Nini kinaendelea ndani ya CCM? Nani ni tishio?

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
423
2,628
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
 
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
Hivi mgombea wa chadema 2025 ni nani?
 
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?

Si ajikusanyie tu pesa akalee wajukuu, Mbona watu wanapenda stress sana.
 
Mbona Magufuli mwenyewe alichapisha fomu moja.

Pichani hapo akiwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi tuliyoaambiwa ni huru kwa sasa.
JamiiForums1397431097.jpg
 
Kuna kitu hakipo sawa ndani ya CCM ya Samia.

Nguvu inayotumika kusema fomu ni moja tu ya mgombea urais mpaka anachangiwa pesa sio ya bure.

Mange alipost matusi ya nguoni kwa Rais kisha akaambiwa afute akafuta. Haijatokea bahati mbaya.

Makonda anasema kuna mawaziri na watu wenye nguvu wanatuma watu wamtukane Rais mitandaoni.

Kuna kitu hakipo sawa, kuna mtu anaeogopwa sana na Rais Samia pamoja na utawala wa sasa.

Je, huyo mtu ni nani?
Just politics,.....

everything within the rulling party, is okay, under full control and outhority of the one and only able leader, Comrade Dr. Samia Suluhu Hassan, The Chairman 🐒
 
Back
Top Bottom