Polisi wamkamata GB 64 akidaiwa kuhamasisha Watu kufanya vurugu mechi ya Yanga Vs Simba

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,323
5,493

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linafuatilia kwa karibu sana mchezo wa soka siku ya Jumamosi tarehe 20 Aprili 2024 saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Mchezo huo ni wa soka wa watani wa jadi kati ya klabu ya Yanga na Simba zote za Dar es salaam na utakaochezwa.

Kuelekea mchezo huo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limechukua tahadhari zote za kiusalama kabla, wakati na baada ya mchezo. Usalama siku ya mchezo utakuwa wa kiwango cha juu, maeneo yanayozunguka uwanja ndani, nje na barabara za kuingia na kutoka uwanjani. Ukaguzi utakuwa wa hali ya juu kabla ya kuingia uwanjani.

Hairuhisiwi mtu yeyote kwenda uwanjani na silaha ya aina yoyote, isipokuwa baadhi ya vyombo vya dola vyenye jukumu la usalama eneo hilo.

Katika hatua nyingine, Jeshi la Polisi Kanda Maalum limemkamata Abdulshahib Hegga @ GB 64 kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo huo kupitia kipande cha video alichokisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Mtuhumiwa huo anahojiwa kwa kina.

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam linatoa tahadhari kwa mashabiki wa soka watakaoanzisha vurugu zozote au kujihusisha na vitendo vya kihalifu ndani au nje ya uwanja watashughulikiwa haraka kwa mujibu wa sheria.

Imetolewa na ;
Muliro J. MULIRO - SACP
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
 

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linafuatilia kwa karibu sana mchezo wa soka siku ya Jumamosi tarehe 20 Aprili 2024 saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Mchezo huo ni wa soka wa watani wa jadi kati ya klabu ya Yanga na Simba zote za Dar es salaam na utakaochezwa.

Kuelekea mchezo huo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limechukua tahadhari zote za kiusalama kabla, wakati na baada ya mchezo. Usalama siku ya mchezo utakuwa wa kiwango cha juu, maeneo yanayozunguka uwanja ndani, nje na barabara za kuingia na kutoka uwanjani. Ukaguzi utakuwa wa hali ya juu kabla ya kuingia uwanjani.

Hairuhisiwi mtu yeyote kwenda uwanjani na silaha ya aina yoyote, isipokuwa baadhi ya vyombo vya dola vyenye jukumu la usalama eneo hilo.

Katika hatua nyingine, Jeshi la Polisi Kanda Maalum limemkamata Abdulshahib Hegga @ GB 64 kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo huo kupitia kipande cha video alichokisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Mtuhumiwa huo anahojiwa kwa kina.

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam linatoa tahadhari kwa mashabiki wa soka watakaoanzisha vurugu zozote au kujihusisha na vitendo vya kihalifu ndani au nje ya uwanja watashughulikiwa haraka kwa mujibu wa sheria.

Imetolewa na ;
Muliro J. MULIRO - SACP
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
huyo GB 64 shabiki wa timu gani?
 

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linafuatilia kwa karibu sana mchezo wa soka siku ya Jumamosi tarehe 20 Aprili 2024 saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam. Mchezo huo ni wa soka wa watani wa jadi kati ya klabu ya Yanga na Simba zote za Dar es salaam na utakaochezwa.

Kuelekea mchezo huo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limechukua tahadhari zote za kiusalama kabla, wakati na baada ya mchezo. Usalama siku ya mchezo utakuwa wa kiwango cha juu, maeneo yanayozunguka uwanja ndani, nje na barabara za kuingia na kutoka uwanjani. Ukaguzi utakuwa wa hali ya juu kabla ya kuingia uwanjani.

Hairuhisiwi mtu yeyote kwenda uwanjani na silaha ya aina yoyote, isipokuwa baadhi ya vyombo vya dola vyenye jukumu la usalama eneo hilo.

Katika hatua nyingine, Jeshi la Polisi Kanda Maalum limemkamata Abdulshahib Hegga @ GB 64 kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo huo kupitia kipande cha video alichokisambaza kwenye mitandao ya kijamii. Mtuhumiwa huo anahojiwa kwa kina.

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam linatoa tahadhari kwa mashabiki wa soka watakaoanzisha vurugu zozote au kujihusisha na vitendo vya kihalifu ndani au nje ya uwanja watashughulikiwa haraka kwa mujibu wa sheria.

Imetolewa na ;
Muliro J. MULIRO - SACP
Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam
Jeshi la polisi ni matutusa. Kwanini wanahamasisha fujo kwa kumkamata GB 64?
 
Kama watu watanielewa,ni bora kuachana na hii timu kwani inamilikiwa na wanasiasa.
Vita,chuki na mauaji yote duniani wanaosababisha ni wanasiasa.

Tumetoka kwenye michezo ni furaha.

Nimeamini kweli kuwa Mangungu ni project ya mtu mmoja aliyekuwa kiongozi mkubwa sana.Ni project ya utopolo
 
Muchezo sio vita
Yeyote atakayeshinda afurahi tu na utani uendelee
Huyo shabiki aliyehamasisha vurugu amefanya vibaya
 
Kama watu watanielewa,ni bora kuachana na hii timu kwani inamilikiwa na wanasiasa.
Vita,chuki na mauaji yote duniani wanaosababisha ni wanasiasa.

Tumetoka kwenye michezo ni furaha.

Nimeamini kweli kuwa Mangungu ni project ya mtu mmoja aliyekuwa kiongozi mkubwa sana.Ni project ya utopolo
Nyinyi watu wa mashambani mambo ya Mjini muwe mnatuuliza wenyeji.

Huyo Mangungu ni mtoto wa Libya street, ni mtoto wa Mjini kwelikweli kuliko wajinga wengi wanavyomchukulia.

Simba na Yanga ni timu za serikali na zinamilikiwa na serikali Kwa 100% mwenye masikio na asikie.

Hiyo michakato ya mifumo na uwekezaji ni kiini macho tu, serikali haiwezi kuziachia hizo timu.

Mchakato wa mfumo wa Simba umeishi wapi?
 
Pengine labda alitamka hayo maneno akiwa na jazba ( sio sahihi)

ila kama kuna ukweli kasema juu ya viongozi wa Simba, Uongozi wa Simba ufanyieni kazi

Kama ni uongo, mpuuzieni


Kutekana tekana na kukamatana ovyo sio afya nzuri kwa mashabiki

Kuna mwenye hiyo video tusikie hayo maneno?
 
Back
Top Bottom