Rais Samia amuagiza Waziri Jafo kuandaa katazo na kupiga marufuku matumizi ya Kuni na Mkaa kwenye Taasisi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,881
12,133
Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagizi waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt. Suleiman Jafo kuandaa katazo na kupiga marufuku matumizi ya Kuni na Mkaa kwa tasisi zote ambazo zinahudumia watu zaidi ya 100 na kutumia nishati safi ili kuhakikisha watanzania wengi wanatumia nishati safi ya kupikia, Rais Samia ameyasema hayo katika Hotuba yake aliyoitoa Leo Mei 8, 2024 kwenye ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere wakati wa uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati safi ya Kupikia.

IMG_20240508_164046_616.jpg

MATUKIO KATIKA PICHA-UZINDUZI MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Viongozi, wadau na wananchi wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034.

Hafla hiyo inafanyika (leo) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaam.

Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
IMG-20240508-WA0047.jpg
IMG-20240508-WA0070.jpg
IMG-20240508-WA0057.jpg
IMG-20240508-WA0067.jpg
IMG-20240508-WA0065.jpg
IMG-20240508-WA0056.jpg
IMG-20240508-WA0068.jpg
IMG-20240508-WA0058.jpg
IMG-20240508-WA0059.jpg
IMG-20240508-WA0066.jpg
IMG-20240508-WA0069.jpg
 
Wamewaumiza sana watu wa 0 tarifu waliokuwa wanatumia chini ya 70 units sasa ni 60 silence killing
 
You mean bei ya gesi? Umeme for now not so reliable
Majiko ya four plate yana plate za gesi na za umeme, sasa zile plate za umeme hatutumii kabisa kwa kuogopa unit za umeme bei juu, haitakiwi kuwa hivi, plate za umeme zinatakiwa kufanyakazi pia.
 
Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagizi waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt. Suleiman Jafo kuandaa katazo na kupiga marufuku matumizi ya Kuni na Mkaa kwa tasisi zote ambazo zinahudumia watu zaidi ya 100 na kutumia nishati safi ili kuhakikisha watanzania wengi wanatumia nishati safi ya kupikia, Rais Samia ameyasema hayo katika Hotuba yake aliyoitoa Leo Mei 8, 2024 kwenye ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere wakati wa uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati safi ya Kupikia.
View attachment 2984691
MATUKIO KATIKA PICHA-UZINDUZI MKAKATI WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Viongozi, wadau na wananchi wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034.

Hafla hiyo inafanyika (leo) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaam.

Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
View attachment 2984679View attachment 2984681View attachment 2984682View attachment 2984683View attachment 2984684View attachment 2984685View attachment 2984686View attachment 2984687View attachment 2984688View attachment 2984689View attachment 2984690
Tunaendelea kuweka kumbukumbu sawa na historia inaendelea kumiansika Samia kama ifuatavyo.

By 2030 inatarajia Watanzania 60% watakuwa wanatumia Nishati safi,kutoka 5% 2025.

Msije kusema ni Mwendazake 😁😁👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C6tF27LqHOy/?igsh=d2NrbWZka2JnYWlq
 
Huyu maza ni kilaza mbona katazo lipo tokea zamani
 

Attachments

  • Screenshot_20240330_122318_Microsoft 365 (Office).jpg
    Screenshot_20240330_122318_Microsoft 365 (Office).jpg
    238.9 KB · Views: 2
Ni siasa tu, na hazina matunda!

Watanzania wengi wanatumia kuni na mkaa, inapatikana kwa bei chini.

Gesi ghali, umeme bei juu

Serikali, ipunguze kodi kwenye gesi...iokoe misitu.

Misitu itarejesha hiyo pesa kupitia carbon project
 
Back
Top Bottom