aisee sijui imefikiria nn ila u made my time thenksNi suala la muda tu, Hugo Peniela ataanza kumuona Askofu Edmund kuwa ndiye mwanaume Wa maisha yake na hakuna mwingine duniani kama Askofu Huyo!!
yani kama teja yeye Wa kinondon manyanya or mwananyamala inaonekana mpendwa anapenda sana story kama izi ndo ulevi wakeKatkaa watuu wanohangaika na hiiikituuu nafkirii we nikiwangoo cha barabara ya mwendo kasiii. Haunagaa kazii man????????
Hiii story ukianza kuwapachika awa viongozi wetu waliopo awa acha tu me raisi mstafu nampachika pakam ndo anaendana nae maana nasikia mkewe nae alikuwa mbabe Aya kazi kwako wapange mpaka umpate elibariki ana fiti wap japo Mr Joshua Na mstafu nae kama wanashabiana ivSijua kwa nn kila nikimuona uncle magu namkumbuka Dr joshua
Sijua kwa nn kila nikimuona uncle magu namkumbuka Dr joshua
Mkuu fb anapatikana kwa anwani ipi?kamamwenyewe aliamua kuisa
mbaza kwenye fb na kundi lake la watsapp sio mbaya na sie hapa jf tukiburudika na soon anatoa kitabuu baada ya ushauri sana wa wadau juu ya kitabu
Vivyo vitumbua vya kupaka mate vipo wapi?Ni sheeda
Huku kuna Peniela ambae ajawahi kukatalia mwanamme aliemtongoza. Kamkosa Methew tu.
Kule nae kuna Danny mtaalam wa kupaka mate nae ajawahi kumkosa mwanamke labda yule wa mwisho walivyokuwa na Osama
Mmh taratibu jaman maana huku sio kwa wakubwa unaweza jiachia ikawa sooo kwa Mods
Acha Muzee kamanda aendelee kuwa Hero.tuylia mkuu utajua tuu mambo yote na siri zote alikuwa nazo john mwaulaya?? yeye ndio alikuwa mratibu wa kila jambo lakini alikuwa na moyo wa ubinadam zaidi ya unyama alioufanya
Hili nalo neno, anything can happen.Ni suala la muda tu, Hugo Peniela ataanza kumuona Askofu Edmund kuwa ndiye mwanaume Wa maisha yake na hakuna mwingine duniani kama Askofu Huyo!!
Well saidNaamini Mwaulaya alikuwa akisukumwa na nature ya kazi maalum kuivaa roho ya unyama, kwani kama angekuwa ni katili kwa ajili basi yeye ndiye angekuwa na tamaa ya kujipatia pesa kwa kuwa kitoto Aby.