Mmeshazoea wizi hakuna namna.Ni RUTO
Wakati Raila anaongoza hakukua na wizi?Mmeshazoea wizi hakuna namna.
Mkuu subiria matokeo yTangazweWakati Raila anaongoza hakukua na wizi?
Pambania maisha yako na wazee wako hapo NANGURUKURUNamwana uhuru akimpepea Raila
Wewe ni pimbi Sana!Huyu mwamba Hana cha kupoteza, asipodhibitiwa tutaanza kutafuta wasuluhishi wa kimataifa kusuluhisha Mgogoro.
Awekwe chini ya ulinzi mkali akubali kushindwa na kumpongeza Mheshimiwa Dr. Ruto (PhD) kisha aachiwe baada ya Rais mpya kuapishwa.
Pia, Wasisahau kuzima internet mwezi mzima
Kama nyinyi mnazimiwa internet huko kwenu usidhani kwamba Kenya pia tunafanyiwa huo upumbavu.Huyu mwamba Hana cha kupoteza, asipodhibitiwa tutaanza kutafuta wasuluhishi wa kimataifa kusuluhisha Mgogoro.
Awekwe chini ya ulinzi mkali akubali kushindwa na kumpongeza Mheshimiwa Dr. Ruto (PhD) kisha aachiwe baada ya Rais mpya kuapishwa.
Pia, Wasisahau kuzima internet mwezi mzima
Makamishna wanne wa IEBC wamekataa dhuluma.Wakenya wako vizuri sana katika chaguzi zao.Tanzania huwa wanaigiza kufanya uchaguzi.Yaani mshindi huwa anajulikana kuwa ni ccm kwa sababu huwa wanafanya mbinu zote hasa za kuiba kura wakisaidiawa na vyombo vya ulinzi na asalama na tume ya uchaguzi.Haya yote nanasababishwa na uoga wa watanzania.Kwa mwenendo huu kwa tz Mimi nitahamia Kenya kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app