Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,052
- 12,302
unachekesha sana kamanda 🐒Kelele nyingi but no content. Mtu yeyote mwenye akili timamu, mwelewa, mkweli wa nafsi na mzalendo wa kweli, ataungana na Kibatala. Kwa sababu anachoongelea Kibatala ni kupanua uwigo wa haki.
Ndani ya jeshi la polisi, kama zilivyo taasisi nyingine, kuna waovu. Kuna polisi ni majambazi, wala rushwa na watengenezaji wa kesi za kubumba, hawa hawawezi kudhibitiwa na polisi wenzao, kinahitajika chombo kingine, kama ambavyo baadhi ya mataifa wamefanya.
perfection sense ni utumwa au uraibu usio faa hata kidogo 🐒
mtu timamu hababaishwi hata kidogo na mwenye mawazo au mtazamo tofauti na wake 🐒
habezi, hadhihaki wala kulazimisha anachoamini yeye na wengine wafikiri na kuamini hivyo 🐒
mihemko dalili na kiwango kibaya sana cha kukata tamaa 🐒