Pongezi nyingi kwa kamishna na watendaji wote kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kupambana na madawa ya kulevya, kazi bado ni kubwa lakini tunaona jitihada na dhamira ya kupambana.
Tumeona kazi ya kudhibiti bandari bubu kuanzia mwambao wa bagamoyo hadi DsM, pote humo kuna chochoro za kupitisha madawa ya kulevya.
Tunaomba mapambano haya yafanyike kwa nguvu zote, majini na nchi kavu, kwenye viwanja vyetu vya ndege uchunguzi uongezeke, kwenye vituo vya mabasi kama vile Magufuli bus stand n.k
Sisi wananchi tutaendelea kutoa ushirikiano kwa kuwafichua wauza madawa, au mtandao wote unao jishughulosha na biashara za madawa.
Tumeona kazi ya kudhibiti bandari bubu kuanzia mwambao wa bagamoyo hadi DsM, pote humo kuna chochoro za kupitisha madawa ya kulevya.
Tunaomba mapambano haya yafanyike kwa nguvu zote, majini na nchi kavu, kwenye viwanja vyetu vya ndege uchunguzi uongezeke, kwenye vituo vya mabasi kama vile Magufuli bus stand n.k
Sisi wananchi tutaendelea kutoa ushirikiano kwa kuwafichua wauza madawa, au mtandao wote unao jishughulosha na biashara za madawa.