Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,823
- 15,348
"Unaweza kumuuwa mwana mapinduzi lakini huwezi kuziua fikra za kimapinduzi," Thomas Sankara.
Paul Makonda ametangaza kutaka kuuawa mara tatu kwenye ziara zake kama katibu mwenezi wa ccm!
2020 mwezi march aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa ndugu Phillip Mangula aliekewa SUMU kwenye kikao cha ndani na siri cha CCM pale Dodoma, taarifa hii haikuwa siri na alilazwa muhibili Kwa matibabu na taarifa pia zilielezwa na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wakati ule.
2024, Mbunge Ole wa CCM ameshambuliwa kwa risasi bold neno mbunge wa CCM ameshambuliwa Kwa risasi waziwazi.
Magufuli akiwa anazindua kitabu cha hayati mkapa mwaka 2019 cha my life my purpose anasema akiwa naibu waziri alishawahi kuwekewa SUMU, hii aliongea waziwazi hadharani, alikuwa mbunge WA CCM na waziri wa CCM hizo unazikumbuka au andiko linalengo la kumgandamiza Makonda?
Nani ambaye yupo nyuma ya michezo hii michafu ya kutegeana SUMU na kuuwana? Logic NI nini? Kumaliza kizazi cha wazalendo na wachapakazi? Mbegu haziishi maana matunda yake ni mengi.
Harrison Mwakyembe
Thadei Ole Mushi
Horace Kolimba
Etc wote wameionja joto ya sumu kutoka ndani ya ccm!
Leo kuna akina Magufuli wengi sana kwenye nchi kuliko wakati mwingine wowote ule na kama unabisha subiri muda utaongea.
Go go Paul, malaika wako ametangulia mbele yako, soma Joshua 1-9. Je, si Mungu aliyekutuma? Uwe jasiri na mwenye moyo wa ushujaa maana ni yeye ndie aliyekutuma.
Paul Makonda ametangaza kutaka kuuawa mara tatu kwenye ziara zake kama katibu mwenezi wa ccm!
2020 mwezi march aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM taifa ndugu Phillip Mangula aliekewa SUMU kwenye kikao cha ndani na siri cha CCM pale Dodoma, taarifa hii haikuwa siri na alilazwa muhibili Kwa matibabu na taarifa pia zilielezwa na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM wakati ule.
2024, Mbunge Ole wa CCM ameshambuliwa kwa risasi bold neno mbunge wa CCM ameshambuliwa Kwa risasi waziwazi.
Magufuli akiwa anazindua kitabu cha hayati mkapa mwaka 2019 cha my life my purpose anasema akiwa naibu waziri alishawahi kuwekewa SUMU, hii aliongea waziwazi hadharani, alikuwa mbunge WA CCM na waziri wa CCM hizo unazikumbuka au andiko linalengo la kumgandamiza Makonda?
Nani ambaye yupo nyuma ya michezo hii michafu ya kutegeana SUMU na kuuwana? Logic NI nini? Kumaliza kizazi cha wazalendo na wachapakazi? Mbegu haziishi maana matunda yake ni mengi.
Harrison Mwakyembe
Thadei Ole Mushi
Horace Kolimba
Etc wote wameionja joto ya sumu kutoka ndani ya ccm!
Leo kuna akina Magufuli wengi sana kwenye nchi kuliko wakati mwingine wowote ule na kama unabisha subiri muda utaongea.
Go go Paul, malaika wako ametangulia mbele yako, soma Joshua 1-9. Je, si Mungu aliyekutuma? Uwe jasiri na mwenye moyo wa ushujaa maana ni yeye ndie aliyekutuma.