Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
USH
AURI WAKO MKUU TUENDELEE NAYO KESHO AU SIYO??
Shusha mzigo wakitoka kanisani watasoma.
USH
AURI WAKO MKUU TUENDELEE NAYO KESHO AU SIYO??
Hiyo ndio iko hata katika maisha life is not fair only god is fair..assume Mathew akitaka kumuoa penny kwenye real life sasa na ana wazaz alafu wazaz wajue tabia za penny huo mtiti ukoje hapoUdhaifu mkuu katika hii stori ni namna waovu wanavyofikia hatma yao. Yani mtu mwema kama anitha anakufa kifo kibaya wakati waovu kina kogomba na wengineo wanakufa lakini sio katika kiwango kinachotakiwa.
Nilitegemea kuona dr joshua akiteswa sana au kuhukumiwa na kufilisiwa, sijapenda hatma ya anna ila hadithi imetulia
Uku uswahilin kwetuu au sehemu Gan ukoo niendeeMapenzi yana nguvu sana jamani
Tatizo mkuu unataka ishe unavyopenda ww yn lkn hpa ukimuacha mmoja tu story imekuwa ndefu sana bora walivyofyekwa hvKiukweli Mwisho Sijaupenda Wahusika Hawa Mtunzi hakuwatendea Haki
Anita na Anna
Pia Mtunz kamshusha hadhi alokuwa nayo Mathew kwani uzembe wake wa kutokukiweka Kirusi ktk Sehemu Salama ndo uloleta Maangamivu ingependeza kama angefanikiwa kukitia Mikononi kuliko kazi yote na Damu ya Noah kumwagika pasina faida ilhali Mwaulaya alifanikiwa kutunza kirus leo Mathew kashindwa kukipata
Pia Kiujumla Mtunz kaonesha kuchoka Labda sababu ya Urefu wa Riwaya ama kutaka kuingia Sokoni lakini Kwa Ujumla Wahusika kawauwa kwa Mara moja na kutuaminisha hivyo ilhali akiicha Jamii kwenye Taharuki
Binafs nimekosa Raha kabisa
Tatizo mkuu unataka ishe unavyopenda ww yn lkn hpa ukimuacha mmoja tu story imekuwa ndefu sana bora walivyofyekwa hv
Unawazo km langu ,Mathew na Anita wangekipata kirusi harafu wao wakaokoa ndunia na mwisho wangeoanaAnitha ameniuma sana yy na Mathew nilikua nawakubali sana tena ingeishia vizuri kama wangeishia kuoana