Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,173
- 219,307
Ujumbe wake huu hapa .
6
Huu mgogoro unaweza kuwa ndio mwisho wa RPCKumekucha
Ni kweli, kinatakiwa kiundwe chombo kingine Maalumu Cha kipolisi ili kuweza kulisimamia na/au kulichunguza Jeshi la Polisi pale linapolalamikiwa au linapotuhumiwa .Kwenye nchi karibia zote zenye tawala za Kidemokrasia hapa duniani kuna Taasisi za namna hii. Zipo Taasisi Maalumu kabisa za Kipolisi ambazo zinajitegemea (Independent Police Investigative Organizations), kazi yake ni kushughulikia malalamiko dhidi ya Polisi au Jeshi la Polisi la kawaida sambamba na kufanya Upelelezi dhidi ya Polisi. Tàasisi hizo huwa zinakuwa na Mamlaka yote ya Kipolisi, lakini Upolisi wao huwa wanaufanya dhidi ya Mapolisi au Jeshi la Polisi la kawaida. Taasisi za Kipolisi za namna hii huwa zinakuwa na Utawala wake binafsi unaojitegemea, hawana mwingiliano wowote wa kimajukumu au kiutendaji na Jeshi la Polisi la kawaida. Kwa mfano, Nchi ya Afrika ya Kusini wana Taasisi ya namna hii, inaitwa IPID ( The Independent Police Investigative Department, IPID). IPID ni Jeshi la Polisi la Kujitegemea ambalo kazi yake Kuu ni kufanya kazi za Kipolisi dhidi ya Jeshi la Polisi la kawaida, yaani kufanya Upelelezi na Kumshitaki Mahakamani Askari Polisi yoyote yule anayetuhumiwa au kulalamikiwa bila kujali cheo chake, hata kama Polisi huyo anayetuhumiwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi la kawaida.
Murilo akishauriwa atakwambia UNANIJUA MIMI NANI ? Amejaa mabavu matupu na ukiritimba wa ccmPolisi Tanzania ni aibu kubwa kabisa. Ina maana jeshi lote limejaa wajinga tu? Hakuna angalau watu wenye ku reason kwa kutumia logic? Je hakuna wenye ufahamu wa utawala wa kisheria?
Kuna mambo jeshi la polisi wanafanya yanakufanya ujiulize maswali mengi ya kukera.
Unaikumbuka hii fiksi ?Ni kweli, kinatakiwa kiundwe chombo kingine Cha kipolisi ili kuweza kulisimamia na/au kulichunguza Jeshi la Polisi pale linapotuhumiwa.
Tungekuwa tuna IGP anaejielwa angetosha kuwa anasimamia hili. Sema nao sijui huwa wanadhani ni maagizo kutoka juu, wanaogopa kutumbuliwa.Ni kweli, kinatakiwa kiundwe chombo kingine Cha kipolisi ili kuweza kulisimamia na/au kulichunguza Jeshi la Polisi pale linapotuhumiwa.
Tulisema tunachukua kuanzia div 4 ya 24Polisi Tanzania ni aibu kubwa kabisa. Ina maana jeshi lote limejaa wajinga tu? Hakuna angalau watu wenye ku reason kwa kutumia logic? Je hakuna wenye ufahamu wa utawala wa kisheria?
Kuna mambo jeshi la polisi wanafanya yanakufanya ujiulize maswali mengi ya kukera.
Hizi nafasi huwezi kupata kama si 'chawa' muandamizi wa ccm.Tungekuwa tuna IGP anaejielwa angetosha kuwa anasimamia hili. Sema nao sijui huwa wanadhani ni maagizo kutoka juu, wanaogopa kutumbuliwa.
Hapa alikuwa anapiga simu ya upepo kuwaambie waache ujinga wafanye kazi za maana jambo linaisha.
