Peniela (Story ya kijasusi)

Thanks so much Mr LEGE, mambo mengi niliyokuwa nahitaji majibu yake kwa asilimia kubwa nimeyapata.
Thanks a lot.
 
Ni sheeda
Huku kuna Peniela ambae ajawahi kukatalia mwanamme aliemtongoza. Kamkosa Methew tu.
Kule nae kuna Danny mtaalam wa kupaka mate nae ajawahi kumkosa mwanamke labda yule wa mwisho walivyokuwa na Osama

Mmh taratibu jaman maana huku sio kwa wakubwa unaweza jiachia ikawa sooo kwa Mods
 
Katkaa watuu wanohangaika na hiiikituuu nafkirii we nikiwangoo cha barabara ya mwendo kasiii. Haunagaa kazii man????????
yani kama teja yeye Wa kinondon manyanya or mwananyamala inaonekana mpendwa anapenda sana story kama izi ndo ulevi wake
 
Dah ila mutunzi huyu ni hatari yani huwezi jua nini kitatokea badaye! Nimefurahi ile sehemu ya anitha alipo mchezesha akili huyo mlinzi
 
Ni sheeda
Huku kuna Peniela ambae ajawahi kukatalia mwanamme aliemtongoza. Kamkosa Methew tu.
Kule nae kuna Danny mtaalam wa kupaka mate nae ajawahi kumkosa mwanamke labda yule wa mwisho walivyokuwa na Osama

Mmh taratibu jaman maana huku sio kwa wakubwa unaweza jiachia ikawa sooo kwa Mods
Vivyo vitumbua vya kupaka mate vipo wapi?
 
tuylia mkuu utajua tuu mambo yote na siri zote alikuwa nazo john mwaulaya?? yeye ndio alikuwa mratibu wa kila jambo lakini alikuwa na moyo wa ubinadam zaidi ya unyama alioufanya
Acha Muzee kamanda aendelee kuwa Hero.

Brgds,
The late Muzee "John Mwaulaya Albert"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom