MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,516
- 8,758
Mkuu MMK mi nadhani kuliko kupambana na Lowasa heri mgepambana na Mbowe aliyemleta,inashangaza hamdeal na Mbowe
Mkuu si unajua Dada yake kakosa u first Lady? make jamaa ni shemeji wa Dr
Mkuu MMK mi nadhani kuliko kupambana na Lowasa heri mgepambana na Mbowe aliyemleta,inashangaza hamdeal na Mbowe
Hivini nank ameenda kumsumbua mzee wa watu kisa Ikulu? Si mngemuacha akachunge ng'ombe?
Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania.
Mahojiano na mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus yamehitimisha kile ambacho viongozi wakuu wa CHADEMA walikuwa hawataki tukifahamu.
Lowassa is good for nothing, incompetent, unfunctional, corrupt and weak!
Eti kupambana na ufisadi ataanzisha one stop centre.
Eti Ufisadi wa viongozi serikalini itabidi akae na kutafakari jinsi ya kupambana nao. Mpaka apewe Urais ndiyo atafahamu njia ya kupambana na ufisadi wa viongozi.
Nadhani hafamu hata maana ya ufisadi au tofauti ya rushwa na ufisadi.
Amesema hawezi kusema kama alishauri serikali kuanzisha elimu bure kuanzia chekechea mpaka vyuo vikuu! Hana kumbukumbu!
Lowassa ni msanii!
Mkuu si unajua Dada yake kakosa u first Lady? make jamaa ni shemeji wa Dr
Mi nimeshangaa sana hata Dr slaa alipofanya press alimchafua sana Lowasa,huku anamsifia mbowe as if Lowasa aliingia kwa nguvu chadema,hawaongei chochote kuhusu mbowe na viongozi wengine kama kina lissu lakini wao wanamchafua tu lowasa ambaye alikuja,au aliletwa na kina mbowe,hapo kosa lingekuwa la uongozi wa chadema hasa mbowe,wangedeal na mbowe siyo lowasa
Wacha1, hii itakuwa part time.,.. Ni Njaa au ni nini mkuu. Ufanani na Lumumbafc.EL aka Jambazi Sugu hawezi kuwa rais wa tano wa nchi hii whatever the case, na ni wakati wa kuwashughulikia kina Mbowe et al ambao siasa zao ni za kimalaya. Wote wanaowadhulumu walipa kodi wa nchi hii ni lazima wachukuliwe hatua, hatuwezi kuwaacha wakafikiri sisi ni mpira wa kupigwa kule wanakotaka kila wanapochagua kufanya hivyo. As for Chadema kina kufa rasmi baada ya uchaguzi huu. Mwisho wa kulamba peremende umefika.
Mkuu hapa tunamjadili mtu anayetaka kuwa mkuu wa nchi ......
Ila unapomjadili lowasa na unaonyesha ubovu wake bila kumjadili aliyemleta msingi wa hoja yako unaweka wapi
Ila unapomjadili lowasa na unaonyesha ubovu wake bila kumjadili aliyemleta msingi wa hoja yako unaweka wapi
Mkuu bado sijaprove kwamba Dr slaa hakuhusika na sijui kama alishiriki au hakushiriki kumleta lowasa,but how comes kamati kuu yote ya chadema yeye ndo ajiengue,pia inawezekana ni mroho wa madaraka,wenzake wameafiki akaona yeye hasimamishwi kuwa mgombea heri awakomoe kwa kujiengua ili aue chama.Afadhali ww umeprove kua Dr slaa hakumleta huyo fisadi hapo CDM.....nakushauri ufuatilie OZ 2,3,4 utaona jinsi MMM alivyompa za uso political entrepreneur Mbowe.....
Lowassa hata akiwa ICU nampa kura yangu