Mbona hakuna cha kutazama sana!??
Kwanini nitoke nyumbani wakati nakula na kushiba?Tazama mwenyewe,View attachment 2986545
Mkuu usilinganishe life la uingereza na Tanzania, huku ukijipata kidogo tu ukiona inabidi uwabebe kwenu na ukweni.
Foden kipaji kimembeba mambo mazuri kibongo bongo mtu ana miaka 31 bado mambo tasa anabeti tu, ana biashara ya uongo na kweli pia anaenda dodoma kila mwezi kwenye interview
Hao uliowataja ni wadogo?hata bongo wapo watu wengi vipaji vimewabeba. wana umri mdogo na kipato wanacho ila bado ni wagumu kuoa. mfano Ray Vanny, Harmonize, Hasheem Thabeet na wengineo
nimewataja kwa kipimo cha vijana waliopata hela toka wakiwa wadogo na mpaka leo wamekuwa watu wazima na bado hawajaoaHao uliowataja ni wadogo?
Kuoa ni maamuzi ya mtu binafsi.nimewataja kwa kipimo cha vijana waliopata hela toka wakiwa wadogo na mpaka leo wamekuwa watu wazima na bado hawajaoa
Wewe haujui unachokiongea ndio maana mnaitwa MazombiHuoni familia Foden
Sio kuoa hata kua na watoto ni maamuzi ya mtuKuoa ni maamuzi ya mtu binafsi.
Umewaza nini🤣Kuna mtu ana umri kama wako amesha-dead
Wewe bado upo tu