Naunga mkono hoja hii mkuu,KATIBA MPYA ndio kitu nchi inahitaji,umeongelea IPID hii imeshawahi sana kuandikwa humu,taasisi hii isipokuwepo police wetu wapo above the laws na wanajifanyia wanavyotaka maana wananchi wengi ni wapumbavu na waoga uliojaa uzuzu,mpumbavu mmoja pale kagera anatishia kuwapoteza watanzania wengine kisa utofauti wa kiitikadi,RPC pale anafwata mkia,IGP naye kimyaa,CJ yupo kimya,ukweli police wamemuua yule raia na police hapa ni suspects ilitakiwa nao wachunguzwe,Tanzania tumekua tunapata strong state persons na sio ICONSNi kweli, kinatakiwa kiundwe chombo kingine Maalumu Cha kipolisi ili kuweza kulisimamia na/au kulichunguza Jeshi la Polisi pale linapotuhumiwa .Kwenye nchi karibia zote zenye tawala za Kidemokrasia kuna Taasisi za namna hii. Zipo Taasisi Maalunu kabisa za Kipolisi ambazo zinajitegemea (Independent Police Organizations), kazi yake ni kushughulikia malalamiko dhidi ya Polisi au Jeshi la Polisi sambamba na kufanya Upelelezi dhidi ya Polisi. Tàasisi hizo huwa zinakuwa na Mamlaka yote ya Kipolisi, lakini Upolisi wao huwa wanaufanya dhidi ya Mapolisi au Jeshi la Polisi la kawaida. Taasisi za Kipolisi za namna hii huwa zinakuwa na Utawala wake binafsi unaojitegemea, hawana mwingiliano wowote wa kimajukumu au kiutendaji na Jeshi la Polisi la kawaida. Kwa mfano, Nchi ya Afrika ya Kusini wana Taasisi ya namna hii, inaitwa IPID ( The Independent Police Investigative Department, IPID). IPID ni Jeshi la Polisi la Kujitegemea ambalo kazi yake Kuu ni kufanya kazi za Kipolisi dhidi ya Jeshi la Polisi la kawaida, yaani kufanya Upelelezi na Kumshitaki Mahakamani Askari Polisi yoyote yule anayetuhumiwa au kulalamikiwa bila kujali cheo chake, hata kama ni Polisi huyo anayetuhumiwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi la kawaida.
Kama walitii amri ya kufika polisi waonyeshe na hizo simu mambo yaishe!
Au UNANIFUNDISHA MIMI KAZI!Murilo akishauriwa atakwambia UNANIJUA MIMI NANI ? Amejaa mabavu matupu na ukiritimba wa ccm
Hili ulilowaza hata Mimi naliwaza. Polisi wote wale na vyeo mabegani wameshindwa kujua mwitikio wa Jamii dhidi ya Jambo hili? Hawaoni wameanza kupambana na Jamii badala ya kupambana na wanaharakati?Polisi Tanzania ni aibu kubwa kabisa. Ina maana jeshi lote limejaa wajinga tu? Hakuna angalau watu wenye ku reason kwa kutumia logic? Je hakuna wenye ufahamu wa utawala wa kisheria?
Kuna mambo jeshi la polisi wanafanya yanakufanya ujiulize maswali mengi ya kukera.
Hiyo si sababu na msiendelee kukariri kwamba Polisi hawana elimu. Polisi 10k+ Kwa Sasa Wana Dr, Masters, bachelor, dip au form 6. Tatizo la ukosefu wa weledi nchini halihusiani na elimu zào. Bungeni kuna maprofesa lakini bado ni Bunge la ovyo kuliko la 1975.Hivi kwa nini police wasichukuliwe angalau form 6+
⏳🔔📝🆒🔊👌👍👏👊🤝🙏⚖️💐🗼🎁🎖️🏆👑🛡️
Pia hawakutakiwa kupambana na wana harakatit Bali wahalifu.Hili ulilowaza hata Mimi naliwaza. Polisi wote wale na vyeo mabegani wameshindwa kujua mwitikio wa Jamii dhidi ya Jambo hili? Hawaoni wameanza kupambana na Jamii badala ya kupambana na wanaharakati?
🤣 🤣 🤣