Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 676
- 1,397
Nairobi!
Kijana wenu hapa,
Naomba kujua huyu jamaa ni nani, biography yake na anafanya nini?
Huyu alikua mfanyakazi wa safaricom na ndio father wa Mpesa miaka ya 2012, sema hajulikani na founder na mpesa anajilikana kama Nick
Je nini kilimkuta?, alifungua kesi au yupo yupo tu innovation yake imepotelea safaricom
Kijana wenu hapa,
Naomba kujua huyu jamaa ni nani, biography yake na anafanya nini?
Huyu alikua mfanyakazi wa safaricom na ndio father wa Mpesa miaka ya 2012, sema hajulikani na founder na mpesa anajilikana kama Nick
Je nini kilimkuta?, alifungua kesi au yupo yupo tu innovation yake imepotelea safaricom