akihutubia katika kikao cha makatibu wakuu, wabunge na maafisa wengine wa Serikali.

Rais Ruto alilazimika kukatisha kwa muda hotuba hiyo umeme ulipokatika mara ya kwanza na kuendelea baada ya taa kuwaka, hata hivyo aliendelea kuzungumza ulipokatika mara ya pili na kuhitimisha hotuba hiyo iliyofanyika katika mji wa Naivasha ambapo chama cha Kenya Kwanza kimewakutanisha watumishi wa ngazi za juu serikalini wakiwa na lengo la kutathmini utendaji wa Serikali ya Rais Ruto mwaka wa pili tangu ashinde uchaguzi mkuu.
Sisi tunahitaji umeme, na huduma za msingi haijalishi kwa jirani kuna nini
 
Back
Top Bottom