Abdullah01
Member
- Jul 5, 2023
- 16
- 41
Habari zenu ndugu zangu.
Hapa ninapoishi kuna nyuki wapo ndani ya ceiling board. Nimeshawahi kupuliza dawa ya Rungu na kuwaua wote.
Lakini kila bàada ya muda mfupi mfano mwezi wanahamia nyuki wengine, napuliza dawa wanakufa, halafu baada ya muda wanakuja wengine. Hawa waliokuja awamu hii ni wakali sana.
NAOMBA MSAADA WENU - kwa yeyote anayejua dawa ambayo nikiweka itatoa harufu ya kuwafanya nyuki wasije tena kukaa hapa walipozoea kuja kukaa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
ASANTE 🙏
Hapa ninapoishi kuna nyuki wapo ndani ya ceiling board. Nimeshawahi kupuliza dawa ya Rungu na kuwaua wote.
Lakini kila bàada ya muda mfupi mfano mwezi wanahamia nyuki wengine, napuliza dawa wanakufa, halafu baada ya muda wanakuja wengine. Hawa waliokuja awamu hii ni wakali sana.
NAOMBA MSAADA WENU - kwa yeyote anayejua dawa ambayo nikiweka itatoa harufu ya kuwafanya nyuki wasije tena kukaa hapa walipozoea kuja kukaa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
ASANTE 🙏