Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 38,061
- 46,951
Masuala ya muungano nchi yamewekwa katika ofisi ya makamu wa Rais ambapo pia kuna wizara na waziri anayeshughulikia muungano na mazingira.
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!
Sijui kwa nini serikali wameweka muungano na mazingira kama jambo moja lakini kwa sababu kuna hii wizara tayari inabadi mawaziri wake wakishirikiana na makamu wa rais wajitokeze kuutetea kwa hoja mbele ya umma wa Tanzania ili kuifanya imara zaidi kama inawezekana.
Ilipaswa kabla Kinana hajajitokeza hadharani au hata baada ya yeye kujitokeza kumjibu Lissu basi makamu wa Rais Phillip Mpango akisaidiana na Waziri Jafo wajibu pia hoja za Lissu katika majukwa mbalimbali. Jambo la kushangaza mpaka sasa wote wako kimya na wanajibu watu wengine wa mbali kabisa!