Tetesi: Njama za kuwavua Uwakili waliofungua kesi kupinga Mkataba wa Milele wa Bandari zavuja ni kama ile iliyomkuta Fatuma Karume

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
123,081
232,774
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.

Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.

Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .

Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .

Usiondoke JF
 
Haki, uhuru, na amani ya kweli hupatikana kwa vita, machozi, jasho, na damu. Jambo hili la DPW ni bomu la wakati, na likilipuka tu litaleta mwanzo mpya.
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani .

Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.

Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .

Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .

Usiondoke JF
tapatalk_jpeg_1521037927414.jpg
tapatalk_1519520813963.jpg
 
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.

Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.

Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .

Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .

Usiondoke JF
Woga tu. Mnaanza kuweweseka. Si muda mrefu mtaanza kujiteka.
 
Taarifa ya Wakili Msomi Alphonce Lusako inadokeza kwamba zipo njama za kuhujumu Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba wa kitumwa wa Bandari Mahakamani.

Mbinu iliyotumika kumhujumu Wakili Fatuma Karume ndio iliyopendekezwa kutumika kuwashughulikia hawa wengine.

Bali Alphonce Lusako ametahadharisha kwamba hata wakihujumu baadhi yao bado kuna Mawakili zaidi ya 67 wanaosimamia Kesi hiyo .

Tutaendelea kufichua kila njama zinazopangwa na Mamluki dhidi ya Wazalendo .

Usiondoke JF
Mbona wanahangaika?
 
Back
Top Bottom