Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,354
- 11,225
Mkasa ule ulizua maandamano makubwa kote Marekani kwa miezi kadhaa.
Mwaka huu askari wamefanya tena kama vile .Tofauti kati ya mwaka ule na huu ni kuwa Floyds alidhaniwa ni jambazi ikichangiwa na rangi ya ngozi yake nyeusi jambazi japo hakuwa na silaha.
Mwaka huu aliyefanyiwa hivyo ni msomi na professor katika chuo kikuu tena rangi moja na askari aliyemkandamiza kwa kurudia rudia.Hapo ilikuwa ni kwenye kutawanya maandamano ya kuunga mkono Hamas huko New York.