Pamoja na mvua kukata siku chache, Goba maji yanatoka kwa mgao, mnakaa wiki maji hamna

Maleven

JF-Expert Member
Sep 8, 2019
638
2,944
Sasa ukitaka kufatilia kweli shida iko wapi? Kwanini hakuna anaewajibika? Mvua zimenyesha mpaka mafuriko lakini lao wiki ya pili maji yametoka mara moja tu.

Mtetezi ni nani? Kwakweli hii sio fair kabisa
 
Back
Top Bottom